Pre GE2025 Napinga Kauli ya Rais Samia kwamba Utekaji ni Drama, hii ni dharau kwa Wananchi

Pre GE2025 Napinga Kauli ya Rais Samia kwamba Utekaji ni Drama, hii ni dharau kwa Wananchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakati nafikiria kuandika uzi huu, niliogopa kidogo kwa hofu hiyo hiyo ya kutekwa, lakini nikajipa moyo kwamba tukinyamaza hapa JF ni nani mwingine atasema?

Kwa Rais kusema hadharani kwamba masuala ya kutekwa watu yanayoendelea kwenye nchi anayoiongoza ni Drama, si tu kwamba ni uongo lakini pia ni kejeli isiyokubalika, Yaani watu watekwe na kupelekwa polisi na baadaye kutupwa kusikofahamika halafu tuaminishwe kwamba hizo ni Drama! ili kuamini jambo hili Tunapaswa tusiwe na akili kabisa au tuwe tumenyofolewa ubongo.

Ni kweli kwamba Mkubwa hakosei, lakini kwenye hili Mama Kakosea na anapaswa kuomba radhi, Vinginevyo awe tayari kuhusishwa na utekaji unaoendelea na kwamba Yeye ndiye anayewatuma Watekaji na ameamua kufunika ili kuepuka lawama.

View attachment 3047088View attachment 3047092
Kumbukumbu inaonesha alipoapishwa tu alianza vijembe kumpiga Dkt Magufuli eti watu walikuwa wanatekwa hahaha hakujua huo ulikuwa mchezo wa watu leo ndiyo kazinduka usingizini hahahaha Dkt Samia tuna uhakika lazima upige goti na ukalie Chato ili Mungu akusamehe kwa kauli zako tata kwa Dkt Magufuli. Wewe ulipaswa uwe namba moja wa kuzuia Dkt Magufuli asidhalilishwe ila ulijivika koti la usemaji wa kindi la kumdhihaki na kumsema vibaya Dkt Magufuli. Nasikia kwa sasa ukisema tu jina Dkt Samia hakika unaweza kupigwa mawe. Tunakupa pole muda unao wa kuomba msahama
 
ile mil 35 aliyoitoa kumtibu Sativa naye alipigwa drama?

Kumbe hata huelewi dunia inakwendaje. Huyo ni kijana wetu, huoni hata anapoishi?

Waliofanya hiyo drama wanajulikana, lakini serikali makini ya mama haina papara nao.
 
Kumbe hata huelewi dunia inakwendaje. Huyo ni kijana wetu, huoni hata anapoishi?

Waliofanya hiyo drama wanajulikana, lakini serikali makini ya mama haina papara nao.
Sisi siyo wajinga
 
Kumbe hata huelewi dunia inakwendaje. Huyo ni kijana wetu, huoni hata anapoishi?

Waliofanya hiyo drama wanajulikana, lakini serikali makini ya mama haina papara nao.
Hata enzi za Dkt Magufuli ilikuwa hivyo hivyo watu wa pembeni waliteka watu ili ionekane Dkt Magufuli anawatuma na kibaya Dkt Samia alipoapishwa alishadadia kushabikia huo uongo leo yanamkuta yeye akiwaambiwa waty drama ni ngumu kumuelewa maana alikuwa na nafasi kipindi kile kumsafisha Dkt Magufuli na huo uongo ingemsaidia sasa ila kwa hali ilivyo inaonekana haaminiki kabisa kwa wapiga kura wanamuona muongo muongo
 
Wakati nafikiria kuandika uzi huu, niliogopa kidogo kwa hofu hiyo hiyo ya kutekwa, lakini nikajipa moyo kwamba tukinyamaza hapa JF ni nani mwingine atasema?

Kwa Rais kusema hadharani kwamba masuala ya kutekwa watu yanayoendelea kwenye nchi anayoiongoza ni Drama, si tu kwamba ni uongo lakini pia ni kejeli isiyokubalika, Yaani watu watekwe na kupelekwa polisi na baadaye kutupwa kusikofahamika halafu tuaminishwe kwamba hizo ni Drama! ili kuamini jambo hili Tunapaswa tusiwe na akili kabisa au tuwe tumenyofolewa ubongo.

Ni kweli kwamba Mkubwa hakosei, lakini kwenye hili Mama Kakosea na anapaswa kuomba radhi, Vinginevyo awe tayari kuhusishwa na utekaji unaoendelea na kwamba Yeye ndiye anayewatuma Watekaji na ameamua kufunika ili kuepuka lawama.

View attachment 3047088View attachment 3047092
Huyu maadam president ana tatizo mahali.
Kwa vile hana muda wa kukaa Tanzania na kufuatilia yanayo tokea, washauri wake wana mlisha matango pori nae ana kubali.
Amwambie IGP na wenzake waache drama. Polisi hawezi kukaa na mtuhumiwa siku29 bila maelezo halafu humchulii hatua badala yake una sema ni drama?? You better keep quiet
 
Utekaji ni drama...!!?? Yaani mtu akamatwe na kuwekwa Oysterbay police, halafu baada ya muda fulani akutwe Katavi mbugani huku kapigwa risasi ya taya, BADO RAIS AITE NI DRAMA...!!????

IPO SIKU ATASEMA MAUWAJI YA ALBINO NAYO NI DRAMA..!!

Mama kwa hili, umeupiga mchache sana....!!!
Nahisi kuna sehemu hakuko sawa kabisaaa
 
kama hata Samia hajui wanaoteka watu,basi hata yeye hayuko salama.ipo siku watamteka.
Wakati nafikiria kuandika uzi huu, niliogopa kidogo kwa hofu hiyo hiyo ya kutekwa, lakini nikajipa moyo kwamba tukinyamaza hapa JF ni nani mwingine atasema?

Kwa Rais kusema hadharani kwamba masuala ya kutekwa watu yanayoendelea kwenye nchi anayoiongoza ni Drama, si tu kwamba ni uongo lakini pia ni kejeli isiyokubalika, Yaani watu watekwe na kupelekwa polisi na baadaye kutupwa kusikofahamika halafu tuaminishwe kwamba hizo ni Drama! ili kuamini jambo hili Tunapaswa tusiwe na akili kabisa au tuwe tumenyofolewa ubongo.

Ni kweli kwamba Mkubwa hakosei, lakini kwenye hili Mama Kakosea na anapaswa kuomba radhi, Vinginevyo awe tayari kuhusishwa na utekaji unaoendelea na kwamba Yeye ndiye anayewatuma Watekaji na ameamua kufunika ili kuepuka lawama.

View attachment 3047088View attachment 3047092
Hivi mkuu mbona leo umeandika kama panya anayekula mguu wa mtu aliyelala, kuuma na kupuliza ili 'host' asiamke na kukasirika?

Nikawaza hivi, labda kuna mtu kaazima simu yako kuchezea ama hii michezo yao ya 'kuhaki' account za watu?

Iwe ni wewe kabisa og usijue namna taasisi za kiserikali zinavyofanya kazi, kwa hili siamini!

Kuna usalama ama Polisi gani anayefanya kazi bila kupewa 'order' na mkubwa wake?

Iko hivii, hawa watu wanaoikosoa Serikali na kisha kutekwa na kupotezwa, anayebariki hayo yote ni Rais mwenyewe, kwa kuagiza yeye ama kwa kushauriwa, lakini ni lazima taarifa awe nayo.

Na amri ya utekekezaji hushushwa kwa maandishi ya siri ambayo wasiohusika hawawezi kuelewa mpango huo.

Jambo lolote kubwa la kuchezea maisha ya mtu halafu eti vyombo vyote vya dola visiwe na habari ni utani wa matusi ya nguoni.

Kazi hiyo ingelifanywa na 'mafia' wa kujitegemea wasiopokea maagizo toka juu wangelidabuliwa kwa kasi ya mwanga na dunia nzima ikajua ndani ya muda mfupi ambao wewe hauwezi kuamini.

Mfumo wa kiutendaji wa majeshi yote ya kiulinzi na kiusalama hupokea amri zao na maagizo ya kila siku kutoka kwa amiri jeshi mkuu na pia wao kila siku huwasilisha 'SITREP' kuainisha utendaji na utekelezaji wa majukumu yao na maagizo ya boss wao.

Kwa maana hiyo sasa, tangu kina Tundu Lisu, Sanane na kina Gwanda ni mwendo wa kujiteka na kujipiga risasi wao kwa wao wenyewe tu bila ya gavamento kuhusika siyo!

Rais kama anafurahia matendo haya wanayofanyiwa raia wake, angelisherehekea kwa kunyamaza, ingelitosha sana kwa sababu hakuna anayeweza kuthubutu kuchongoroa domo lake kumuuliza pia ana kinga, hahojiwi.
 
Wakati nafikiria kuandika uzi huu, niliogopa kidogo kwa hofu hiyo hiyo ya kutekwa, lakini nikajipa moyo kwamba tukinyamaza hapa JF ni nani mwingine atasema?

Kwa Rais kusema hadharani kwamba masuala ya kutekwa watu yanayoendelea kwenye nchi anayoiongoza ni Drama, si tu kwamba ni uongo lakini pia ni kejeli isiyokubalika, Yaani watu watekwe na kupelekwa polisi na baadaye kutupwa kusikofahamika halafu tuaminishwe kwamba hizo ni Drama! ili kuamini jambo hili Tunapaswa tusiwe na akili kabisa au tuwe tumenyofolewa ubongo.

Ni kweli kwamba Mkubwa hakosei, lakini kwenye hili Mama Kakosea na anapaswa kuomba radhi, Vinginevyo awe tayari kuhusishwa na utekaji unaoendelea na kwamba Yeye ndiye anayewatuma Watekaji na ameamua kufunika ili kuepuka lawama.

View attachment 3047088View attachment 3047092

"Until the mosquito lands on testes." Mpaka siku mbu atakapotua kwenye PUMBU......ndiyo tutelewa, yaani atekwe DULLA ....🤔🤔🤔😎😎
 
Kiswahili inaweza ikawa ni lugha ngumu kueleweka licha ya kwamba ndio lugha ya Taifa. Kama ulisikiliza mwanzo mwisho utabaini Rais hakusema kwamba kila tukio mtu kajiteka na alianza kuzungumzia tatizo na baadae ndio akasema kwamba wengine wanajiteka na mfano wa mtu kujiteka upo pengine umesahau tu, ABDUL NONDO aliwahi kujiteka kipindi cha Hayati Magufuli
Hivi nyie wapumbafuu kila jambo ni lazima mumtee huyu bibi yenu hata pale anapotoa kauli za kijinga??

Hivi ni kwamba hizo ajira pamoja na mianya ya rushwa iliyosababishwa na serikali yake dhaifu mnayonufaika nayo ndio imewatoa akili kiasi hiki cha kumtetea hata pale anapobeza suala linalohatarisha maisha ya watu?

Ndio maana hapa afrika mashariki nyie watanganyika ndio mnaongozwa kwa kudharauliwa na kila mtu.
 
Hivi nyie wapumbafuu kila jambo ni lazima mumtee huyu bibi yenu hata pale anapotoa kauli za kijinga??

Hivi ni kwamba hizo ajira pamoja na mianya ya rushwa iliyosababishwa na serikali yake dhaifu mnayonufaika nayo ndio imewatoa akili kiasi hiki cha kumtetea hata pale anapobeza suala linalohatarisha maisha ya watu?

Ndio maana hapa afrika mashariki nyie watanganyika ndio mnaongozwa kwa kudharauliwa na kila mtu.
Daàaah
 
Watoto wa-shule wanatekwa wanafanyiwa unyama , watu wanachapwa risasi za kichwa bado ni drama … Mama wanaku-misinform hao jamaa
Huyu mama si tu yeye pekee ni dhaifu, bali hata vyombo muhimu vilivyovyopo chini yake kama TISS ni dhaifu sana awamu hii.

Hakuna kazi ya maana wanayoifanya.
 
Wakati nafikiria kuandika uzi huu, niliogopa kidogo kwa hofu hiyo hiyo ya kutekwa, lakini nikajipa moyo kwamba tukinyamaza hapa JF ni nani mwingine atasema?

Kwa Rais kusema hadharani kwamba masuala ya kutekwa watu yanayoendelea kwenye nchi anayoiongoza ni Drama, si tu kwamba ni uongo lakini pia ni kejeli isiyokubalika, Yaani watu watekwe na kupelekwa polisi na baadaye kutupwa kusikofahamika halafu tuaminishwe kwamba hizo ni Drama! ili kuamini jambo hili Tunapaswa tusiwe na akili kabisa au tuwe tumenyofolewa ubongo.

Ni kweli kwamba Mkubwa hakosei, lakini kwenye hili Mama Kakosea na anapaswa kuomba radhi, Vinginevyo awe tayari kuhusishwa na utekaji unaoendelea na kwamba Yeye ndiye anayewatuma Watekaji na ameamua kufunika ili kuepuka lawama.

View attachment 3047088View attachment 3047092
Daah kweli tumepatikana
 
Nyinyi wajanja sana, tunaelewa hilo.
Nimeangalia Taarifa y habari ITV...ni kama vile wamemsitiri mama yenu maana wameonesha vipande ambvyo anasema mambo mengine sio huu upupu wa drama....level ya kiongozi wetu No 1 inatia mashaka sana
 
Nimeangalia Taarifa y habari ITV...ni kama vile wamemsitiri mama yenu maana wameonesha vipande ambvyo anasema mambo mengine sio huu upupu wa drama....level ya kiongozi wetu No 1 inatia mashaka sana
Umemaliza?

Kuna wakati tanzania ina neema zaidi ya huu?

Kama unabisha muulize Mbowe, alitolewa wapi?
 
Back
Top Bottom