Pre GE2025 Napinga Kauli ya Rais Samia kwamba Utekaji ni Drama, hii ni dharau kwa Wananchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hata katika hili ya kifo cha Ally RIP, Rais atasema ni drama. Atasema kuwa alijiteka halafu akajiua , kisha akajitupa vichakanai. Alaaniwe mtu huyu unaoufanyia dhihaka uhai wa binadamu wenzake. Laani ya Mungu wetu, tunakuomba Mungu wetu, ikawe juu ya huyu mtu na wazao wake kwani aliudhihaki uhai wa binadamu wengine. Kama alivyouona uhai wa wengine kutokuwa wa thamani, ndivyo hivyo hivyo ukawe wa kwake. Maana ulituasa kuwa tuwatendeavyo wenzetu ndivyo tutakavyotendewa na sisi wenyewe.

Tunaomba sana, wauaji walindwe lakini wasiwe salama, wayashike madaraka kwa gharama ya uhai wa binadamu wenzao, lakini kamwe madaraka yasikae nao kila uovu wautendao dhidi ya wengine ukawarudie mara tatu zaidi. Wewe ni Bwana wa haki, tunaomva uwalipe hawa malipo ya haki sawa na uovu wao.
 
Kuna jamaa anaitwa ChoiceVariable anasema mama Samia hakusema haya maneno yenye kuonyesha kuyapuuzia matukio ya kutekwa, kupotezwa, kuuwawa nk.
 
Yametimia! hatimaye amehusishwa na watekaji kikamilifu.

Mungu ibariki JF
 
Saivi kaunda tume ya uchunguzi utakuja kupongeza tena.

Nitakua wa mwisho kuamini Chawa anafikiri kwa kutumia kichwa na sio makalio.
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Ni kutothamini uhai na maisha ya unaowaongoza....
Dini bado hazijaweza kushape viongozi... Vyeo vyao wanavithamini kuliko muumba wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…