Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #121
Wako nafasi ya 15kkwan malengo yao si top 4? huyo anafaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako nafasi ya 15kkwan malengo yao si top 4? huyo anafaa
TrueKwa jinsi viongozi wa arsenal walivyo usishangae wakampa timu, ila wategemee maumivu atachemsha kuliko moyes alivyopewa man baada ya sir Alex kuondoka
Mkuu ni heri Selemani Matola kuliko ArtetaNilichojifunza hapa wengi wao walimpiga mleta kwa kejeli bila kuweka akiba za maneno, ila sasa huko waliko wanaona aibu.
[emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79]Kwa jinsi viongozi wa arsenal walivyo usishangae wakampa timu, ila wategemee maumivu atachemsha kuliko moyes alivyopewa man baada ya sir Alex kuondoka
@Daudi1Apewe huyo huyo au ulitaka upewe wewe, kwa kujifanya wachambuzi na uchungu wa timu za ulaya wakat hapa hamna mchango wowote ni ujuha
Timu apewe MkwasaMkuu ni heri Selemani Matola kuliko Arteta
hahahaaWako nafasi ya 15
Hajui kufundisha soka na wala hana mipango yoyoteNaona umemsagia kunguni Arteta.
kuna siku Arsenal itafungwa kati ya magoli 8 hadi 10 hapo ndipo bodi yao itaelewaJumamosi na Chelsea
kwa mwendo huu si utani bali ni kwelimara paaaapp.. kiutani utani Arsenal wameshuka daraja.
nawaza kwa sauti tu..
Huku bila bila sijui kwako.Arsenal ngapi uko??