Napinga Mikel Arteta kupewa mikoba ya Wenger sababu hana uwezo

Napinga Mikel Arteta kupewa mikoba ya Wenger sababu hana uwezo

Acha kupiga ramli wewe,

Ipo siku huu uzi utafufuliwa kukuumbua, kama baadhi ya nyuz zako type ya hii zinavyokuumbuaga

Hao makocha wazoefu wamepewa man u wameisaidia nini? Unajua hata arsene alipokuja arsenal, waandishi walikebehi, ARSENE NI NANI?

Zidane aliishusha had daraja madrid B, lkn kafanya vzr Madrid A

Fergi alianza vibaya, had akataka afukuzwe,


Usitoe garantii kuwa atafail, wanaweza kuja hao Wazoefu wakapoteana sana tu, tumeona kwa van gall kwa man u,

Kavurunda,

Wabongo tunawajua kila mtu kocha kila mtu mchambuz wa mpira, lkn mmeshindwa kuisaidia taifa starz kwenda hata CHANView attachment 779439

Haya ngoja tufukue hii comment yako...
 
Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .

Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , katika kipindi alichoitumikia Arsenal pamoja na kupewa Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili , huyu si wa kupewa timu tajiri kama Arsenal

Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka , Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji , wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika , lakini si Arteta .

Nakala imfikie Arsene Wenger .
Ulinena kwa maono, kumpa ukocha Arteta tunajuta sisi mashabiki.
 
Acha kupiga ramli wewe,

Ipo siku huu uzi utafufuliwa kukuumbua, kama baadhi ya nyuz zako type ya hii zinavyokuumbuaga

Hao makocha wazoefu wamepewa man u wameisaidia nini? Unajua hata arsene alipokuja arsenal, waandishi walikebehi, ARSENE NI NANI?

Zidane aliishusha had daraja madrid B, lkn kafanya vzr Madrid A

Fergi alianza vibaya, had akataka afukuzwe,


Usitoe garantii kuwa atafail, wanaweza kuja hao Wazoefu wakapoteana sana tu, tumeona kwa van gall kwa man u,

Kavurunda,

Wabongo tunawajua kila mtu kocha kila mtu mchambuz wa mpira, lkn mmeshindwa kuisaidia taifa starz kwenda hata CHANView attachment 779439
Sawa sawa.
 
Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .

Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , katika kipindi alichoitumikia Arsenal pamoja na kupewa Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili , huyu si wa kupewa timu tajiri kama Arsenal

Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka , Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji , wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika , lakini si Arteta .

Nakala imfikie Arsene Wenger .
Two years ago uzi uliandikwa na leo unadhiri ukweli wote.

Hongera mkuu kwa mtazamo wako wa mbali
 
Acha kupiga ramli wewe,

Ipo siku huu uzi utafufuliwa kukuumbua, kama baadhi ya nyuz zako type ya hii zinavyokuumbuaga

Hao makocha wazoefu wamepewa man u wameisaidia nini? Unajua hata arsene alipokuja arsenal, waandishi walikebehi, ARSENE NI NANI?

Zidane aliishusha had daraja madrid B, lkn kafanya vzr Madrid A

Fergi alianza vibaya, had akataka afukuzwe,


Usitoe garantii kuwa atafail, wanaweza kuja hao Wazoefu wakapoteana sana tu, tumeona kwa van gall kwa man u,

Kavurunda,

Wabongo tunawajua kila mtu kocha kila mtu mchambuz wa mpira, lkn mmeshindwa kuisaidia taifa starz kwenda hata CHANView attachment 779439
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Acha kupiga ramli wewe,

Ipo siku huu uzi utafufuliwa kukuumbua, kama baadhi ya nyuz zako type ya hii zinavyokuumbuaga

Hao makocha wazoefu wamepewa man u wameisaidia nini? Unajua hata arsene alipokuja arsenal, waandishi walikebehi, ARSENE NI NANI?

Zidane aliishusha had daraja madrid B, lkn kafanya vzr Madrid A

Fergi alianza vibaya, had akataka afukuzwe,


Usitoe garantii kuwa atafail, wanaweza kuja hao Wazoefu wakapoteana sana tu, tumeona kwa van gall kwa man u,

Kavurunda,

Wabongo tunawajua kila mtu kocha kila mtu mchambuz wa mpira, lkn mmeshindwa kuisaidia taifa starz kwenda hata CHANView attachment 779439
Ndiyo urudi wewe useme neno SASA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom