Pre GE2025 Napinga Mchungaji Msigwa anaposema sasa atafanya kazi ya kuikashifu CHADEMA

Pre GE2025 Napinga Mchungaji Msigwa anaposema sasa atafanya kazi ya kuikashifu CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
In political etiquette uwezi kukosoa chama (hasa uongozi wa juu) wakati uko ndani kama huna nia ya ku-challenge nafasi ya mwenyekiti

Same kama ilivyo serikalini uwezi kukosoa maamuzi ya serikali kama wewe ni waziri (unabanwa na kanuni ya collective responsibility).

Mbowe ameanza kuwachosha wapambanaji wenzake, kuelezea huo uozo inabidi uwe nje ya chama, sio lazima ujiunge na chama kingine.

Msigwa ni hasira kwanza, pili ni maokoto ya CCM hizo nyongo ili asiteme bure bure tu, CCM wameona bora ateme akiwa mwanachama wao as opportunists and exploitative party.

Mbowe ni shida kwa ustawi wa CDM kama chama cha ukweli cha upinzani.
 
Msigwa ameona chama kimekosa muelekeo chadema sio Ile tena ni kama kampuni ya mtu anajiamulia yeye anavyotaka kumbuka uchaguzi wa Kanda msigwa kahujumiwa sana pesa za mbowe zimetumika kumuangusha
Unamwambia nani haya humu JF? Humu kuna wageni au unadhani waliopo humu ni wanakijiji?!
 
Msigwa hana impact, hata sababu zake za kuhama ni za kipuuzi! basi
Namshangaa Msigwa kwani kuhama ni ugomvi si matakwa ya demokrasia.Yeye atangaze sera za CCM fullstop. Mchungaji tena analipiza kisasi hata kama alitendewa mabaya. Mchungaji feki anasahau sala ya baba yetu aliye mbiguni! hana chochote wacha CCM imtumie hata Pendo kasemasema wee sasa kimya asiwasaidie akina Nchimbi na Makalla wasiojua kujenga hoja mpaka wakodi majeshi kutoka CDM. safari hii tunao.
 
Mtaji wa wanasiasa ni hadhira iliyojaa wajinga...

Watu werevu huwa hawana muda wa kupoteza wa kufuatilia harakati za watu wengine walio katika ajira nyingine...
 
Ni kweli kwamba mtu akihama Chama hawezi tena kukisifu Chama alichotoka ama sivyo ataulizwa kwanini alikihama.

Lakini haiwezekani Msigwa azunguke nchi nzima aanze kusema,"Mbowe ni mnafiki,Chadema hawafai"
Yeye amahama Chadema, mambo ya Chadema sasa hayamhusu tena.

Waachane kwa amani na Chadema kwa amani. Isiwe kwamba sharti lake la kupokelewa CCM ni kuitukana Chadema.

Hata Lowassa alihamia Chadema hatukumsikia anaikashifu CCM.

Pia soma
Chadema haifai sawa,lakini Chadema ndiyo inayoongoza nchi hadi ccm kwakupitia msigwa wazunguke nchi nzima kutangaza kwamba Chadema haifai kwakupitia Mbowe?Wakisha tumia hizo pesa kuzunguka nchi nzima hapo ndipo watanzania tutapata maendeleo? Kimsingi hapo hakuna critical thinking.
 
Msigwa anatengenezewa ajali ya kisiasa, wanamjaza upepo aishambulie Chadema kisha wanamnyofoa roho ili waseme ni Chadema wanalipiza kisasi,ajiangalie sana CCM ni Mafia kabisa.
 
Wewe ndo umekufa maana hata mungu wa CHATO alitaka kuiua tena kwa vitendo akafa yeye sembuse wewe unaetumia maneno? Mama abdul anaiogopa chadema ndo maana analipa mabilioni kununua wanachama ili kukidhoofisha.
Wenye ccm yao wanajua hatari ya chadema kwao lakini wewe ambae unaishia kuvaa tishet na kulipwa hela za vocha ndo unadhani chadema imekufa we jipange kumpigia deki msigwa na ndo maana wenye ccm yao huchukuwa watu kutoka chadema na kuwapa nafasi maana wanauwezo
 
Kwanza huyu sio mchungaji na kama ni mchungaji basi ni wa ng'ombe
N
i mwongo
ndumilakuwili
haaminiki kwa unafiki wake!
 
Wewe ndo umekufa maana hata mungu wa CHATO alitaka kuiua tena kwa vitendo akafa yeye sembuse wewe unaetumia maneno? Mama abdul anaiogopa chadema ndo maana analipa mabilioni kununua wanachama ili kukidhoofisha.
Wenye ccm yao wanajua hatari ya chadema kwao lakini wewe ambae unaishia kuvaa tishet na kulipwa hela za vocha ndo unadhani chadema imekufa we jipange kumpigia deki msigwa na ndo maana wenye ccm yao huchukuwa watu kutoka chadema na kuwapa nafasi maana wanauwezo
Umenena kweli tupu mkuu!
Enenda kwa amani mtu wa Mungu
 
Haki yake afanye atakavyo afanye awezavyo. Kondomu ni kondomu na soksi ni soksi. Unaweza ukafua soksi ila sio kondomu.
 
Anachotaka kufanya ni ushamba tu; na wala 'uchafu' wa CDM hauwezi kuwa usafi wa vyama vingine!
 
Siasa za Attack and Defense, Siasa ambazo hatuongelei issue wala practically hakuna ideological differences zaidi ya platform za kupata Kura ili uende Kula..., kwahio swali langu kwako unategemea atafanya nini zaidi ya kutumia attack ili yeye ndio apate Kura na sio wale ? Je zaidi ya kuzunguka na kutafuta wachawi atafanya nini ?

Wananchi wenyewe wanataka mambo rahisi rahisi (comedic value) na Umbea na Kufuatiliana Maisha..., Thus huenda anawapa wanachotaka...; Ila hii ni Hasara kwa Mlipa Kodi (pesa yake ya Ruzuku) na Taifa (tunajikita kwenye petty issues ambazo hazina msaada kwa Taifa)
 
Ni kweli kwamba mtu akihama Chama hawezi tena kukisifu Chama alichotoka ama sivyo ataulizwa kwanini alikihama.

Lakini haiwezekani Msigwa azunguke nchi nzima aanze kusema,"Mbowe ni mnafiki,Chadema hawafai"
Yeye amahama Chadema, mambo ya Chadema sasa hayamhusu tena.

Waachane kwa amani na Chadema kwa amani. Isiwe kwamba sharti lake la kupokelewa CCM ni kuitukana Chadema.

Hata Lowassa alihamia Chadema hatukumsikia anaikashifu CCM.

Pia soma
Ni mchungaji mwenye Kanisa la kilokole Iringa na Dar es salaam.
Waumini wake naamini wapo kwenye toba na wiki hii jumapili wanahamia makanisa mengine.
 
Back
Top Bottom