imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Ndiko tunakoelekea.Mpaka watu waanze kulipiza kisasi kwa watoto wao na jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiko tunakoelekea.Mpaka watu waanze kulipiza kisasi kwa watoto wao na jamaa
LegacyLabda ni Magufuli ndio ana wateka hao wanaotekwa 😂😂😂😂😂!!
Labda siku CHADEMA ikiingia madarakani ndo nitakuwa na wasiwasi anaweza tekwa. Ila kwa sasa hilo haliwezekani.Siku akitekwa mama yako ndio utaelewa
Muulize Nape atakupa ushuhudaLabda siku CHADEMA ikiingia madarakani ndo nitakuwa na wasiwasi anaweza tekwa. Ila kwa sasa hilo haliwezekani.
Tumeambiwa Mkwiru watu zaidi ya 300 wamepotezwa, na serikali hata haijakanusha wala kutokea maelezo habari hizi.Ndio maana tunasema hao wafanya drama wasakwe na wachukuliwe hatua haraka sana
Inahuzunisha sanaTumeambiwa Mkwiru watu zaidi ya 300 wamepotezwa, na serikali hata haijakanusha wala kutokea maelezo habari hizi.
Hizo nazo ni drama?
Sativa jutekwa ni drama?
Zamu ya kufanyaje?Shetani hana rafiki, zamu yako itafika tu
ya kutekwaZamu ya kufanyaje?
Na nani?ya kutekwa
Rais Samia alitoa milioni 35 kama mchango wake kwenye matibabu ya Sativa aliyetekwa na kupatikana akiwa amejeruhiwa katavi. Kauli yake leo inamfanya tumuonaje rais wako?Acheni drama na nyie mna rekodi ya kujiteka kutafuta kiki.
Yana mwisho, Magufuli yupo wapi? Msicheze na damu za watuNa nani?
Vyombo rasmi?nilijua baada ya kupata taarifa kupitia vyombo rasmi
Damu gani tena?Yana mwisho, Magufuli yupo wapi? Msicheze na damu za watu
Alitoa kama raia mwema,Rais Samia alitoa milioni 35 kama mchango wake kwenye matibabu ya Sativa aliyetekwa na kupatikana akiwa amejeruhiwa katavi. Kauli yake leo inamfanya tumuonaje rais wako?
Umeandika wewe naogopa mimiSamia ni mfano wa mtu mjinga mjinga aliyepewa cheo kikubwa sana kuliko uwezo wake.
Na mambo kama haya yanaonesha ujinga wake.
Ni kama hausigeli mshamba katoka bush, asiyejua kusoma wala kuandika kapewa mtambo wa nyuklia aendeshe.
Majibu anayo NapeNa nani?
Raia mwema mwenye drama siyo?Alitoa kama raia mwema,
Ndio Kwa sababu wengine ni drama na wengine huenda ni kweli ndio maana kawataka Polisi wamalize kadhia hiyo.Raia mwema mwenye drama siyo?