Napinga Njama zozote za kuwarejesha Wasaliti Chadema akiwemo Dkt Slaa na Halima Mdee, Walishafukuzwa na Baraza Kuu

Kweli kabisa Hawa mamluki wa CCM wataleta mtafaruku bora waende jumla wakaunge mkono juhudi
 
Dr Slaa siyo msaliti, Hajawahi kufukuzwa na CHADEMA na hajawahi kujitoa CHADEMA.

Yeye kuteuliwa kuwa balozi haina tofauti na Jussa kuteuliwa na Mkapa kuwa mbunge au Mbatia kuteuliwa na Kikwete kuwa mbunge, hii haiwafanyi kuwa CCM!
Mdee na Slaa ni kitu kimoja tofauti yao ni jinsi tu.
 
Chadema kwa vikao halali vya Chama vilivyotumia pesa nyingi za Chama kuviitisha, Chadema haina hela za kuchezea ili kuitisha vikao vya masihara, hili limeisha na waendelee kujiambatanisha na CCM kama walivyofanya kwa miaka mitano yote.
 
Mbona msimamo wa Mwenyekiti wa Chama Taifa, ndugu Tundu Lissu uko wazi kabisa kuhusu hao Wabunge 19 wa Viti maalumu

Fatilia interview yake na Crown FM akiwa na Salim Kikeke
Hawezi fuatiliaa maana matokeo yamekuwa tofauti na alivyotarajia,huoni Kawa ka aliyerukwa akili
 
Dr Slaa siyo msaliti, Hajawahi kufukuzwa na CHADEMA na hajawahi kujitoa CHADEMA.

Yeye kuteuliwa kuwa balozi haina tofauti na Jussa kuteuliwa na Mkapa kuwa mbunge au Mbatia kuteuliwa na Kikwete kuwa mbunge, hii haiwafanyi kuwa CCM!
Ni ajabu mpaka leo hawataki kukiri kuwa kumleta lowasa lilikuwa kosa kubwa. Ni upumbavu kudai lowasa aliletwa na Dr Slaa.
 
Usimwamshe aliyelala ,mwaache afanya anavyotaka CHAMA kimfie mapema ,usimsanue.

Awarudishe wote kina GAUCHO ,SILINDE ,LIJUA LIBUTU ,PASTOR KINYAMBE ,MASHILINGI ,MIKWABWE ,DR MOLELI ,GEKULI ,SLAA ,ZITTO ,KITILA ,TWO2 etc
 
Hawezi guatiliaa maana matokeo yamekuwa tofauti na aluvyotarajia,huoni Kawa ka aliyerukwa akili
Kwasasa jamaa amebadirika ghafla

Ameamua kui attack uongozi wote wa Kamati kuu yao kwamba sio lolote sio chochote

Hii ni baada ya timu yake kushindwa Uchaguzi Mkuu

Sijui anakwama wapi, Lissu amesema yeye sio mtu wa visasi

Sijui jamaa ana wasiwasi gani na uongozi mpya 🙌
 
Dr. Slaa bora arudi, ni muhimu japo hana msimamo, tabia zake zimeshajulikana arudi chamani ila wale wabunge waende na maji wakajiunge na vyama vingine. Hata wakirudishwa chamani hawatakuwa potential, si waaminifu. Na kama wakirudishwa wapewe majimbo wakagombee wasitegemee viti maalum waachie wanawake wengine wapya
 
Sasa kama mlimleta Lowassa na kumsafisha,

Kosa la Slaa ni lipi?

Atarudi nyumbani.
 
Lissu kuna kitu hajaweka wazi na Dr Slaa hajawahi kukataa kuwa hakuwamo kwenye mchakato wa kumleta Lowassa, ila mna msingizia tu Dr Slaa yeye amesema zaidi ya mara mbili ilivyokuwa.
Ukweli ni kwamba lowasa alinunua nafasi ya kugombea urais chadema kwa pesa ndefu, mbowe na lisu walipata mgao.

Ni lisu aliyetoka kwenye media kutudanganya kuwa wamemchukua lowasa baada ya kufanya utafiti na kujiridhisha kuwa alikuwa na nafasi ya kushinda urais.

Nachoshindwa kufahamu mpaka leo ni, mabadiliko gani wananchi tungeyapata kama lowasa angeshinda.
 
Uongo hautakuondolea umasikini unaokuandama
 
Uongo hautakuondolea umasikini unaokuandama
Ndiyo ubadirike Mkuu, sio kuwaonesha wenzio Chuki za waziwazi humu

Uchaguzi umeisha, sasa ni wakati wa kuandaa Mipango na mikakati ya kuhakikisha mnaenda kuchukua Dola
 
I think kushiriki kwa Slaa kuja kwa Lowasa CHADEMA kuwa ni alitaka Lowasa aje CHADEMA lakini awe mwanachama wa kawaida kwanza na siyo mgombea. Ila Lowasa yeye alikuja na mission moja nayo ni kugombea tu na hataki habari nyingine yoyote!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…