Napinga Dkt. Harrison Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume ya kuchunguza kufeli kwa wanafunzi wengi wa Law School

Napinga Dkt. Harrison Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume ya kuchunguza kufeli kwa wanafunzi wengi wa Law School

Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza masuala ya Law school, ikiwemo wanafunzi wengi kufeli mitihani, anapaswa kuwa mtu Muungwana, Mtulivu, Msikivu na asiye na makuu, anapaswa kuwa mkweli, Mwakyembe hana sifa hizi.

Napinga uteuzi wa Harisson Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume hii kwa vile Haaminiki, si mkweli na ni mpenda sifa.

Kwa mfano, alipokuwa Mwenyekiti wa Tume ya bunge kuchunguza Richmond, katika Taarifa yake aliyoisoma bungeni ALIFICHA BAADHI YA TAARIFA ILI KUOKOA SERIKALI, maana yake ni kwamba alificha taarifa za Mhusika Mkuu wa Jambo lile na kuangushia jumba bovu wasiohusika, leo huyu awezaje kuaminika na kukabidhiwa tume nyingine? JE, SAFARI HII HATOFICHA TAARIFA ILI KUIOKOA SERIKALI?

Mwakyembe akiwa mgombea Ubunge wa Jimbo la Kyela kupitia CCM, aliwaahidi watu wa Jimbo lake kwamba AMEPATA SOKO LA UHAKIKA LA MCHELE WAO NCHINI MAREKANI (ikumbukwe kwamba mchele wa Kyela ndio unaoongoza kwa utamu duniani)

Lakini hadi anang'olewa kwenye ubunge hakuwahi kusaidia hata kilo 10 za mchele wa Kyela kuuzwa Marekani, Mtu kama huyu hastahili kuaminiwa kuongoza tume yoyote ile.

UNAPODANGANYA NYUMBANI KWENU HUWEZI KUAMINIKA UGENINI.

Harrison Mwakyembe ni mtu aliyejaa dharau kubwa sana , huyu hawezi kuwatendea haki watu wenye digrii moja wanaopigania haki yao ya matokeo.

ALIWAHI KUKATAA MASWALI KWAO KYELA kwa kisingizio kwamba wanaomhoji ni Darasa la 7, wakati yeye anamiliki digrii 4 na kwamba watu wasio na elimu wanachopaswa kumhoji ni kuhusu kama hawana hela mifukoni mwao na labda awasaidie. Huyu hafai kuongoza Tume ya kufuatilia haki popote duniani.

Tunamuomba Waziri wa Sheria ATENGUE HARAKA UTEUZI WAKE.

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO.
Usingelikuwa MwanaChadema labda tungekusikiliza. Ila sasa hivi una gubu tu. Ungelifurahi kama Tundu Lissu angelikuwa Mwenyekiti akisaidiwa na Amsterdam!!
 
Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza masuala ya Law school, ikiwemo wanafunzi wengi kufeli mitihani, anapaswa kuwa mtu Muungwana, Mtulivu, Msikivu na asiye na makuu, anapaswa kuwa mkweli, Mwakyembe hana sifa hizi.

Napinga uteuzi wa Harisson Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume hii kwa vile Haaminiki, si mkweli na ni mpenda sifa.

Kwa mfano, alipokuwa Mwenyekiti wa Tume ya bunge kuchunguza Richmond, katika Taarifa yake aliyoisoma bungeni ALIFICHA BAADHI YA TAARIFA ILI KUOKOA SERIKALI, maana yake ni kwamba alificha taarifa za Mhusika Mkuu wa Jambo lile na kuangushia jumba bovu wasiohusika, leo huyu awezaje kuaminika na kukabidhiwa tume nyingine? JE, SAFARI HII HATOFICHA TAARIFA ILI KUIOKOA SERIKALI?

Mwakyembe akiwa mgombea Ubunge wa Jimbo la Kyela kupitia CCM, aliwaahidi watu wa Jimbo lake kwamba AMEPATA SOKO LA UHAKIKA LA MCHELE WAO NCHINI MAREKANI (ikumbukwe kwamba mchele wa Kyela ndio unaoongoza kwa utamu duniani)

Lakini hadi anang'olewa kwenye ubunge hakuwahi kusaidia hata kilo 10 za mchele wa Kyela kuuzwa Marekani, Mtu kama huyu hastahili kuaminiwa kuongoza tume yoyote ile.

UNAPODANGANYA NYUMBANI KWENU HUWEZI KUAMINIKA UGENINI.

Harrison Mwakyembe ni mtu aliyejaa dharau kubwa sana , huyu hawezi kuwatendea haki watu wenye digrii moja wanaopigania haki yao ya matokeo.

ALIWAHI KUKATAA MASWALI KWAO KYELA kwa kisingizio kwamba wanaomhoji ni Darasa la 7, wakati yeye anamiliki digrii 4 na kwamba watu wasio na elimu wanachopaswa kumhoji ni kuhusu kama hawana hela mifukoni mwao na labda awasaidie. Huyu hafai kuongoza Tume ya kufuatilia haki popote duniani.

Tunamuomba Waziri wa Sheria ATENGUE HARAKA UTEUZI WAKE.

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO.
nchi ngumu hii
 
Matokeo ya Law School yako sawa mengine ni mihemuko tu!
Wanafunzi wengi ni weupe mno vichwani na wanakariri vitu vya kujibia mitihani tu basi!
Kwanza hata huku mitaani kuna mawakili huwezi hata amini kama wamepita Law School,ni " weupe" mno vichwani na hawasomi !
Kazi zao ni copy, paste na edit basi!
Kiingereza ndo wengi hawajui kabisa!
Msimchoshe Dr.Mwakyembe na kamati zisizo na misingi!
Chukueni Wanafunzi 30 ( randomly) then wapigwe oral interview ( Live on TV) mtaona Tanzania ilivyo na majanga mengi na sote tutaishia kuwapongeza hao Lecturers wa Law School wasiotaka ujinga ujinga katika fani ya Sheria.

Unaweza kukuta hiyo mitihani hata mtunzi ukimpa masaaa3 nae anaweza asimalize. Issue ya moderation kwenye mitihani unaweza kukuta ni shida pia. Tusubiri kamati itasema nini. Lakini kama kweli darasa la watu 400 wafaulu 4% basi shida ipo mahali. Kinachoshangaza hao wote waliofeli wangeenda nje ungekuta wote wanafaulu!
 
Sas
Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza masuala ya Law school, ikiwemo wanafunzi wengi kufeli mitihani, anapaswa kuwa mtu Muungwana, Mtulivu, Msikivu na asiye na makuu, anapaswa kuwa mkweli, Mwakyembe hana sifa hizi.

Napinga uteuzi wa Harisson Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume hii kwa vile Haaminiki, si mkweli na ni mpenda sifa.

Kwa mfano, alipokuwa Mwenyekiti wa Tume ya bunge kuchunguza Richmond, katika Taarifa yake aliyoisoma bungeni ALIFICHA BAADHI YA TAARIFA ILI KUOKOA SERIKALI, maana yake ni kwamba alificha taarifa za Mhusika Mkuu wa Jambo lile na kuangushia jumba bovu wasiohusika, leo huyu awezaje kuaminika na kukabidhiwa tume nyingine? JE, SAFARI HII HATOFICHA TAARIFA ILI KUIOKOA SERIKALI?

Mwakyembe akiwa mgombea Ubunge wa Jimbo la Kyela kupitia CCM, aliwaahidi watu wa Jimbo lake kwamba AMEPATA SOKO LA UHAKIKA LA MCHELE WAO NCHINI MAREKANI (ikumbukwe kwamba mchele wa Kyela ndio unaoongoza kwa utamu duniani)

Lakini hadi anang'olewa kwenye ubunge hakuwahi kusaidia hata kilo 10 za mchele wa Kyela kuuzwa Marekani, Mtu kama huyu hastahili kuaminiwa kuongoza tume yoyote ile.

UNAPODANGANYA NYUMBANI KWENU HUWEZI KUAMINIKA UGENINI.

Harrison Mwakyembe ni mtu aliyejaa dharau kubwa sana , huyu hawezi kuwatendea haki watu wenye digrii moja wanaopigania haki yao ya matokeo.

ALIWAHI KUKATAA MASWALI KWAO KYELA kwa kisingizio kwamba wanaomhoji ni Darasa la 7, wakati yeye anamiliki digrii 4 na kwamba watu wasio na elimu wanachopaswa kumhoji ni kuhusu kama hawana hela mifukoni mwao na labda awasaidie. Huyu hafai kuongoza Tume ya kufuatilia haki popote duniani.

Tunamuomba Waziri wa Sheria ATENGUE HARAKA UTEUZI WAKE.

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO.
Sasa wajameini kumfichia aibu Boss wako kuna Ubaya gani??....kwa sababu alimpenda Boss wake kwanini amgalagaze hovyo?? kwani yeye hana akili??........ni sawa na Baba yako akijamba sebureni eti unacheka...ni laana hiyo!!

Mtoto mdogo wa Nuhu alipo muona Babake uchi alicheka kwa raha na haki zake zoote! akalaaniwa kizazi chake choote mpaka leo bila shaka weye ni kizazi hiko!!

Kumtunzia Boss wako heshima ni Baraka kubwa sana! usijidanganye ndo maana anapeta mpaka leo!! waleee wasema hovyo km Jiwe, Msiba, Makonda wako wapi leo??

Shetani alidai haki Mbinguni na kumsema Mungu eti ana madaraka makubwa, akayatamani leo hii tunasota nae humu mbinguni hatii mguu tena!...anasubiri kupigwa kiberiti! kwani mkubwa hakosei??

wewe hapo hujawahi kukosea....sikia sasa kukosea ni ubinadamu siyo suala la kushikia kidedea! mtu mwingine! unasikia! tena amabaye hakosei ndo hatari zaidi! ya dikteta!!

Drs la saba kuambiwa hivo kuna ubaya gani kwani?? si ndivo walivyo? au!!.......kwani drs la saba ni matusi??...au weye hukupitia huko? uliruka?? basi km ni hivo rudi ukalisomee!.....

kwani kusema ana degree 4, ni tusi?? si ndo alivyo?? na ukweli wenyewe au!! ....kwani kusema nimesoma kihalali ni dhambi/kuvunja katiba?? ya wapi??...wewe ni dhaifu sana!....unataka aambiwe ana vyeti fake! ndo ufurahie au!!

kifupi wee mzee acha chuki za kimusoma musoma ndo maana nyie waruri wachawi sana! mnamsema mutu mpaka anakufa?? sasa nani msafi aende sasa??!!

nenda weye basi make weye! huna dhambi! wkt unaiba mifugo kila siku, tunawajua wote bana! mliiba mifugo ya mbunge Mathayo.... uongo???
 
Vipi kuhusu ukweli wa hoja zetu ? Halafu unachopaswa kujua ni kwamba BAVICHA ndio Taasisi pekee nchi Tanzania iliyojitolea kupigania haki za wadau wote
Hapa unajitahid kusafisha chama chako kisionekane kilimpa nafasi fisadi agombee urais
 
IMG_6493.jpg

Hii Sio Tanzania.

Kuunda Kamati kumchunguza Alie feli ni matumizi mabaya ya Kodi zetu
 
Waunde na kamati nyingine ya kuchunguza vyuo vikuu vya serikali sababu za wanachuo wengi kupata supp na disco.

Je, chanzo ni vitisho vya malecturer? "Yaani mpo wengi hivi, lazima mbaki nusu. Siwezi kufundisha darasa kubwa kiasi hiki"

Au ni mazingira ya kujifunzia?
Au ni mitaala?
Au ni utaalam mdogo wa wakufunzi?
Au ni course nyingi kwa semester moja? Nk nk
 
Back
Top Bottom