Pre GE2025 Napinga Kauli ya Rais Samia kwamba Utekaji ni Drama, hii ni dharau kwa Wananchi

Pre GE2025 Napinga Kauli ya Rais Samia kwamba Utekaji ni Drama, hii ni dharau kwa Wananchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Wakati nafikiria kuandika uzi huu, niliogopa kidogo kwa hofu hiyo hiyo ya kutekwa, lakini nikajipa moyo kwamba tukinyamaza hapa JF ni nani mwingine atasema?

Kwa Rais kusema hadharani kwamba masuala ya kutekwa watu yanayoendelea kwenye nchi anayoiongoza ni Drama, si tu kwamba ni uongo lakini pia ni kejeli isiyokubalika, Yaani watu watekwe na kupelekwa polisi na baadaye kutupwa kusikofahamika halafu tuaminishwe kwamba hizo ni Drama! ili kuamini jambo hili Tunapaswa tusiwe na akili kabisa au tuwe tumenyofolewa ubongo.

Ni kweli kwamba Mkubwa hakosei, lakini kwenye hili Mama Kakosea na anapaswa kuomba radhi, Vinginevyo awe tayari kuhusishwa na utekaji unaoendelea na kwamba Yeye ndiye anayewatuma Watekaji na ameamua kufunika ili kuepuka lawama.

Screenshot_2024-07-20-14-00-47-1.png


"Nchi yetu ina sifa kubwa sana ndani ya ukanda wetu na duniani, sasa zikitoka ripoti hizi huyu kauawa, huyu katekwa, huyu kafanywaje aahh, na yakitokea mbio serikalini"

"Tukizungumza haya ya kutekwa haya, unasema katekwa nani? unasikia mtoto alijiteka mwenyewe anapiga simu kwao zitoke pesa, huku mama kamtekesha mwanawe ili baba atoe pesa, yani vidude vya drama drama tu hivi lakini vinavyoandikwa kwenye vyombo vya habari ni kama serikali imelala watu wanatekwa tekwa tu hovyo, naomba sana tusiyafumbie macho" - Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Machifu Ikulu Dodoma

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Rais Samia: Machifu waambieni wanasiasa ukweli vyeo havipatikani kwa kuua watu
 
Wakati nafikiria kuandika uzi huu, niliogopa kidogo kwa hofu hiyo hiyo ya kutekwa, lakini nikajipa moyo kwamba tukinyamaza hapa JF ni nani mwingine atasema?

Kwa Rais kusema hadharani kwamba masuala ya kutekwa watu yanayoendelea kwenye nchi anayoiongoza ni Drama, si tu kwamba ni uongo lakini pia ni kejeli isiyokubalika, Yaani watu watekwe na kupelekwa polisi na baadaye kutupwa kusikofahamika halafu tuaminishwe kwamba hizo ni Drama! ili kuamini jambo hili Tunapaswa tusiwe na akili kabisa au tuwe tumenyofolewa ubongo.

Ni kweli kwamba Mkubwa hakosei, lakini kwenye hili Mama Kakosea na anapaswa kuomba radhi, Vinginevyo awe tayari kuhusishwa na utekaji unaoendelea na kwamba Yeye ndiye anayewatuma Watekaji na ameamua kufunika ili kuepuka lawama.

View attachment 3047088View attachment 3047092
Utekaji ni drama...!!?? Yaani mtu akamatwe na kuwekwa Oysterbay police, halafu baada ya muda fulani akutwe Katavi mbugani huku kapigwa risasi ya taya, BADO RAIS AITE NI DRAMA...!!????

IPO SIKU ATASEMA MAUWAJI YA ALBINO NAYO NI DRAMA..!!

Mama kwa hili, umeupiga mchache sana....!!!
 
Kiswahili inaweza ikawa ni lugha ngumu kueleweka licha ya kwamba ndio lugha ya Taifa. Kama ulisikiliza mwanzo mwisho utabaini Rais hakusema kwamba kila tukio mtu kajiteka na alianza kuzungumzia tatizo na baadae ndio akasema kwamba wengine wanajiteka na mfano wa mtu kujiteka upo pengine umesahau tu, ABDUL NONDO aliwahi kujiteka kipindi cha Hayati Magufuli
 
Kiswahili inaweza ikawa ni lugha ngumu kueleweka licha ya kwamba ndio lugha ya Taifa. Kama ulisikiliza mwanzo mwisho utabaini Rais hakusema kwamba kila tukio mtu kajiteka na alianza kuzungumzia tatizo na baadae ndio akasema kwamba wengine wanajiteka na mfano wa mtu kujiteka upo pengine umesahau tu, ABDUL NONDO aliwahi kujiteka kipindi cha Hayati Magufuli
We ulijua je Kama kajiteka lakini au unaleta kauli taarifa
 
Wakati nafikiria kuandika uzi huu, niliogopa kidogo kwa hofu hiyo hiyo ya kutekwa, lakini nikajipa moyo kwamba tukinyamaza hapa JF ni nani mwingine atasema?

Kwa Rais kusema hadharani kwamba masuala ya kutekwa watu yanayoendelea kwenye nchi anayoiongoza ni Drama, si tu kwamba ni uongo lakini pia ni kejeli isiyokubalika, Yaani watu watekwe na kupelekwa polisi na baadaye kutupwa kusikofahamika halafu tuaminishwe kwamba hizo ni Drama! ili kuamini jambo hili Tunapaswa tusiwe na akili kabisa au tuwe tumenyofolewa ubongo.

Ni kweli kwamba Mkubwa hakosei, lakini kwenye hili Mama Kakosea na anapaswa kuomba radhi, Vinginevyo awe tayari kuhusishwa na utekaji unaoendelea na kwamba Yeye ndiye anayewatuma Watekaji na ameamua kufunika ili kuepuka lawama.

View attachment 3047088View attachment 3047092
Abdul Nondo 🐼
 
Wakati nafikiria kuandika uzi huu, niliogopa kidogo kwa hofu hiyo hiyo ya kutekwa, lakini nikajipa moyo kwamba tukinyamaza hapa JF ni nani mwingine atasema?

Kwa Rais kusema hadharani kwamba masuala ya kutekwa watu yanayoendelea kwenye nchi anayoiongoza ni Drama, si tu kwamba ni uongo lakini pia ni kejeli isiyokubalika, Yaani watu watekwe na kupelekwa polisi na baadaye kutupwa kusikofahamika halafu tuaminishwe kwamba hizo ni Drama! ili kuamini jambo hili Tunapaswa tusiwe na akili kabisa au tuwe tumenyofolewa ubongo.

Ni kweli kwamba Mkubwa hakosei, lakini kwenye hili Mama Kakosea na anapaswa kuomba radhi, Vinginevyo awe tayari kuhusishwa na utekaji unaoendelea na kwamba Yeye ndiye anayewatuma Watekaji na ameamua kufunika ili kuepuka lawama.

View attachment 3047088View attachment 3047092
Mpaka watu waanze kulipiza kisasi kwa watoto wao na jamaa zao ndiyo CCM watapata uchungu. Chadema na watu wengine wanaonekana ni wanyama tu kwa saerikali ya Samia. Nahisi pressure imekuwa kubwa na nahisi kuanzia sasa utekaji utapungua maana watekaji wameahaanikwa wazi. Ila Rais Samia anajidhalilisha sana. Alitoa milioni 35 kwa Sativa huku anajiua ni drama? Dah tumemkosea nini Mungu mpaka tumepata viongozi uchwara kama hawa? Hata common sense hakuna hata kidogo? Wazazi wa Kombo aliyetekwa na kushikilliwa na kuteswa kwa siku 29 na polisi watasijisikiaje wakisikisia magapishi kama haya. Watanzania tunatakiwa kuungana pamoja kukomesha hii hali kwa njia zozote zinazowezekana.
 
Hao watekaji Kuna aina na kundi la watu ambalo wamelifanyia utafiti kwamba lazima wafanyike chambo kuendea walengwa!!

Hapa wanahalalisha jambo lao lisilojulikana Hadi watakapomaliza Hilo wanaloliendea ndio kutatulia!!

Nakumbuka Teka Teka ya 2015 Hadi 2021 iliisha baada covidi kuanza KAZI na ikaendelea Hadi iliposafisha walengwa na covidi ikaisha!!

Muda si mrefu COVID-19 itaanza tena!!
 
Back
Top Bottom