Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
HahahaWeka breaking news nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaWeka breaking news nyingine
Mzuri kwa sababu ana mudevu ama?Kocha wa Wolves ni mzuri sana
Inasikitisha sanaIvi kwa mfano ARTETA atampa kitukipya gani OZIL,au kudanganyana tu..Akija kuwa kocha msaidizi sawa ila siyo kocha mkuu.
angalia alikoitoa timu yakeMzuri kwa sababu ana mudevu ama?
Ulinena ukweli mtupu.Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .
Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , katika kipindi alichoitumikia Arsenal pamoja na kupewa Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili , huyu si wa kupewa timu tajiri kama Arsenal
Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka , Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji , wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika , lakini si Arteta .
Nakala imfikie Arsene Wenger .
Watu wa soka wananichukulia poa sana , lakini sijawahi kufeli mkuuUlinena ukweli mtupu.
Watu wa soka wananichukulia poa sana , lakini sijawahi kufeli mkuu
Tatizo wanasiasa wanatupangia hata viongozi wa soka , tukiwaachia watatamba[emoji23][emoji23][emoji23] bora ubakie huku achana na siasa kila siku tunakwaruzana
Tatizo wanasiasa wanatupangia hata viongozi wa soka , tukiwaachia watatamba
Hongera sana.Watu wa soka wananichukulia poa sana , lakini sijawahi kufeli mkuu
AsanteHongera sana.
Acha upigaji ramli kijanaNadhani tunaelewana
Kwa Akili yako hadi sasa Arteta kafeli ?Watu wa soka wananichukulia poa sana , lakini sijawahi kufeli mkuu
😆😆😆 Uzi una miaka eti unakuja kuujibu leo baada ya kupata ndondokela ya kuifunga Man U ! Dah !Kwa Akili yako hadi sasa Arteta kafeli ?
Mbona mnapenda kukuza mambo muonekane watabiri ?
Arteta hadi Sasa kafanya kazi kubwa sana Arsenal ,alipoikuta na Transformation anayoifanya sio ndogo
Kashatwaa mataji mawili. , Na Timu inamaendeleo Mazuri ......
Tuwasikilize
Rio Ferdinand:
"You have to give massive credit to Arteta & how they set-up. They absolutely pressured Man United, they pinned them back. ‘They said: ‘We don’t even need to have the ball, we’re going to control this game without the ball’"
Adams:
"The words coming out [of the club], when I talk to my mate Steve Bould - he said to me, 'This guy has got it all, he’s the governor'. He’s the best he’s seen in a long time. He really does understand the game, he expresses himself; he’s very confident"
Aubameyang:
"I think we knew since the beginning that we have to trust the process. As we said, Mikel is bringing something very, very nice. Everybody wants to follow this way"
WEWE NAKUSHAURI BAKI KWENYE SIASA ,FANYA MAANDAMANO ,
KAMA UTABIRI UNAUWEZA ,UNGEWATABIRIA KINA MBOWE ,LISSU ,MSIGWA KILICHOTOKEA OCT 28
Wa miaka hiyo comment yako niliyo reply ni ya miaka?[emoji38][emoji38][emoji38] Uzi una miaka eti unakuja kuujibu leo baada ya kupata ndondokela ya kuifunga Man U ! Dah !
Kweli tunaelewana maana umekuwa mpiga ramliNadhani tunaelewana
Maandamano yetu hayana kikomoKweli tunaelewana maana umekuwa mpiga ramli
Hivi Jana uliandamana kweli?[emoji23][emoji23]