Pre GE2025 Napinga Kauli ya Rais Samia kwamba Utekaji ni Drama, hii ni dharau kwa Wananchi

Pre GE2025 Napinga Kauli ya Rais Samia kwamba Utekaji ni Drama, hii ni dharau kwa Wananchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama Chadema wanapenda huo mchezo sana

Usishangae Ukasikia Lema katekwa kumbe maandalizi ya kurudi kwa mabibi na mbwana huko Kanada
 
Wakati nafikiria kuandika uzi huu, niliogopa kidogo kwa hofu hiyo hiyo ya kutekwa, lakini nikajipa moyo kwamba tukinyamaza hapa JF ni nani mwingine atasema?

Kwa Rais kusema hadharani kwamba masuala ya kutekwa watu yanayoendelea kwenye nchi anayoiongoza ni Drama, si tu kwamba ni uongo lakini pia ni kejeli isiyokubalika, Yaani watu watekwe na kupelekwa polisi na baadaye kutupwa kusikofahamika halafu tuaminishwe kwamba hizo ni Drama! ili kuamini jambo hili Tunapaswa tusiwe na akili kabisa au tuwe tumenyofolewa ubongo.

Ni kweli kwamba Mkubwa hakosei, lakini kwenye hili Mama Kakosea na anapaswa kuomba radhi, Vinginevyo awe tayari kuhusishwa na utekaji unaoendelea na kwamba Yeye ndiye anayewatuma Watekaji na ameamua kufunika ili kuepuka lawama.

View attachment 3047088View attachment 3047092
Huyu mama Hajui ni machungu gani tunayopitia sisi tuliopotelewa na ndugu zetu, Ila malipo ni hapa hapa duniani, Allah atalipa.
 
Mpaka watu waanze kulipiza kisasi kwa watoto wao na jamaa zao ndiyo CCM watapata uchungu. Chadema na watu wengine wanaonekana ni wanyama tu kwa saerikali ya Samia. Nahisi pressure imekuwa kubwa na nahisi kuanzia sasa utekaji utapungua maana watekaji wameahaanikwa wazi. Ila Rais Samia anajidhalilisha sana. Alitoa milioni 35 kwa Sativa huku anajiua ni drama? Dah tumemkosea nini Mungu mpaka tumepata viongozi uchwara kama hawa? Hata common sense hakuna hata kidogo? Wazazi wa Kombo aliyetekwa na kushikilliwa na kuteswa kwa siku 29 na polisi watasijisikiaje wakisikisia magapishi kama haya. Watanzania tunatakiwa kuungana pamoja kukomesha hii hali kwa njia zozote zinazowezekana.
Niliweka uzi hapa kwamba familia ya Sativa ikatae msaada ule, lakini uzi ule uliondolewa bila hata kuomba maji
 
Kiswahili inaweza ikawa ni lugha ngumu kueleweka licha ya kwamba ndio lugha ya Taifa. Kama ulisikiliza mwanzo mwisho utabaini Rais hakusema kwamba kila tukio mtu kajiteka na alianza kuzungumzia tatizo na baadae ndio akasema kwamba wengine wanajiteka na mfano wa mtu kujiteka upo pengine umesahau tu, ABDUL NONDO aliwahi kujiteka kipindi cha Hayati Magu

Kiswahili inaweza ikawa ni lugha ngumu kueleweka licha ya kwamba ndio lugha ya Taifa. Kama ulisikiliza mwanzo mwisho utabaini Rais hakusema kwamba kila tukio mtu kajiteka na alianza kuzungumzia tatizo na baadae ndio akasema kwamba wengine wanajiteka na mfano wa mtu kujiteka upo pengine umesahau tu, ABDUL NONDO aliwahi kujiteka kipindi cha Hayati Magufuli
Si Sawa nchi kuwa na kiongozi ambaye mara anapotoa hotuba tunamtafuta Karlo Mwilapwa kutoa ufafanuzi.
 
Wakati nafikiria kuandika uzi huu, niliogopa kidogo kwa hofu hiyo hiyo ya kutekwa, lakini nikajipa moyo kwamba tukinyamaza hapa JF ni nani mwingine atasema?

Kwa Rais kusema hadharani kwamba masuala ya kutekwa watu yanayoendelea kwenye nchi anayoiongoza ni Drama, si tu kwamba ni uongo lakini pia ni kejeli isiyokubalika, Yaani watu watekwe na kupelekwa polisi na baadaye kutupwa kusikofahamika halafu tuaminishwe kwamba hizo ni Drama! ili kuamini jambo hili Tunapaswa tusiwe na akili kabisa au tuwe tumenyofolewa ubongo.

Ni kweli kwamba Mkubwa hakosei, lakini kwenye hili Mama Kakosea na anapaswa kuomba radhi, Vinginevyo awe tayari kuhusishwa na utekaji unaoendelea na kwamba Yeye ndiye anayewatuma Watekaji na ameamua kufunika ili kuepuka lawama.

View attachment 3047088View attachment 3047092
Samia ni mfano wa mtu mjinga mjinga aliyepewa cheo kikubwa sana kuliko uwezo wake.

Na mambo kama haya yanaonesha ujinga wake.

Ni kama hausigeli mshamba katoka bush, asiyejua kusoma wala kuandika kapewa mtambo wa nyuklia aendeshe.
 
Watoto wa-shule wanatekwa wanafanyiwa unyama , watu wanachapwa risasi za kichwa bado ni drama … Mama wanaku-misinform hao jamaa
 
Duniani kote elimination method hufanyika Kwa wale wanaohafarisha maslahi mapana ya nchi, hivo tuwe makini tusiharibu taswira ya nchi yetu Kwa kinachoitwa dramma, na hao wafanya dramma watafutwe na wachukuliwe hatua
 
Watoto wa-shule wanatekwa wanafanyiwa unyama , watu wanachapwa risasi za kichwa bado ni drama … Mama wanaku-misinform hao jamaa
Acheni kusema wana mu misinform, haya mambo yako wazi kabisa hakuna cha kuwa mis informed hapo.

Yeye mwenyewe ndiye anayefanya spinning.
 
Acheni kusema wana mu misinform, haya mambo yako wazi kabisa hakuna cha kuwa mis informed hapo.

Yeye mwenyewe ndiye anayefanya spinning.
Ndio maana tunasema hao wafanya drama wasakwe na wachukuliwe hatua haraka sana
 
Wakati nafikiria kuandika uzi huu, niliogopa kidogo kwa hofu hiyo hiyo ya kutekwa, lakini nikajipa moyo kwamba tukinyamaza hapa JF ni nani mwingine atasema?

Kwa Rais kusema hadharani kwamba masuala ya kutekwa watu yanayoendelea kwenye nchi anayoiongoza ni Drama, si tu kwamba ni uongo lakini pia ni kejeli isiyokubalika, Yaani watu watekwe na kupelekwa polisi na baadaye kutupwa kusikofahamika halafu tuaminishwe kwamba hizo ni Drama! ili kuamini jambo hili Tunapaswa tusiwe na akili kabisa au tuwe tumenyofolewa ubongo.

Ni kweli kwamba Mkubwa hakosei, lakini kwenye hili Mama Kakosea na anapaswa kuomba radhi, Vinginevyo awe tayari kuhusishwa na utekaji unaoendelea na kwamba Yeye ndiye anayewatuma Watekaji na ameamua kufunika ili kuepuka lawama.

View attachment 3047088View attachment 3047092
Acheni drama na nyie mna rekodi ya kujiteka kutafuta kiki.
 
Back
Top Bottom