Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Jamii ndiyo tatizo yaani mimi, huyu, wewe na yule,ngoja mafuvu yaendelee kupata akili yote haya yataishaHuyu Mama huenda hajui yanayotendeka nani alaumiwe?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamii ndiyo tatizo yaani mimi, huyu, wewe na yule,ngoja mafuvu yaendelee kupata akili yote haya yataishaHuyu Mama huenda hajui yanayotendeka nani alaumiwe?!
Kuna jamaa anaitwa ChoiceVariable anasema mama Samia hakusema haya maneno yenye kuonyesha kuyapuuzia matukio ya kutekwa, kupotezwa, kuuwawa nk.Wakati nafikiria kuandika uzi huu, niliogopa kidogo kwa hofu hiyo hiyo ya kutekwa, lakini nikajipa moyo kwamba tukinyamaza hapa JF ni nani mwingine atasema?
Kwa Rais kusema hadharani kwamba masuala ya kutekwa watu yanayoendelea kwenye nchi anayoiongoza ni Drama, si tu kwamba ni uongo lakini pia ni kejeli isiyokubalika, Yaani watu watekwe na kupelekwa polisi na baadaye kutupwa kusikofahamika halafu tuaminishwe kwamba hizo ni Drama! ili kuamini jambo hili Tunapaswa tusiwe na akili kabisa au tuwe tumenyofolewa ubongo.
Ni kweli kwamba Mkubwa hakosei, lakini kwenye hili Mama Kakosea na anapaswa kuomba radhi, Vinginevyo awe tayari kuhusishwa na utekaji unaoendelea na kwamba Yeye ndiye anayewatuma Watekaji na ameamua kufunika ili kuepuka lawama.
"Nchi yetu ina sifa kubwa sana ndani ya ukanda wetu na duniani, sasa zikitoka ripoti hizi huyu kauawa, huyu katekwa, huyu kafanywaje aahh, na yakitokea mbio serikalini"
"Tukizungumza haya ya kutekwa haya, unasema katekwa nani? unasikia mtoto alijiteka mwenyewe anapiga simu kwao zitoke pesa, huku mama kamtekesha mwanawe ili baba atoe pesa, yani vidude vya drama drama tu hivi lakini vinavyoandikwa kwenye vyombo vya habari ni kama serikali imelala watu wanatekwa tekwa tu hovyo, naomba sana tusiyafumbie macho" - Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Machifu Ikulu Dodoma
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Rais Samia: Machifu waambieni wanasiasa ukweli vyeo havipatikani kwa kuua watu
Bali alisemaje?Kuna jamaa anaitwa ChoiceVariable anasema mama Samia hakusema haya maneno yenye kuonyesha kuyapuuzia matukio ya kutekwa, kupotezwa, kuuwawa nk.
Saivi kaunda tume ya uchunguzi utakuja kupongeza tena.Hata CHADEMA walishawahi kulipua bomu kwenye mkutano wao Soweto Arusha. Sio kila utekaji ni wa kweli.
😆😆😆😆😆Saivi kaunda tume ya uchunguzi utakuja kupongeza tena.
Nitakua wa mwisho kuamini Chawa anafikiri kwa kutumia kichwa na sio makalio.