Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Tusiishie kulalamika, tuchukue hatua
Hapa wakisoma lazma wacheke kwa nguvu 😁😁
Umaskini uliopo ni reflection tosha ya uoga wetu na labda tusubiri hiki kizazi kiburi, jeuri na chenye mawazo huru "2000 kids" Maana wanaonesha matumaini ya uthubutu ila hiki kilichopiga kura kati ya mgombea na kimvuli. Sahau mkuu 😁