Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe na kaulewa kidogo.Unataka ukiongea jambo liwe sheria?Kwani unaongea na maiti?Pinga pinga
Basi Tundu Antipas Lisu awe Mwakyembe aende hapo Law schoolbangi unayovuta we jamaa nadhani imeota karibu na choo .
Hahaha.........!Hata ukipinga hakuna atakae kusikiliza
Tatizo huwa hampendi ukweli. Ndio maana mnaishi kama ndege.BAVICHA mnadandia kila kitu yaan,
Usingelikuwa MwanaChadema labda tungekusikiliza. Ila sasa hivi una gubu tu. Ungelifurahi kama Tundu Lissu angelikuwa Mwenyekiti akisaidiwa na Amsterdam!!Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza masuala ya Law school, ikiwemo wanafunzi wengi kufeli mitihani, anapaswa kuwa mtu Muungwana, Mtulivu, Msikivu na asiye na makuu, anapaswa kuwa mkweli, Mwakyembe hana sifa hizi.
Napinga uteuzi wa Harisson Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume hii kwa vile Haaminiki, si mkweli na ni mpenda sifa.
Kwa mfano, alipokuwa Mwenyekiti wa Tume ya bunge kuchunguza Richmond, katika Taarifa yake aliyoisoma bungeni ALIFICHA BAADHI YA TAARIFA ILI KUOKOA SERIKALI, maana yake ni kwamba alificha taarifa za Mhusika Mkuu wa Jambo lile na kuangushia jumba bovu wasiohusika, leo huyu awezaje kuaminika na kukabidhiwa tume nyingine? JE, SAFARI HII HATOFICHA TAARIFA ILI KUIOKOA SERIKALI?
Mwakyembe akiwa mgombea Ubunge wa Jimbo la Kyela kupitia CCM, aliwaahidi watu wa Jimbo lake kwamba AMEPATA SOKO LA UHAKIKA LA MCHELE WAO NCHINI MAREKANI (ikumbukwe kwamba mchele wa Kyela ndio unaoongoza kwa utamu duniani)
Lakini hadi anang'olewa kwenye ubunge hakuwahi kusaidia hata kilo 10 za mchele wa Kyela kuuzwa Marekani, Mtu kama huyu hastahili kuaminiwa kuongoza tume yoyote ile.
UNAPODANGANYA NYUMBANI KWENU HUWEZI KUAMINIKA UGENINI.
Harrison Mwakyembe ni mtu aliyejaa dharau kubwa sana , huyu hawezi kuwatendea haki watu wenye digrii moja wanaopigania haki yao ya matokeo.
ALIWAHI KUKATAA MASWALI KWAO KYELA kwa kisingizio kwamba wanaomhoji ni Darasa la 7, wakati yeye anamiliki digrii 4 na kwamba watu wasio na elimu wanachopaswa kumhoji ni kuhusu kama hawana hela mifukoni mwao na labda awasaidie. Huyu hafai kuongoza Tume ya kufuatilia haki popote duniani.
Tunamuomba Waziri wa Sheria ATENGUE HARAKA UTEUZI WAKE.
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO.
na siyo ndogoKazi kweli kweli
nchi ngumu hiiMwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza masuala ya Law school, ikiwemo wanafunzi wengi kufeli mitihani, anapaswa kuwa mtu Muungwana, Mtulivu, Msikivu na asiye na makuu, anapaswa kuwa mkweli, Mwakyembe hana sifa hizi.
Napinga uteuzi wa Harisson Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume hii kwa vile Haaminiki, si mkweli na ni mpenda sifa.
Kwa mfano, alipokuwa Mwenyekiti wa Tume ya bunge kuchunguza Richmond, katika Taarifa yake aliyoisoma bungeni ALIFICHA BAADHI YA TAARIFA ILI KUOKOA SERIKALI, maana yake ni kwamba alificha taarifa za Mhusika Mkuu wa Jambo lile na kuangushia jumba bovu wasiohusika, leo huyu awezaje kuaminika na kukabidhiwa tume nyingine? JE, SAFARI HII HATOFICHA TAARIFA ILI KUIOKOA SERIKALI?
Mwakyembe akiwa mgombea Ubunge wa Jimbo la Kyela kupitia CCM, aliwaahidi watu wa Jimbo lake kwamba AMEPATA SOKO LA UHAKIKA LA MCHELE WAO NCHINI MAREKANI (ikumbukwe kwamba mchele wa Kyela ndio unaoongoza kwa utamu duniani)
Lakini hadi anang'olewa kwenye ubunge hakuwahi kusaidia hata kilo 10 za mchele wa Kyela kuuzwa Marekani, Mtu kama huyu hastahili kuaminiwa kuongoza tume yoyote ile.
UNAPODANGANYA NYUMBANI KWENU HUWEZI KUAMINIKA UGENINI.
Harrison Mwakyembe ni mtu aliyejaa dharau kubwa sana , huyu hawezi kuwatendea haki watu wenye digrii moja wanaopigania haki yao ya matokeo.
ALIWAHI KUKATAA MASWALI KWAO KYELA kwa kisingizio kwamba wanaomhoji ni Darasa la 7, wakati yeye anamiliki digrii 4 na kwamba watu wasio na elimu wanachopaswa kumhoji ni kuhusu kama hawana hela mifukoni mwao na labda awasaidie. Huyu hafai kuongoza Tume ya kufuatilia haki popote duniani.
Tunamuomba Waziri wa Sheria ATENGUE HARAKA UTEUZI WAKE.
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO.
Kabudi kaungama hadharani.Bado yeye.Tatizo huwa hampendi ukweli. Ndio maana mnaishi kama ndege.
Kwani ni uongo Mwakyembe alidanganya ile ripoti richmond?
Msitutoe kwenye reli.nchi ngumu hii
takataka kama hizi usibishane nazo, mimi huwa nazi block kupunguza kupoteza muda kusoma posts za takataka kama hiziUwe na kaulewa kidogo.Unataka ukiongea jambo liwe sheria?Kwani unaongea na maiti?
Ni kiumbe na yeye.Tuwe naye hivyohivyo.😂😂😂😂takataka kama hizi usibishane nazo, mimi huwa nazi block kuunguza kupoteza muda kusoma posts za takataka kama hizi
Matokeo ya Law School yako sawa mengine ni mihemuko tu!
Wanafunzi wengi ni weupe mno vichwani na wanakariri vitu vya kujibia mitihani tu basi!
Kwanza hata huku mitaani kuna mawakili huwezi hata amini kama wamepita Law School,ni " weupe" mno vichwani na hawasomi !
Kazi zao ni copy, paste na edit basi!
Kiingereza ndo wengi hawajui kabisa!
Msimchoshe Dr.Mwakyembe na kamati zisizo na misingi!
Chukueni Wanafunzi 30 ( randomly) then wapigwe oral interview ( Live on TV) mtaona Tanzania ilivyo na majanga mengi na sote tutaishia kuwapongeza hao Lecturers wa Law School wasiotaka ujinga ujinga katika fani ya Sheria.
Sasa wajameini kumfichia aibu Boss wako kuna Ubaya gani??....kwa sababu alimpenda Boss wake kwanini amgalagaze hovyo?? kwani yeye hana akili??........ni sawa na Baba yako akijamba sebureni eti unacheka...ni laana hiyo!!Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza masuala ya Law school, ikiwemo wanafunzi wengi kufeli mitihani, anapaswa kuwa mtu Muungwana, Mtulivu, Msikivu na asiye na makuu, anapaswa kuwa mkweli, Mwakyembe hana sifa hizi.
Napinga uteuzi wa Harisson Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume hii kwa vile Haaminiki, si mkweli na ni mpenda sifa.
Kwa mfano, alipokuwa Mwenyekiti wa Tume ya bunge kuchunguza Richmond, katika Taarifa yake aliyoisoma bungeni ALIFICHA BAADHI YA TAARIFA ILI KUOKOA SERIKALI, maana yake ni kwamba alificha taarifa za Mhusika Mkuu wa Jambo lile na kuangushia jumba bovu wasiohusika, leo huyu awezaje kuaminika na kukabidhiwa tume nyingine? JE, SAFARI HII HATOFICHA TAARIFA ILI KUIOKOA SERIKALI?
Mwakyembe akiwa mgombea Ubunge wa Jimbo la Kyela kupitia CCM, aliwaahidi watu wa Jimbo lake kwamba AMEPATA SOKO LA UHAKIKA LA MCHELE WAO NCHINI MAREKANI (ikumbukwe kwamba mchele wa Kyela ndio unaoongoza kwa utamu duniani)
Lakini hadi anang'olewa kwenye ubunge hakuwahi kusaidia hata kilo 10 za mchele wa Kyela kuuzwa Marekani, Mtu kama huyu hastahili kuaminiwa kuongoza tume yoyote ile.
UNAPODANGANYA NYUMBANI KWENU HUWEZI KUAMINIKA UGENINI.
Harrison Mwakyembe ni mtu aliyejaa dharau kubwa sana , huyu hawezi kuwatendea haki watu wenye digrii moja wanaopigania haki yao ya matokeo.
ALIWAHI KUKATAA MASWALI KWAO KYELA kwa kisingizio kwamba wanaomhoji ni Darasa la 7, wakati yeye anamiliki digrii 4 na kwamba watu wasio na elimu wanachopaswa kumhoji ni kuhusu kama hawana hela mifukoni mwao na labda awasaidie. Huyu hafai kuongoza Tume ya kufuatilia haki popote duniani.
Tunamuomba Waziri wa Sheria ATENGUE HARAKA UTEUZI WAKE.
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO.
Hapa unajitahid kusafisha chama chako kisionekane kilimpa nafasi fisadi agombee uraisVipi kuhusu ukweli wa hoja zetu ? Halafu unachopaswa kujua ni kwamba BAVICHA ndio Taasisi pekee nchi Tanzania iliyojitolea kupigania haki za wadau wote