Napinga Mikel Arteta kupewa mikoba ya Wenger sababu hana uwezo

Napinga Mikel Arteta kupewa mikoba ya Wenger sababu hana uwezo

Acha kupiga ramli wewe,

Ipo siku huu uzi utafufuliwa kukuumbua, kama baadhi ya nyuz zako type ya hii zinavyokuumbuaga

Hao makocha wazoefu wamepewa man u wameisaidia nini? Unajua hata arsene alipokuja arsenal, waandishi walikebehi, ARSENE NI NANI?

Zidane aliishusha had daraja madrid B, lkn kafanya vzr Madrid A

Fergi alianza vibaya, had akataka afukuzwe,


Usitoe garantii kuwa atafail, wanaweza kuja hao Wazoefu wakapoteana sana tu, tumeona kwa van gall kwa man u,

Kavurunda,

Wabongo tunawajua kila mtu kocha kila mtu mchambuz wa mpira, lkn mmeshindwa kuisaidia taifa starz kwenda hata CHANView attachment 779439
Huu Uzi ataomba ufutwe kwa aibu
 
Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .

Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , katika kipindi alichoitumikia Arsenal pamoja na kupewa Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili , huyu si wa kupewa timu tajiri kama Arsenal

Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka , Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji , wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika , lakini si Arteta .

Nakala imfikie Arsene Wenger .
Kumbe na hii ulipinga tena Mkuu!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tujifunze kuwa na akiba ya maneno ,ona huyu mleta mada anavyodhalilika kifala[emoji23][emoji23][emoji119]
 
Arteta atawashangaza nyie 'haters'.
Arsenal ya Arteta haiwezi kuishinda timu yoyote ya top 4 , mlipigwa na chelsea 3 ? mkatandikwa na Man City 5 , mmechapwa na Liverpool 4 na hapa kipa wenu alipunguza bao 5 , huwezi kuwa bingwa kwa kuchapwa na timu zilizo juu yako huku wewe ukibahatisha ushindi kwa akina Norwich
 
Arsenal ya Arteta haiwezi kuishinda timu yoyote ya top 4 , mlipigwa na chelsea 3 ? mkatandikwa na Man City 5 , mmechapwa na Liverpool 4 na hapa kipa wenu alipunguza bao 5 , huwezi kuwa bingwa kwa kuchapwa na timu zilizo juu yako huku wewe ukibahatisha ushindi kwa akina Norwich
huna akili wewe baki kwenye siasa umpiganie gaidi mbowe, timu ndogo ni nying kuliko hizo 3, ni lipi bora upoteze mech zote za big 6, nq ushinde zote ndogo...wewe mpirq hujui, liverpool alikuwa anashinda big mech, halafu anapigwa hadi bao 6 na west brom, crystal palce nyumbani kwake, akawa hata europa haend,
 
Arsenal ya Arteta haiwezi kuishinda timu yoyote ya top 4 , mlipigwa na chelsea 3 ? mkatandikwa na Man City 5 , mmechapwa na Liverpool 4 na hapa kipa wenu alipunguza bao 5 , huwezi kuwa bingwa kwa kuchapwa na timu zilizo juu yako huku wewe ukibahatisha ushindi kwa akina Norwich
Msiwe mnajifungulia uzi hovyo, ona unaumbuka sasa, Na sisi tutakukumbusha kadri tuwezavyo.
 
Football is like wind, sometime unatoka East kwenda West, next time unatoka West kwenda East, hivyo ni ngumu sana kutabiri matukio kwenye mpira yakabaki the same whole season.
 
huna akili wewe baki kwenye siasa umpiganie gaidi mbowe, timu ndogo ni nying kuliko hizo 3, ni lipi bora upoteze mech zote za big 6, nq ushinde zote ndogo...wewe mpirq hujui, liverpool alikuwa anashinda big mech, halafu anapigwa hadi bao 6 na west brom, crystal palce nyumbani kwake, akawa hata europa haend,
[emoji38][emoji38][emoji38] imebidi nicheke tu
 
Cha msingi asishuke daraja tu, tuko tunajenga kikosi ndy maana tunasajiri akinsa lukonga.
 
Back
Top Bottom