Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Huyu tunamtimuaTutaelewana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu tunamtimuaTutaelewana tu
Selemani Matola vipi apewe timu?Mkuu ni heri Selemani Matola kuliko Arteta
Huu Uzi ataomba ufutwe kwa aibuAcha kupiga ramli wewe,
Ipo siku huu uzi utafufuliwa kukuumbua, kama baadhi ya nyuz zako type ya hii zinavyokuumbuaga
Hao makocha wazoefu wamepewa man u wameisaidia nini? Unajua hata arsene alipokuja arsenal, waandishi walikebehi, ARSENE NI NANI?
Zidane aliishusha had daraja madrid B, lkn kafanya vzr Madrid A
Fergi alianza vibaya, had akataka afukuzwe,
Usitoe garantii kuwa atafail, wanaweza kuja hao Wazoefu wakapoteana sana tu, tumeona kwa van gall kwa man u,
Kavurunda,
Wabongo tunawajua kila mtu kocha kila mtu mchambuz wa mpira, lkn mmeshindwa kuisaidia taifa starz kwenda hata CHANView attachment 779439
Kumbe na hii ulipinga tena Mkuu!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .
Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , katika kipindi alichoitumikia Arsenal pamoja na kupewa Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili , huyu si wa kupewa timu tajiri kama Arsenal
Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka , Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji , wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika , lakini si Arteta .
Nakala imfikie Arsene Wenger .
Arsenal ya Arteta haiwezi kuishinda timu yoyote ya top 4 , mlipigwa na chelsea 3 ? mkatandikwa na Man City 5 , mmechapwa na Liverpool 4 na hapa kipa wenu alipunguza bao 5 , huwezi kuwa bingwa kwa kuchapwa na timu zilizo juu yako huku wewe ukibahatisha ushindi kwa akina NorwichArteta atawashangaza nyie 'haters'.
huna akili wewe baki kwenye siasa umpiganie gaidi mbowe, timu ndogo ni nying kuliko hizo 3, ni lipi bora upoteze mech zote za big 6, nq ushinde zote ndogo...wewe mpirq hujui, liverpool alikuwa anashinda big mech, halafu anapigwa hadi bao 6 na west brom, crystal palce nyumbani kwake, akawa hata europa haend,Arsenal ya Arteta haiwezi kuishinda timu yoyote ya top 4 , mlipigwa na chelsea 3 ? mkatandikwa na Man City 5 , mmechapwa na Liverpool 4 na hapa kipa wenu alipunguza bao 5 , huwezi kuwa bingwa kwa kuchapwa na timu zilizo juu yako huku wewe ukibahatisha ushindi kwa akina Norwich
Msiwe mnajifungulia uzi hovyo, ona unaumbuka sasa, Na sisi tutakukumbusha kadri tuwezavyo.Arsenal ya Arteta haiwezi kuishinda timu yoyote ya top 4 , mlipigwa na chelsea 3 ? mkatandikwa na Man City 5 , mmechapwa na Liverpool 4 na hapa kipa wenu alipunguza bao 5 , huwezi kuwa bingwa kwa kuchapwa na timu zilizo juu yako huku wewe ukibahatisha ushindi kwa akina Norwich
Au sio, Haahahaha***** uongozi Arsenali....nyokoooo Arteta.
[emoji38][emoji38][emoji38] imebidi nicheke tuhuna akili wewe baki kwenye siasa umpiganie gaidi mbowe, timu ndogo ni nying kuliko hizo 3, ni lipi bora upoteze mech zote za big 6, nq ushinde zote ndogo...wewe mpirq hujui, liverpool alikuwa anashinda big mech, halafu anapigwa hadi bao 6 na west brom, crystal palce nyumbani kwake, akawa hata europa haend,
Kumuelewa Arteta haiwezekani , hamna kocha mleSubili kidogo tu,utamuelewa arteta na arsenal
Halafu mwenyewe yuko wapi sasa ?CHADEMA KILA KITU NI KUPINGA ,NDIO MAANA JPM ALIKUWA ANAWATIA PISTO ZA MATAKONI, SHENZI KABISA NYIE