Napinga Mikel Arteta kupewa mikoba ya Wenger sababu hana uwezo

Napinga Mikel Arteta kupewa mikoba ya Wenger sababu hana uwezo

Acha kupiga ramli wewe,

Ipo siku huu uzi utafufuliwa kukuumbua, kama baadhi ya nyuz zako type ya hii zinavyokuumbuaga

Hao makocha wazoefu wamepewa man u wameisaidia nini? Unajua hata arsene alipokuja arsenal, waandishi walikebehi, ARSENE NI NANI?

Zidane aliishusha had daraja madrid B, lkn kafanya vzr Madrid A

Fergi alianza vibaya, had akataka afukuzwe,


Usitoe garantii kuwa atafail, wanaweza kuja hao Wazoefu wakapoteana sana tu, tumeona kwa van gall kwa man u,

Kavurunda,

Wabongo tunawajua kila mtu kocha kila mtu mchambuz wa mpira, lkn mmeshindwa kuisaidia taifa starz kwenda hata CHANView attachment 779439
NDIO NAUFUFUA HIVI KAMA IFUATAVYO...
 
Acha kupiga ramli wewe,

Ipo siku huu uzi utafufuliwa kukuumbua, kama baadhi ya nyuz zako type ya hii zinavyokuumbuaga

Hao makocha wazoefu wamepewa man u wameisaidia nini? Unajua hata arsene alipokuja arsenal, waandishi walikebehi, ARSENE NI NANI?

Zidane aliishusha had daraja madrid B, lkn kafanya vzr Madrid A

Fergi alianza vibaya, had akataka afukuzwe,


Usitoe garantii kuwa atafail, wanaweza kuja hao Wazoefu wakapoteana sana tu, tumeona kwa van gall kwa man u,

Kavurunda,

Wabongo tunawajua kila mtu kocha kila mtu mchambuz wa mpira, lkn mmeshindwa kuisaidia taifa starz kwenda hata CHANView attachment 779439
Mkuu salama ?
 
Spirit ya timu bado kubwa...arsenal pia bado inamhitaj mtu kama Ozil..huyu arteta amrudiahe tu huyu jamaa apewe kazi kutengeneza nafasi..hizi mambo kila mtu akabe ni ushamba tu.
 
Nasikia wameshaanza kupigiana simu..nahisi wachezaji wanamzingua Arteta namna alivyo handle issue ya Ozil.

Hasa hawa akina Auba na seniors wengine.

Nadhani Arteta achutame tu ama sivyo asepe atuachie timu yetu.

Pata picha jamaa zetu ambao ni ACT/CDM afu ni arsenal pia.

Huu mwaka 2020 wasipopata jaka moyo [emoji3][emoji3]
 
Nasikia wameshaanza kupigiana simu..nahisi wachezaji wanamzingua Arteta namna alivyo handle issue ya Ozil.

Hasa hawa akina Auba na seniors wengine.

Nadhani Arteta achutame tu ama sivyo asepe atuachie timu yetu.

Pata picha jamaa zetu ambao ni ACT/CDM afu ni arsenal pia.

Huu mwaka 2020 wasipopata jaka moyo [emoji3][emoji3]
umeanza vizuri lakini umemaliza vibaya
 
Kauli yako imetimia Mkuu. Ni AIBU TUPU!
Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .

Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , katika kipindi alichoitumikia Arsenal pamoja na kupewa Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili , huyu si wa kupewa timu tajiri kama Arsenal

Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka , Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji , wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika , lakini si Arteta .

Nakala imfikie Arsene Wenger .
 
Kauli yako imetimia Mkuu. Ni AIBU TUPU!
Niliona jambo hili mapema na kwa Wakati ule Arsenal walinisikiliza na wakamuacha Arteta na kumchukua Emery , lakini baada ya kumtimua Emery nikawashauri online wamchukue madevu wa Wolves , wakanipuuza na kuchukua garasa lao hili
 
Back
Top Bottom