Napinga kabisa dhana ya "Mume ni Provider" katika ndoa

Ulishawahi kubeba mimba mkuu?
 
Hutaki kuwa provider wa familia yako na unataka kuwa kichwa cha familia.

Are you serious? Unless unataka wote muwe vichwa vya familia.
 
Eva alizaa kwa uchungu Kisha akaendelea na kazi za shamba ili kutunza familia yake kwa ushirikiano na mumewe kipenzi Adam

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hutaki kuwa provider wa familia yako na unataka kuwa kichwa cha familia.

Are you serious? Unless unataka wote muwe vichwa vya familia.
Adamu alikuwa kichwa Cha familia, but asubuhi alimchukua mkewe Eva kwenda kushirikiana kulima na kuvuna ngano!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Adamu alikuwa kichwa Cha familia, but asubuhi alimchukua mkewe Eva kwenda kushirikiana kulima na kuvuna ngano!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kushirikiana haiondoi jukumu la wewe kuwa provider. Na akikusaidia ni kuwa amekusaidia tu kama msaidizi wako ila mwenye jukumu ni wewe. Uanaume si mchezo ni kubeba mizigo.

Jiulize kwa nini walikula tunda wote lakini aliyeulizwa ni Adam na sio mkewe.
 
Asili ya ndoa bado hajaijua. Tafiti kidogo tu
 
Heshimu mawazo ya Weakman
 
Ni sahihi kushirikiana hata Mithali 31 inamuongelea vizuri sana mke mwema jinsi gani anashiriki kwenye uchumi wa familia. Kwa sehemu ndogo nimenukuu

(Mithali 31:10; Mke mwema, ni nani awezaye kumwona?Maana thamani yake yapita thamani ya marijani. Moyo wa mumewe humwamini,Wala hatakosa kupata mapato. Mithali 31:16; Huangalia shamba, akalinunua;Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu etc..)

Kikubwa tutambue Mume ana nafasi pia katika kufanya ndoto za mke wake zinatimia, muwape nafasi!!
 
Wanawake wanataka 50/50 kwenye kila kitu kasoro hapo kwenye kujumuishwa katika ulipaji wa bills ndipo wanataka jukumu lote libebwe na mwanaume kwa 100%. Kupitia movements za 50/50 wanawake wanawataka ajira na ukishapewa ajira maana yake unaondolewa kwenye kundi la watu tegemezi utawajibika kujihudumia mwenyewe au kuchangia kitu mezani, cha kushangaza ferminists wanataka ajira na bado wanataka kuhudumiwa na mwanaume ndipo hapa unakuja utata. Binafsi naona kama mke ni mama wa nyumbani mwanaume abebe jukumu lote la ustawi wa uchumi kwenye familia na kama mke ana shughuli ya kumuingizia kipato basi bills zilipwe na wote mke na mume kwa kuzingatia uwiano wa vipato vyao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…