Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #201
[emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufungwa si ubovu wa kocha na ujue kila timu imejiandaa.Hutawaona hapa wiki hii
Kabisa yaaniArteta ni kocha bora sana.
Hamna kocha mleAlteta Corona aikumuona.
idiotkwi kwi kwi
Ukisema hamna kocha. Vipi kikosi chake kina thamani gani hadi umlinganishe na matokeo anYopata Gardiola au KloppArteta ni kocha wa hovyo kuwahi kutokea kwenye uso wa Dunia
acheni kutetea uozoUkisema hamna kocha. Vipi kikosi chake kina thamani gani hadi umlinganishe na matokeo anYopata Gardiola au Klopp
Bado wanakiwasha au washakata moto?Mkuu Erythrocyte unaona sasa hivi vijana wa Arteta wanavyokiwasha ? Bado unapingana naye ?
Bado anadhalilika au nyie ndiyo mmejidhalilisha?Tujifunze kuwa na akiba ya maneno ,ona huyu mleta mada anavyodhalilika kifala[emoji23][emoji23][emoji119]
[emoji38][emoji38][emoji38]Bado anadhalilika au nyie ndiyo mmejidhalilisha?
Wewe hata kupiga Dana Dana mbili unajua kweli?acheni kutetea uozo