Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza?Nimeangalia Taarifa y habari ITV...ni kama vile wamemsitiri mama yenu maana wameonesha vipande ambvyo anasema mambo mengine sio huu upupu wa drama....level ya kiongozi wetu No 1 inatia mashaka sana
Umemaliza?Nimeangalia Taarifa y habari ITV...ni kama vile wamemsitiri mama yenu maana wameonesha vipande ambvyo anasema mambo mengine sio huu upupu wa drama....level ya kiongozi wetu No 1 inatia mashaka sana
Wanaompatia taarifa labdaHuyu Mama huenda hajui yanayotendeka nani alaumiwe?!
Umemaliza?Nimeangalia Taarifa y habari ITV...ni kama vile wamemsitiri mama yenu maana wameonesha vipande ambvyo anasema mambo mengine sio huu upupu wa drama....level ya kiongozi wetu No 1 inatia mashaka sana
Umepiga Kwenye mshono wa KIDONDA KIBICHI hongera sana 🙏🔥🔥Hivi nyie wapumbafuu kila jambo ni lazima mumtee huyu bibi yenu hata pale anapotoa kauli za kijinga??
Hivi ni kwamba hizo ajira pamoja na mianya ya rushwa iliyosababishwa na serikali yake dhaifu mnayonufaika nayo ndio imewatoa akili kiasi hiki cha kumtetea hata pale anapobeza suala linalohatarisha maisha ya watu?
Ndio maana hapa afrika mashariki nyie watanganyika ndio mnaongozwa kwa kudharauliwa na kila mtu.
Sasa huyu Mama kashika Dola au Dola ndio imemshika?!Wanaompatia taarifa labda
Ufipa? Red Brigade?Sasa tumeshajua anayewatuma watekaji
Ndugu, hiki kiswahili unachoona kinaweza kuwa lugha ngumu ni lazima pia kupima na uzito wa maneno kulingana na nani anayaongea.Kiswahili inaweza ikawa ni lugha ngumu kueleweka licha ya kwamba ndio lugha ya Taifa. Kama ulisikiliza mwanzo mwisho utabaini Rais hakusema kwamba kila tukio mtu kajiteka na alianza kuzungumzia tatizo na baadae ndio akasema kwamba wengine wanajiteka na mfano wa mtu kujiteka upo pengine umesahau tu, ABDUL NONDO aliwahi kujiteka kipindi cha Hayati Magufuli
Utakufa wewe kwa umasikini mimi nitabaki, kapuku mkubwa we!Mkuu punguza hizo negativity zako watakuzika mapema kwa magonjwa ya moyo,
Sasa kwenye hyo kauli ya Mh. Rais kipi chaajabu mpaka unaandika povu lote hili, Kwan hujawahi sikia mtu kajiteka?
swali Mujarab!Sasa huyu Mama kashika Dola au Dola ndio imemshika?!