Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Wewe mpiga ramli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dogo unazingua...
Jamaa ali-bet ameliwa!.
Nadhani mleta uzi utakua umempa mikoba yako sasa, maana sio kwa vipigo hivi tunavyopata asee mixer visasi.Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .
Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili....
Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka , Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji , wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika , lakini si Arteta .
Nakala imfikie Arsene Wenger .
You need to stop writing this mumbo jumbo article and stop pretending to be Football pundit when we know you are nothing but a cheap bi.tch.Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .
Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , katika kipindi alichoitumikia Arsenal pamoja na kupewa Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili , huyu si wa kupewa timu tajiri kama Arsenal
Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka , Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji , wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika , lakini si Arteta .
Nakala imfikie Arsene Wenger .
Watu wanaonaga mbali, hii 2018 na hamis77.Acha kupiga ramli wewe,
Ipo siku huu uzi utafufuliwa kukuumbua, kama baadhi ya nyuz zako type ya hii zinavyokuumbuaga
Hao makocha wazoefu wamepewa man u wameisaidia nini? Unajua hata arsene alipokuja arsenal, waandishi walikebehi, ARSENE NI NANI?
Zidane aliishusha had daraja madrid B, lkn kafanya vzr Madrid A
Fergi alianza vibaya, had akataka afukuzwe,
Usitoe garantii kuwa atafail, wanaweza kuja hao Wazoefu wakapoteana sana tu, tumeona kwa van gall kwa man u,
Kavurunda,
Wabongo tunawajua kila mtu kocha kila mtu mchambuz wa mpira, lkn mmeshindwa kuisaidia taifa starz kwenda hata CHANView attachment 779439
Angalia uzi ni wa lini , naweza kusema Ameimprove sasa , hongera kwake , Hizi nyuzi huwa wanasoma haoNadhani mleta uzi utakua umempa mikoba yako sasa, maana sio kwa vipigo hivi tunavyopata asee mixer visasi.
ni miaka mingapi sasa ?Jamaa amepuyanga sana.
na tumeufufua mkuuAcha kupiga ramli wewe,
Ipo siku huu uzi utafufuliwa kukuumbua, kama baadhi ya nyuz zako type ya hii zinavyokuumbuaga
Hao makocha wazoefu wamepewa man u wameisaidia nini? Unajua hata arsene alipokuja arsenal, waandishi walikebehi, ARSENE NI NANI?
Zidane aliishusha had daraja madrid B, lkn kafanya vzr Madrid A
Fergi alianza vibaya, had akataka afukuzwe,
Usitoe garantii kuwa atafail, wanaweza kuja hao Wazoefu wakapoteana sana tu, tumeona kwa van gall kwa man u,
Kavurunda,
Wabongo tunawajua kila mtu kocha kila mtu mchambuz wa mpira, lkn mmeshindwa kuisaidia taifa starz kwenda hata CHANView attachment 779439
Muda ndio huu unaongea... it's gunners time nowMuda utaongea, wao wameona anafaa..
Au ulitaka wakupe wewe ukocha!?
Kwa huu uandishi wako nimeshajua wewe ni timu gani...Ni kweli hana uwezo wowote hii ligi yenyewe anagombania top 4 tu anaweza kumaliza nafas ya 4 au akaenda europa kabisa arse8 hawajawahi kuwa na akili
Sio swala la mingapi kwani klopp alipewa miaka mingap mpaka kuja kutwaa EPL, na Man yu wamebadilisha makocha wangapi na wamepata Nini?ni miaka mingapi sasa ?
🤣🤣🤣🤣🤣Hapo unaugulia maumivu ya kipigo, sisi hatuna shida na kombe mbona hizo nongwa zenu kombe chukueni nyie sisi tunakomaa kushinda mechi zetu, Kila mechi kwetu ni fainali halafu FA watajua wenyewe watampa nani, wakiamua kutupa sisi tunachukua ila hatuna shida naloo🤣🤣🤣Ni kweli hana uwezo wowote hii ligi yenyewe anagombania top 4 tu anaweza kumaliza nafas ya 4 au akaenda europa kabisa arse8 hawajawahi kuwa na akili
Arteta Juzi tu ndio katimiza miaka 3 kamili ndani ya Arsenalni miaka mingapi sasa ?
Usinikoromee🤣🤣🤣🤣🤣Hapo unaugulia maumivu ya kipigo, sisi hatuna shida na kombe mbona hizo nongwa zenu kombe chukueni nyie sisi tunakomaa kushinda mechi zetu, Kila mechi kwetu ni fainali halafu FA watajua wenyewe watampa nani, wakiamua kutupa sisi tunachukua ila hatuna shida naloo🤣🤣🤣