polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,361
- 5,842
DEO = Afisa Elimu Wilaya ( District Educational Officer)Mkurugenzi wa Halmashauri anaitwa DEO?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DEO = Afisa Elimu Wilaya ( District Educational Officer)Mkurugenzi wa Halmashauri anaitwa DEO?
Cc: Afisa UchaguziPia inategemea ngazi ya Halmashauri husika kwa Halmashauri ya Wilaya ataitwa DED kwa Halmashauri ya Manispaa ataitwa MED na kwa Halmashauri ya Jiji ataitwa CED
Sent using Jamii Forums mobile app
DED Je?Mkurugenzi wa Halmashauri.
We tako kweli, sio "asiri" ni "asili" hata kiswahili hujui umekaa unaongea ujinga. "Madereva" sio "madeleva"Unaonekana familia yenu ina asiri ya uchawi ndomana una roho mbaya kwahy madeleva wetu wanavyokonolewa kwenye pua kwako raha hahah
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Bahati mbaya watz hawaoni shida kuwa na dikteta ndio maana mambo yanakuwa mabaya kila siku.Mheshiwa mkuu wa Nchi, umemtumbua Mrisho Gambo kimakosa sana.
Na hapa ninaona kama ameonewa sana.
Gambo alikuwa mkuu wa mkoa. Mkuu wa mkoa ndio top say ya mkoa wa Arusha, iweje Mkurugenzi na DC wasimheshimu?
Tofauti zao kubwa ni za kimadaraka. CED na DC ndio walistahili kumsikiliza Mkuu wao wa mkoa na kuheshimu yale wanayokubaliana.
Iweje mkuu wa Mkoa asimamie nafasi yake then hawa wa chini yake wasimheshimu?? Wamdharau??
Tunajua Mrisho ni mchapa kazi mzuri.
Haya maamuzi sio sahihi.
Gambo alikuwa anasimamia uongozi wake tu na kuheshimiwa.
Gambo anawania ubunge,ili awe waziri au spika n.kUlitaka gaambo akae hapo milele!
Any way Subiria atapangiwa Kazi nyingine
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Sidhani kama kuna cha MED na CED, bali kwa manispaa anaitwa tu Municipal Director na wa Jiji anaitwa City Director.Pia inategemea ngazi ya Halmashauri husika kwa Halmashauri ya Wilaya ataitwa DED kwa Halmashauri ya Manispaa ataitwa MED na kwa Halmashauri ya Jiji ataitwa CED
Sent using Jamii Forums mobile app
Halmashauri zipo nyingi, wewe unasema ipi, ya Wilaya(DED), ya Manispaa(MD), ya Jiji, ya Mji mdogo?, n.k.Mkurugenzi wa Halmashauri anaitwa DEO?
Yeye kamuandika CEDDEO = Afisa Elimu Wilaya ( District Educational Officer)
Nilikuwa nimemwelewa vizuri sana isipokuwa nilikuwa namwongezea nguvu tu ya kukumbuka!DEO ni afisa elimu wilaya. DED ndio mkurugenzi kakosea tu kidogo najua ulikuwa umeelewa.
Niliandika kama alivyokuwa ameandika yeye! Unatakaje?😁😁😂😂Halmashauri zipo nyingi, wewe unasema ipi, ya Wilaya(DED), ya Manispaa(MD), ya Jiji, ya Mji mdogo?, n.k.
DEO ni District Educational OfficerMkurugenzi wa Halmashauri anaitwa DEO?
Pole sana Mkuu , mteuzi wa kweli ni Mungu pekeeMheshiwa mkuu wa Nchi, umemtumbua Mrisho Gambo kimakosa sana.
Na hapa ninaona kama ameonewa sana.
Gambo alikuwa mkuu wa mkoa. Mkuu wa mkoa ndio top say ya mkoa wa Arusha, iweje Mkurugenzi na DC wasimheshimu?
Tofauti zao kubwa ni za kimadaraka. CED na DC ndio walistahili kumsikiliza Mkuu wao wa mkoa na kuheshimu yale wanayokubaliana.
Iweje mkuu wa Mkoa asimamie nafasi yake then hawa wa chini yake wasimheshimu?? Wamdharau??
Tunajua Mrisho ni mchapa kazi mzuri.
Haya maamuzi sio sahihi.
Gambo alikuwa anasimamia uongozi wake tu na kuheshimiwa.
[emoji4]Pole sana Mkuu , mteuzi wa kweli ni Mungu pekee
Wewe ni mchepuko wake???Mheshiwa mkuu wa Nchi, umemtumbua Mrisho Gambo kimakosa sana.
Na hapa ninaona kama ameonewa sana.
Gambo alikuwa mkuu wa mkoa. Mkuu wa mkoa ndio top say ya mkoa wa Arusha, iweje Mkurugenzi na DC wasimheshimu?
Tofauti zao kubwa ni za kimadaraka. CED na DC ndio walistahili kumsikiliza Mkuu wao wa mkoa na kuheshimu yale wanayokubaliana.
Iweje mkuu wa Mkoa asimamie nafasi yake then hawa wa chini yake wasimheshimu?? Wamdharau??
Tunajua Mrisho ni mchapa kazi mzuri.
Haya maamuzi sio sahihi.
Gambo alikuwa anasimamia uongozi wake tu na kuheshimiwa.
Respect yourself.Wewe ni mchepuko wake???
Unamjua Gambo kuliko TAKUKURU. Kama Gambo atafulia njoo kwangu. Mimi ni muhongaji mzuri sana na pia sitegemei vyeo vya kuteuliwa.
Pia sina kibamia, utafurahi mwenyewe!
DEOGRASIASSamahani naomba kirefu cha DEO
CCM wanachekesha sana ndiyo maana Nchi haina maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, Yaani mtu wa chini yako akiamua kumdharau mkubwa wake akawa na kiburi wanaamua kuwatoa wote? Dharau ya wa chini inamtoa yule boss wa juu? Mfumo wa kijinga sana huu, hii itawapelekea wakuu wa wilaya wengi kuanza kuwadharau wakuu wa mikoa wakijua ikitokea kufukuzwa wanafukuzwa wote, ni Aina mpya ya kutoheshimu boss wako mnafukuzwa wote itashusha heshima kwa viongozi wengi, watu wa chini watawafanyia visa wakijua kama ni kufukuzwa wanafukuzwa wote, hakuna utawala bora mbele ya Mdogo kumdharau mkubwa kisha mbafukuzwa wote, huo ni udhalilishaji kwa mkubwa kwani Mdogo sasa anajua akifanya ukaidi mkubwa anafukuzwa, ni vigumu Taifa kupata maendeleo endapo CCM wameanza kuendekeza ujinga huo mpya,ipo siku polepole atamdharau katibu mkuu kisha wataondolewa wote badala ya kuangalia chanzo wala yule aliyeleta Dharau , ebu mkuu wa wilaya mkurugenzi mdharau Naibu Rais ndugu Daud Bashite tuone kama mtatumbuliwa wote?Mheshiwa mkuu wa Nchi, umemtumbua Mrisho Gambo kimakosa sana.
Na hapa ninaona kama ameonewa sana.
Gambo alikuwa mkuu wa mkoa. Mkuu wa mkoa ndio top say ya mkoa wa Arusha, iweje Mkurugenzi na DC wasimheshimu?
Tofauti zao kubwa ni za kimadaraka. CED na DC ndio walistahili kumsikiliza Mkuu wao wa mkoa na kuheshimu yale wanayokubaliana.
Iweje mkuu wa Mkoa asimamie nafasi yake then hawa wa chini yake wasimheshimu?? Wamdharau??
Tunajua Mrisho ni mchapa kazi mzuri.
Haya maamuzi sio sahihi.
Gambo alikuwa anasimamia uongozi wake tu na kuheshimiwa.