ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ndio mtag SasaMajibu anayo Nape
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mtag SasaMajibu anayo Nape
Ngoja amalize kuiba kuraNdio mtag Sasa
"Disappointment",tunaweza kusema rais ni disappointment kwa sababu rais amesema hakuna mtu ambaye ametekwa,watu wanajiteka.Ee bhana eeh!
Kwa kilugha hiyo tunaweza itaje aisee
Furahia sasa sheikh...hata magufuli alikuwa na watu kama wewe....Damu gani tena?
Mtu akkkudhalilisha si mahakama ipo? Unafikiri watu wataacha kumkosoa kama watu wanaomkosoa watauwawa? Ataendelea kukosolewa saana.Ndio Kwa sababu wengine ni drama na wengine huenda ni kweli ndio maana kawataka Polisi wamalize kadhia hiyo.
Acheni kudhalilisha wenzenu.kwa.visingizio vya Demokrasia
Sasa wasilalamike saaanaFurahia sasa sheikh...hata magufuli alikuwa na watu kama wewe....
Mtu akkkudhalilisha si mahakama ipo? Unafikiri watu wataacha kumkosoa kama watu wanaomkosoa watauwawa? Ataendelea kukosolewa saana.
Tutaelewana tu...muda ni mwalimu mzuriSasa wasilalamike saaana
Huyo mamluki anadhani kuwa mpambe wa Hangaya basi yuko Salama, Amesahau ya NapeFurahia sasa sheikh...hata magufuli alikuwa na watu kama wewe....
Mtu akkkudhalilisha si mahakama ipo? Unafikiri watu wataacha kumkosoa kama watu wanaomkosoa watauwawa? Ataendelea kukosolewa saana.
Yana mwisho, Magufuli yupo wapi? Msicheze na damu za watu
Mbona na mfano katoa hali c mbaya kama mnavoipamba .tatizo matatizo yote mnayausisha na siasaWakati nafikiria kuandika uzi huu, niliogopa kidogo kwa hofu hiyo hiyo ya kutekwa, lakini nikajipa moyo kwamba tukinyamaza hapa JF ni nani mwingine atasema?
Kwa Rais kusema hadharani kwamba masuala ya kutekwa watu yanayoendelea kwenye nchi anayoiongoza ni Drama, si tu kwamba ni uongo lakini pia ni kejeli isiyokubalika, Yaani watu watekwe na kupelekwa polisi na baadaye kutupwa kusikofahamika halafu tuaminishwe kwamba hizo ni Drama! ili kuamini jambo hili Tunapaswa tusiwe na akili kabisa au tuwe tumenyofolewa ubongo.
Ni kweli kwamba Mkubwa hakosei, lakini kwenye hili Mama Kakosea na anapaswa kuomba radhi, Vinginevyo awe tayari kuhusishwa na utekaji unaoendelea na kwamba Yeye ndiye anayewatuma Watekaji na ameamua kufunika ili kuepuka lawama.
View attachment 3047088View attachment 3047092
Drama tu hizo.kama hata Samia hajui wanaoteka watu,basi hata yeye hayuko salama.ipo siku watamteka.
Already happened.kama hata Samia hajui wanaoteka watu,basi hata yeye hayuko salama.ipo siku watamteka.
Wewe wacha porojo, kama unawajuwa waliotekwa kweli waelezee hapa, sisi gtunaoona ni drama tuyajuwe.Wakati nafikiria kuandika uzi huu, niliogopa kidogo kwa hofu hiyo hiyo ya kutekwa, lakini nikajipa moyo kwamba tukinyamaza hapa JF ni nani mwingine atasema?
Kwa Rais kusema hadharani kwamba masuala ya kutekwa watu yanayoendelea kwenye nchi anayoiongoza ni Drama, si tu kwamba ni uongo lakini pia ni kejeli isiyokubalika, Yaani watu watekwe na kupelekwa polisi na baadaye kutupwa kusikofahamika halafu tuaminishwe kwamba hizo ni Drama! ili kuamini jambo hili Tunapaswa tusiwe na akili kabisa au tuwe tumenyofolewa ubongo.
Ni kweli kwamba Mkubwa hakosei, lakini kwenye hili Mama Kakosea na anapaswa kuomba radhi, Vinginevyo awe tayari kuhusishwa na utekaji unaoendelea na kwamba Yeye ndiye anayewatuma Watekaji na ameamua kufunika ili kuepuka lawama.
View attachment 3047088View attachment 3047092
siku wakikuteka watakupiga mtungo mpaka usahau saudia hipo vaticanDrama tu hizo.
Uko sahihi kbs!kama hata Samia hajui wanaoteka watu,basi hata yeye hayuko salama.ipo siku watamteka.
ndiyo hizo drama zenyewe. Umekiri kiaina.siku wakikuteka watakupiga mtungo mpaka usahau saudia hipo vatican
Unapinga wewe kama nani,ukiombwa ushahidi unaenda kumpigia mbowe magoti,acha ujinga wewe fanya soasa kwa hoja sio maelekezo ya SultanWakati nafikiria kuandika uzi huu, niliogopa kidogo kwa hofu hiyo hiyo ya kutekwa, lakini nikajipa moyo kwamba tukinyamaza hapa JF ni nani mwingine atasema?
Kwa Rais kusema hadharani kwamba masuala ya kutekwa watu yanayoendelea kwenye nchi anayoiongoza ni Drama, si tu kwamba ni uongo lakini pia ni kejeli isiyokubalika, Yaani watu watekwe na kupelekwa polisi na baadaye kutupwa kusikofahamika halafu tuaminishwe kwamba hizo ni Drama! ili kuamini jambo hili Tunapaswa tusiwe na akili kabisa au tuwe tumenyofolewa ubongo.
Ni kweli kwamba Mkubwa hakosei, lakini kwenye hili Mama Kakosea na anapaswa kuomba radhi, Vinginevyo awe tayari kuhusishwa na utekaji unaoendelea na kwamba Yeye ndiye anayewatuma Watekaji na ameamua kufunika ili kuepuka lawama.
View attachment 3047088View attachment 3047092
ile mil 35 aliyoitoa kumtibu Sativa naye alipigwa drama?ndiyo hizo drama zenyewe. Umekiri kiaina.