Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Jiwe atawaua muache familia zenu zinahangaika ,Maandamano yetu hayana kikomo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe atawaua muache familia zenu zinahangaika ,Maandamano yetu hayana kikomo
NDIO NAUFUFUA HIVI KAMA IFUATAVYO...Acha kupiga ramli wewe,
Ipo siku huu uzi utafufuliwa kukuumbua, kama baadhi ya nyuz zako type ya hii zinavyokuumbuaga
Hao makocha wazoefu wamepewa man u wameisaidia nini? Unajua hata arsene alipokuja arsenal, waandishi walikebehi, ARSENE NI NANI?
Zidane aliishusha had daraja madrid B, lkn kafanya vzr Madrid A
Fergi alianza vibaya, had akataka afukuzwe,
Usitoe garantii kuwa atafail, wanaweza kuja hao Wazoefu wakapoteana sana tu, tumeona kwa van gall kwa man u,
Kavurunda,
Wabongo tunawajua kila mtu kocha kila mtu mchambuz wa mpira, lkn mmeshindwa kuisaidia taifa starz kwenda hata CHANView attachment 779439
😆😆😆😆😆NDIO NAUFUFUA HIVI KAMA IFUATAVYO...
Mkuu salama ?Acha kupiga ramli wewe,
Ipo siku huu uzi utafufuliwa kukuumbua, kama baadhi ya nyuz zako type ya hii zinavyokuumbuaga
Hao makocha wazoefu wamepewa man u wameisaidia nini? Unajua hata arsene alipokuja arsenal, waandishi walikebehi, ARSENE NI NANI?
Zidane aliishusha had daraja madrid B, lkn kafanya vzr Madrid A
Fergi alianza vibaya, had akataka afukuzwe,
Usitoe garantii kuwa atafail, wanaweza kuja hao Wazoefu wakapoteana sana tu, tumeona kwa van gall kwa man u,
Kavurunda,
Wabongo tunawajua kila mtu kocha kila mtu mchambuz wa mpira, lkn mmeshindwa kuisaidia taifa starz kwenda hata CHANView attachment 779439
bila kumtimua Arteta Arsenal itamalize nje ya top 10Spirit ya timu bado kubwa...arsenal pia bado inamhitaj mtu kama Ozil..huyu arteta amrudiahe tu huyu jamaa apewe kazi kutengeneza nafasi..hizi mambo kila mtu akabe ni ushamba tu.
Fukuza shenxi Mikel.bila kumtimua Arteta Arsenal itamalize nje ya top 10
Hana muda mrefuFukuza shenxi Mikel.
kukicha salama sijui !Fukuza shenxi Mikel.
umeanza vizuri lakini umemaliza vibayaNasikia wameshaanza kupigiana simu..nahisi wachezaji wanamzingua Arteta namna alivyo handle issue ya Ozil.
Hasa hawa akina Auba na seniors wengine.
Nadhani Arteta achutame tu ama sivyo asepe atuachie timu yetu.
Pata picha jamaa zetu ambao ni ACT/CDM afu ni arsenal pia.
Huu mwaka 2020 wasipopata jaka moyo [emoji3][emoji3]
😆😆😆Mkuu salama ?
haitashangaza , angalia nafasi walipomara paaaapp.. kiutani utani Arsenal wameshuka daraja.
nawaza kwa sauti tu..
Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .
Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , katika kipindi alichoitumikia Arsenal pamoja na kupewa Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili , huyu si wa kupewa timu tajiri kama Arsenal
Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka , Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji , wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika , lakini si Arteta .
Nakala imfikie Arsene Wenger .
Niliona jambo hili mapema na kwa Wakati ule Arsenal walinisikiliza na wakamuacha Arteta na kumchukua Emery , lakini baada ya kumtimua Emery nikawashauri online wamchukue madevu wa Wolves , wakanipuuza na kuchukua garasa lao hiliKauli yako imetimia Mkuu. Ni AIBU TUPU!
wanasikitisha sana, pole yaohaitashangaza , angalia nafasi walipo
😆😆😆😆Muda utaongea, wao wameona anafaa..
Au ulitaka wakupe wewe ukocha!?