Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Wala sijapinga ulichoandika , lakini Je kwanini apewe Arteta asiye na ujuzi wala uzoefu ? Na huyo Carzola aliwahi kufanya nini na wapi ?Arsenal wamebadili mfumo wa uongozi wa meneja baada ya Arsene kuondoka.
Wanataka Arteta awe kocha mkuu yaani head coach na sio meneja ambae anahodhi kila kitu.
Hiyo ni baada ya kumlata Sven Mislintat kutoka Borussia Dortmund ambae ndiye anaeshughulika na usajili wa wachezaji.
Hiyo ni moja ya sababu kubwa ya Wenger kuondoka Arsenal baada ya kuja huyo mjerumani ambae ndiye aliefanikisha kumleta Obamiyang.
Hivyo ikiwa Arteta akakubali nafasi hiyo ya Head Coach basi Santi Cazorla atakuwa msaidizi wake pamoja na jopo lake la makocha au backroom staff.
Wala sijapinga ulichoandika , lakini Je kwanini apewe Arteta asiye na ujuzi wala uzoefu ? Na huyo Carzola aliwahi kufanya nini na wapi ?
Unadhani akipewa mshahara aliokuwa anachukua Wenger anakuja Emirates... nasikia ameanza kujifunza englishAna kazi yake tayari.. yaani anafundisha timu nzuri kuliko Arsenal .. chukueni Lwandamina kama vp
Mbona Jf imetua london kitambo mjomba !Sasa bodi ya Arsenal wanapataje huu ujumbe ?
wamlete hata nsajigwa aka fuso ARSENAL SIHAMI NG'OOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HILI NDO CHAMA LANGU MILELE.....HATA TUKIENDA CHAMPIONSHIP AU COMFERENCE MI NITAKUWA NAO HUKOHUKOArsenal wamebadili mfumo wa uongozi wa meneja baada ya Arsene kuondoka.
Wanataka Arteta awe kocha mkuu yaani head coach na sio meneja ambae anahodhi kila kitu.
Hiyo ni baada ya kumlata Sven Mislintat kutoka Borussia Dortmund ambae ndiye anaeshughulika na usajili wa wachezaji.
Hiyo ni moja ya sababu kubwa ya Wenger kuondoka Arsenal baada ya kuja huyo mjerumani ambae ndiye aliefanikisha kumleta Obamiyang.
Hivyo ikiwa Arteta akakubali nafasi hiyo ya Head Coach basi Santi Cazorla atakuwa msaidizi wake pamoja na jopo lake la makocha au backroom staff.
Duh !wamlete hata nsajigwa aka fuso ARSENAL SIHAMI NG'OOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HILI NDO CHAMA LANGU MILELE.....HATA TUKIENDA CHAMPIONSHIP AU COMFERENCE MI NITAKUWA NAO HUKOHUKO
Unadhani akipewa mshahara aliokuwa anachukua Wenger anakuja Emirates... nasikia ameanza kujifunza english
Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo .
Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala ujasiri wowote wa kuipa Arsenal mataji , katika kipindi alichoitumikia Arsenal pamoja na kupewa Arm band hakuwahi kutoa mchango wowote wa kusaidia timu yake , hata kwa kuhamasisha kwa maneno tu kama wafanyavyo Ma Captain wa vilabu vingine , aliitwa Man City kuwa kocha msaidizi July 3 2016 , mpaka sasa ni chini ya miaka miwili , huyu si wa kupewa timu tajiri kama Arsenal
Arsenal inahitaji kocha mzoefu mwenye mafanikio yasiyotiliwa mashaka , Au la kama viongozi wanapenda kumpa kazi hiyo yule aliyechezea klabu yao basi nafasi hiyo wapewe wachezaji wenye uchungu mkubwa waliotoa jasho na damu kuipa timu mataji , wachezaji hao wapo na majina yao yanafahamika , lakini si Arteta .
Nakala imfikie Arsene Wenger .
Tangu awe nahodha Arsenal ilipata mataji mangapi ?wanasema ana akili sana, alipokuwa kepteni alimsaidia sana Wenger, hata wachezaji wenzake walikuwa wakimuita kocha.
Sielewi sababu za Arsenal kushindwa kumfikiria huyu mtustupid decision, I doubt if he has the gut to face the board to argue any case. Sean Dyche is my choice, not any other rubbish.
wachezaji ndio lilikuwa tatizo, mediocre players!Tangu awe nahodha Arsenal ilipata mataji mangapi ?
Mhmmmm!!!wachezaji ndio lilikuwa tatizo, mediocre players!