TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Naona kuna watu hapa akiwemo Paschal wanajifanya kujua utaratibu kuliko walitengeneza utaratibu.
Duniani kote sidhani kama kuna nchi inaweza kuwa na utaratibu wa kijinga kisa kero kwa mwananchi kufika kwake NO!.
Basi airport nayo ijengwe kila wilaya au mnataka kukuza mjadala tu hapa kisa Amos Makala..!
Tufanye kwa big city as Arusha, Mwanza, Dodoma na Mbeya (toa Dar) bus zinashushia wapi?, miji midogo as iringa au musoma basi zinashushia wapi?.
Na unapoongelea nchi nyingine siyo la kulinganisha na tz hata kidogo, mfamo j'berg au Nairobi kuna stendi kuu ya mabasi?.
Kuna sheria/utaratibu uliopo kwa miaka, labda turudi nyuma alafu tupate historia kidogo.
Kwa Dar miaka ya 198... stendi ilikuwa pale mnazi mmoja hata kisutu na mabasi karibia yote yalishushia pale hata yale ya kusini/mtwara, ndiposa kuja 1990 baadhi ya kampuni baada ya kuwa mabasi zaidi ya 5 daily wakaanza kujitafutia eneo binafsi.
Mfano Scandinavia terminal ilikuwa kamata, Saibaba kisutu. But now sababu ya ubungo ilikuwa ina tatizo na wamiliki kupewa ruhusa kuwa na terminal nje mkaona ndiyo utaratibu NO!.
Kwa upande wa historia, tunafahamu uwepo wa stendi kuu ya mabasi ni uwezekano wa abilia kutoka popote nje na ndani ya nchi kuwa na uhakika akifika pale kupata usafiri, pia basi karibia zote kupatikana eneo moja badala kila mtu kuweka kituo sijui mabwepande, mbagara, usariver, Nyegezi, nyakato, magomeni, uyole, bunju nk.
👉🏾Siyo sawa tuache unafiki.
Duniani kote sidhani kama kuna nchi inaweza kuwa na utaratibu wa kijinga kisa kero kwa mwananchi kufika kwake NO!.
Basi airport nayo ijengwe kila wilaya au mnataka kukuza mjadala tu hapa kisa Amos Makala..!
Tufanye kwa big city as Arusha, Mwanza, Dodoma na Mbeya (toa Dar) bus zinashushia wapi?, miji midogo as iringa au musoma basi zinashushia wapi?.
Na unapoongelea nchi nyingine siyo la kulinganisha na tz hata kidogo, mfamo j'berg au Nairobi kuna stendi kuu ya mabasi?.
Kuna sheria/utaratibu uliopo kwa miaka, labda turudi nyuma alafu tupate historia kidogo.
Kwa Dar miaka ya 198... stendi ilikuwa pale mnazi mmoja hata kisutu na mabasi karibia yote yalishushia pale hata yale ya kusini/mtwara, ndiposa kuja 1990 baadhi ya kampuni baada ya kuwa mabasi zaidi ya 5 daily wakaanza kujitafutia eneo binafsi.
Mfano Scandinavia terminal ilikuwa kamata, Saibaba kisutu. But now sababu ya ubungo ilikuwa ina tatizo na wamiliki kupewa ruhusa kuwa na terminal nje mkaona ndiyo utaratibu NO!.
Kwa upande wa historia, tunafahamu uwepo wa stendi kuu ya mabasi ni uwezekano wa abilia kutoka popote nje na ndani ya nchi kuwa na uhakika akifika pale kupata usafiri, pia basi karibia zote kupatikana eneo moja badala kila mtu kuweka kituo sijui mabwepande, mbagara, usariver, Nyegezi, nyakato, magomeni, uyole, bunju nk.
👉🏾Siyo sawa tuache unafiki.