kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,178
- 1,596
Nani kakudanganya watoto wa JPM hawali raha?_Watoto wa wakubwa angalau wanakula Raha za Nchi kasoro Watoto wa Mwamba John Joseph Magufuli
1) Makongoro Nyerere -Mkuu wa Mkoa Manyara
2) Hussein Mwinyi -Rais wa Znz
3) Danston Mkapa - Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi
4) Ridhiwani Kikwete -Naibu Waziri wa Ardhi
5)
6) Binti wa Samia Mbunge wa kuteuliwa toka Znz
CC ya CCM hatare
Hao vichwa maji wanajua kula maisha mpaka ujioneshe! Uwe kama Miraji Kikwete!Nani kakudanganya watoto wa JPM hawali raha?_
Katika watu ambao wameleta shida kubwa katika nchi ya Tz ni Jiwe, hili halina ubishiWatoto wa wakubwa angalau wanakula Raha za Nchi kasoro Watoto wa Mwamba John Joseph Magufuli
1) Makongoro Nyerere -Mkuu wa Mkoa Manyara
2) Hussein Mwinyi -Rais wa Znz
3) Danston Mkapa - Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi
4) Ridhiwani Kikwete -Naibu Waziri wa Ardhi
5)
6) Binti wa Samia Mbunge wa kuteuliwa toka Znz
CC ya CCM hatare
Hueleweki, you are Jiwe prototype.Hao watu wanaotaka kutengsa shilingi bilioni chache wa discuss Katiba wa discuss njisi ya kuishi kwa mwafaka?
KWA NINI HAWAJUI JINSI YA KUISHI KWA MWAFAKA? HOW OLD ARE THEY ?
Halafu Mbowe kaachiliwa huru na Rais juzi, anataka kwenda kujadili juu ya kupunguza madaraka ya Rais.
Sasa Rais angekuwa hana madaraka, angemwachia vipi huru Mbowe.
Halafu, Rais anatoa hela watu wajadili Katiba. Provision zake, mtu akipiga, anaenda Ulaya kutibiwa. Hao watu kweli watapunguza madaraka ya rais?
Kuna yule wa kike alikuwa anaitwa kilaza...... Aisee hatari sana
Ni bora Kikwete kuliko yule nduli aisee. Unakumbuka nchi ilirudi enzi za ujima. Hata haya matatizo unayoyaona yamesababishwa na Jiwe.Kikwete anatuharibia hii nchi.
The guy is a disgrace.
Ila Kinana anayo?Mimi sioni shida. Kwani Makongoro ana hati miliki ya chama?
Achana naye mkuu, kuna watu wana akili kisoda. Eti wanamuita Mwamba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwamba????????labda mwamba ngozi
Je wassira yupo serious?Yani huku nje kazi yake kuchekesha chekesha lakini akiingia ndani ya CC anakuwa mwiba ???
Haiwezekani. Usitudanganye.
Wamemtoa kwa sababu kapoteza heshima yake kwa kujifanya Joti. Hakuna anaemchukulia seriously tena. Bado u-RC. Remove that douchebag from office.
Wewe haujui kinachongelewa inawezekana kiswahili kinakupiga chenga, hajanyimwa yeye alikuwa mjumbe ila sasa wamemuondoa na wamempa mjomba wake Wasira, CCM ina mfumo wa familia za wateule kuongoza chama.akipewa mtasema kisa baba yake au mtoto wa fulani, akinyimwa aiwezekani mtoto wa fulani anyimwe...
mara ccm ife, achen ife sasa
Yohana mbatizwajii..umekuwa wa hovyoo sana siku hizi!! Post zako zinatia kichefuchefu..You are completely finished!Kaondolewa au karejeshwa?
Hapo wanatakiwa wanafiki walio tukuka sasa Makongoro ajafikia hiyo level ya unafiki ndiyo maana tumemtoa
Je wassira yupo serious?
Shida kakuletea wwe mpiga deal na mpenda short cut za Maisha! Ila wale wanaoishi kwenye mfumo wa haki kwa wote walipenda sana utawala wa Magufuli!!Katika watu ambao wameleta shida kubwa katika nchi ya Tz ni Jiwe, hili halina ubishi
Kuna wakati ficha ujinga uonekane mwerevu, sasa wapi mtoa mada kasema Makongoro yupo kwa sababu ya urithi au late father of nation ndiye kaazisha vyama ulivyotaja?.Hata Kama ingekua ni urithi.. Nyerere hakuanzisha CCM, maana CCM imetokea TANU na ASP, TANU umetoka TAA, TAA imetoka AA ambavyo vyote havikuanzishwa na Nyerere, so Kama Makongoro kakosa sifa, wacha atolewe
Wewe haujui kinachongelewa inawezekana kiswahili kinakupiga chenga, hajanyimwa yeye alikuwa mjumbe ila sasa wamemuondoa na wamempa mjomba wake Wasira, CCM ina mfumo wa familia za wateule kuongoza chama.
Toka Jiwe afunge ka duka kako ka mchongo ka kubadilishia fedha za Kigeni umekua na chuki isiyo kwisha kwa Mwendazake!! Pole pambana na hali yako! Ongea na Mwigulu akurudishie fedha zako za Utakatishaji!!!Ni bora Kikwete kuliko yule nduli aisee. Unakumbuka nchi ilirudi enzi za ujima. Hata haya matatizo unayoyaona yamesababishwa na Jiwe.