Napinga Mikel Arteta kupewa mikoba ya Wenger sababu hana uwezo

Napinga Mikel Arteta kupewa mikoba ya Wenger sababu hana uwezo

Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .

Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili....

Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka , Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji , wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika , lakini si Arteta .

Nakala imfikie Arsene Wenger .
Nadhani mleta uzi utakua umempa mikoba yako sasa, maana sio kwa vipigo hivi tunavyopata asee mixer visasi.
 
Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .

Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , katika kipindi alichoitumikia Arsenal pamoja na kupewa Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili , huyu si wa kupewa timu tajiri kama Arsenal

Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka , Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji , wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika , lakini si Arteta .

Nakala imfikie Arsene Wenger .
You need to stop writing this mumbo jumbo article and stop pretending to be Football pundit when we know you are nothing but a cheap bi.tch.
 
Acha kupiga ramli wewe,

Ipo siku huu uzi utafufuliwa kukuumbua, kama baadhi ya nyuz zako type ya hii zinavyokuumbuaga

Hao makocha wazoefu wamepewa man u wameisaidia nini? Unajua hata arsene alipokuja arsenal, waandishi walikebehi, ARSENE NI NANI?

Zidane aliishusha had daraja madrid B, lkn kafanya vzr Madrid A

Fergi alianza vibaya, had akataka afukuzwe,


Usitoe garantii kuwa atafail, wanaweza kuja hao Wazoefu wakapoteana sana tu, tumeona kwa van gall kwa man u,

Kavurunda,

Wabongo tunawajua kila mtu kocha kila mtu mchambuz wa mpira, lkn mmeshindwa kuisaidia taifa starz kwenda hata CHANView attachment 779439
Watu wanaonaga mbali, hii 2018 na hamis77.
 
Acha kupiga ramli wewe,

Ipo siku huu uzi utafufuliwa kukuumbua, kama baadhi ya nyuz zako type ya hii zinavyokuumbuaga

Hao makocha wazoefu wamepewa man u wameisaidia nini? Unajua hata arsene alipokuja arsenal, waandishi walikebehi, ARSENE NI NANI?

Zidane aliishusha had daraja madrid B, lkn kafanya vzr Madrid A

Fergi alianza vibaya, had akataka afukuzwe,


Usitoe garantii kuwa atafail, wanaweza kuja hao Wazoefu wakapoteana sana tu, tumeona kwa van gall kwa man u,

Kavurunda,

Wabongo tunawajua kila mtu kocha kila mtu mchambuz wa mpira, lkn mmeshindwa kuisaidia taifa starz kwenda hata CHANView attachment 779439
na tumeufufua mkuu
 
Ni kweli hana uwezo wowote hii ligi yenyewe anagombania top 4 tu anaweza kumaliza nafas ya 4 au akaenda europa kabisa arse8 hawajawahi kuwa na akili
Kwa huu uandishi wako nimeshajua wewe ni timu gani...
 
Ni kweli hana uwezo wowote hii ligi yenyewe anagombania top 4 tu anaweza kumaliza nafas ya 4 au akaenda europa kabisa arse8 hawajawahi kuwa na akili
🤣🤣🤣🤣🤣Hapo unaugulia maumivu ya kipigo, sisi hatuna shida na kombe mbona hizo nongwa zenu kombe chukueni nyie sisi tunakomaa kushinda mechi zetu, Kila mechi kwetu ni fainali halafu FA watajua wenyewe watampa nani, wakiamua kutupa sisi tunachukua ila hatuna shida naloo🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣Hapo unaugulia maumivu ya kipigo, sisi hatuna shida na kombe mbona hizo nongwa zenu kombe chukueni nyie sisi tunakomaa kushinda mechi zetu, Kila mechi kwetu ni fainali halafu FA watajua wenyewe watampa nani, wakiamua kutupa sisi tunachukua ila hatuna shida naloo🤣🤣🤣
Usinikoromee
 
Back
Top Bottom