Napinga Mikel Arteta kupewa mikoba ya Wenger sababu hana uwezo

Napinga Mikel Arteta kupewa mikoba ya Wenger sababu hana uwezo

Arsenal wamebadili mfumo wa uongozi wa meneja baada ya Arsene kuondoka.

Wanataka Arteta awe kocha mkuu yaani head coach na sio meneja ambae anahodhi kila kitu.

Hiyo ni baada ya kumlata Sven Mislintat kutoka Borussia Dortmund ambae ndiye anaeshughulika na usajili wa wachezaji.

Hiyo ni moja ya sababu kubwa ya Wenger kuondoka Arsenal baada ya kuja huyo mjerumani ambae ndiye aliefanikisha kumleta Obamiyang.

Hivyo ikiwa Arteta akakubali nafasi hiyo ya Head Coach basi Santi Cazorla atakuwa msaidizi wake pamoja na jopo lake la makocha au backroom staff.
Wala sijapinga ulichoandika , lakini Je kwanini apewe Arteta asiye na ujuzi wala uzoefu ? Na huyo Carzola aliwahi kufanya nini na wapi ?
 
Wala sijapinga ulichoandika , lakini Je kwanini apewe Arteta asiye na ujuzi wala uzoefu ? Na huyo Carzola aliwahi kufanya nini na wapi ?

Watakuwa wanapendelewa kwasababu ya wao ni walikuwa ni creative players na Arsenal wanataka mwendelezo huo.

Hata Thierry Henry nae atafanyiwa usaili wiki ijayo.

Ila bado Max Allegri wa Juventus aongoza orodha ya mameneja ambao wataweza kufikiriwa na bodi ya Arsenal akiwemo pia Rafael Benitez wa Newcastle.

Lakini kwa mfumo mpya wa kocha wa Arsenal wanapendelea kuendelea na misingi aloacha Arsene Wenger kwa kumtumia Arteta ambae ana miaka 36 tu.

Kumbuka Arteta ni product ya Barcelona hivyo pia kuwa msaidizi wa Pep Guadiola ni mbolea tosha kumsaidia kuiona Arsenal.

Tarajia mabadiliko makubwa Arsenal huku wachezaji wengi wa zamani wakiachwa.
 
Ana kazi yake tayari.. yaani anafundisha timu nzuri kuliko Arsenal .. chukueni Lwandamina kama vp
Unadhani akipewa mshahara aliokuwa anachukua Wenger anakuja Emirates... nasikia ameanza kujifunza english
 
Arsenal wamebadili mfumo wa uongozi wa meneja baada ya Arsene kuondoka.

Wanataka Arteta awe kocha mkuu yaani head coach na sio meneja ambae anahodhi kila kitu.

Hiyo ni baada ya kumlata Sven Mislintat kutoka Borussia Dortmund ambae ndiye anaeshughulika na usajili wa wachezaji.

Hiyo ni moja ya sababu kubwa ya Wenger kuondoka Arsenal baada ya kuja huyo mjerumani ambae ndiye aliefanikisha kumleta Obamiyang.

Hivyo ikiwa Arteta akakubali nafasi hiyo ya Head Coach basi Santi Cazorla atakuwa msaidizi wake pamoja na jopo lake la makocha au backroom staff.
wamlete hata nsajigwa aka fuso ARSENAL SIHAMI NG'OOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HILI NDO CHAMA LANGU MILELE.....HATA TUKIENDA CHAMPIONSHIP AU COMFERENCE MI NITAKUWA NAO HUKOHUKO
 
wamlete hata nsajigwa aka fuso ARSENAL SIHAMI NG'OOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HILI NDO CHAMA LANGU MILELE.....HATA TUKIENDA CHAMPIONSHIP AU COMFERENCE MI NITAKUWA NAO HUKOHUKO
Duh !
 
Hii timu ya Sven Mislintant-Mkuu wa Usajili, Raul Sanllehi- Operesheni na Darren Burges-High Performance watakuja na kitu kizuri sana. Goonnerz...
 
Wabongo bana... Zidane alivyopewa madridi alikuwa kaifundisha team gani kubwa.. na alikuwa na uzoefu upi wa maana. Tatizo nmnajudge huku hamjui insight ya uwezo wake Zaidi ya wale wanaomuona anaweza...
 
Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .

Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , katika kipindi alichoitumikia Arsenal pamoja na kupewa Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili , huyu si wa kupewa timu tajiri kama Arsenal

Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka , Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji , wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika , lakini si Arteta .

Nakala imfikie Arsene Wenger .


Hata Pep Guardiola alikuwa hana uwezo alipopewa Barca kufundisha. Kila kocha kuna anapo anzia.
 
stupid decision, I doubt if he has the gut to face the board to argue any case. Sean Dyche is my choice, not any other rubbish.
 
stupid decision, I doubt if he has the gut to face the board to argue any case. Sean Dyche is my choice, not any other rubbish.
Sielewi sababu za Arsenal kushindwa kumfikiria huyu mtu
 
Back
Top Bottom