Napinga Njama zozote za kuwarejesha Wasaliti Chadema akiwemo Dkt Slaa na Halima Mdee, Walishafukuzwa na Baraza Kuu

Napinga Njama zozote za kuwarejesha Wasaliti Chadema akiwemo Dkt Slaa na Halima Mdee, Walishafukuzwa na Baraza Kuu

Kwa Mujibu wa Katiba ya Chadema hakuna Kiongozi wa ngazi yoyote wa Chama hicho anayeweza kufanya Maamuzi ya Peke yake (Maamuzi Binafsi) ambayo yanaweza kutengua adhabu aliyopewa Mwanachama yeyote yule na Vikao halali vya Chama.

Njia pekee ya kufanya hivyo ni kwa kutumia Vikao vile vile vya Chama, ambavyo kwa namna yoyote havitaweza kuketi ili kujadili Ujinga huo, Halima Mdee na Wenzake walishafukuzwa na Chadema kwa vikao halali vya Chama vilivyotumia pesa nyingi za Chama kuviitisha, Chadema haina hela za kuchezea ili kuitisha vikao vya masihara, hili limeisha na waendelee kujiambatanisha na CCM kama walivyofanya kwa miaka mitano yote.

Dkt Slaa aliondoka Chadema kwa kisingizio cha Lowassa, akiwa yeye ndiye kamleta Lowassa! akahongwa Ubalozi waziwazi , namna alivyoingizwa Hotelini kwa Press iliyoandaliwa na serikali ili kutukana Chadema kila mtu aliona (Video zile zingalipo hata leo), Huyu hata Shambulio la kumuua Tundu Lissu aliita Shambuloo la Kawaida, na kwamba mashambulio kama hayo hata huko Ulaya yanafanyika, huyu aweza kurudi Chadema, Chama alichokituhumu kuleta Choo sebuleni ili iweje?

Napinga kabisa jambo hili kufanyika, Chadema ina lundo la Wamama wenye uwezo mkubwa sana wa kuwa viongozi, hakuna sababu ya maana wala ya kijinga ya kuwarejesha Mamluki, Naapa kutoshirikiana nao katika lolote hata kama watarejeshwa (Maana Chama si changu peke yangu)

Wengine wanaweza kusema kwamba Nina roho mbaya na labda nashindwa Kusamehe, lakini ni wapi kwenye Vitabu vya Mungu imeandikwa Tumsamehe Shetani? Pamoja na Mwenyezi Mungu kusisitiza mno Msamaha na kusamehe lakini hakuwahi kuagiza kusamehe Mwovu Shetani.

Naomba Kuwasilisha.
Yws
Utaratibu ukifuatwa hakuna shida.

Kikubwa Katiba na kanuni zotezilindwe
 
Kapinge kwenye vikao vyenu huko, hapa unatupigia kelele.
Kiuchambuzi: kumsamehe Mdee ni faida kwa chama kuliko kumkataa.
Isitoshe Ruzuku iliyotokana na usaliti wa Mdee imelisaidia chama kujenga jengo la ofisi, kulipa posho na mshahara ya maafisa wa chama na kugharamia uchaguzi.
Kwa chama kukubali kupokea Ruzuku kutokana na Mdee; tayari chama kilishamsamehe.
Vinginevyo rejesheni Ruzuku zote
Ruzuku ya Vyama vya siasa haitokani na Wabunge wa viti maalum
 
Kwani ume

Ambiwa hawa ni shetani. Shetani hii ni siasa Na ujue kuwa hawa ndiyo wameleta rudhuku ya milioni 107 kila mwezi kama mmekubali kuchukua rudhuku mnashindwa nini kuwarudisha huo ni unafiki.
Hujui kitu
 
Kwa Mujibu wa Katiba ya Chadema hakuna Kiongozi wa ngazi yoyote wa Chama hicho anayeweza kufanya Maamuzi ya Peke yake (Maamuzi Binafsi) ambayo yanaweza kutengua adhabu aliyopewa Mwanachama yeyote yule na Vikao halali vya Chama.

Njia pekee ya kufanya hivyo ni kwa kutumia Vikao vile vile vya Chama, ambavyo kwa namna yoyote havitaweza kuketi ili kujadili Ujinga huo, Halima Mdee na Wenzake walishafukuzwa na Chadema kwa vikao halali vya Chama vilivyotumia pesa nyingi za Chama kuviitisha, Chadema haina hela za kuchezea ili kuitisha vikao vya masihara, hili limeisha na waendelee kujiambatanisha na CCM kama walivyofanya kwa miaka mitano yote.

Dkt Slaa aliondoka Chadema kwa kisingizio cha Lowassa, akiwa yeye ndiye kamleta Lowassa! akahongwa Ubalozi waziwazi , namna alivyoingizwa Hotelini kwa Press iliyoandaliwa na serikali ili kutukana Chadema kila mtu aliona (Video zile zingalipo hata leo), Huyu hata Shambulio la kumuua Tundu Lissu aliita Shambuloo la Kawaida, na kwamba mashambulio kama hayo hata huko Ulaya yanafanyika, huyu aweza kurudi Chadema, Chama alichokituhumu kuleta Choo sebuleni ili iweje?

Napinga kabisa jambo hili kufanyika, Chadema ina lundo la Wamama wenye uwezo mkubwa sana wa kuwa viongozi, hakuna sababu ya maana wala ya kijinga ya kuwarejesha Mamluki, Naapa kutoshirikiana nao katika lolote hata kama watarejeshwa (Maana Chama si changu peke yangu)

Wengine wanaweza kusema kwamba Nina roho mbaya na labda nashindwa Kusamehe, lakini ni wapi kwenye Vitabu vya Mungu imeandikwa Tumsamehe Shetani? Pamoja na Mwenyezi Mungu kusisitiza mno Msamaha na kusamehe lakini hakuwahi kuagiza kusamehe Mwovu Shetani.

Naomba Kuwasilisha.
Naunga mkono, mwenyekiti na makam wako chukua hii ,imepita
 
Nini kimetokea mbona umeanza kuwa mlalamishi ?
Lissu wanyooshe hawa madalali..
Nyie matapeli wa CDM makao makuu..nilianza kuwadharau Toka mlipofanya uhuni kwenye uchaguzi wa Kanda kumpitisha sugu kihuni..na uchaguzi wa Iringa kuupiga danadana Kwa sababu za kihuni..nendeni CCM Kuna hela nyingi za kihuni zitawafaa sana nyie madalali
 
Shetani mpya ana hasira za ulemavu mguu mmoja mfupi na kisasi ambacho ni haki yake, sasa akipanga safu yake hataki usaidizi maana anaweza hata kuokoteza waliomuasi makengeza , iko wazi mabifu ya kale hayamhusu boss mpya wa saccos ya DJ mlevi na mhuni danga la Joy!

Wanadai njaa imeingia huko ila ni suala la mpito tu, maana ruzuku zijazo hazitaenda tena kwa Joy tutakula wote, chauma ubwabwa oyee!!
 
Kama mnataka kuwa wenye nguvu kiasi cha kushika dola kuweni wamoja. Yeyote anayetaka kuungana nanyi mpokeeni mshirikiane. Hata Mpina akija kwenu mpeni jimbo.
 
Free Dr.Slaa!
hq720.jpg
 
Kwa Mujibu wa Katiba ya Chadema hakuna Kiongozi wa ngazi yoyote wa Chama hicho anayeweza kufanya Maamuzi ya Peke yake (Maamuzi Binafsi) ambayo yanaweza kutengua adhabu aliyopewa Mwanachama yeyote yule na Vikao halali vya Chama.

Njia pekee ya kufanya hivyo ni kwa kutumia Vikao vile vile vya Chama, ambavyo kwa namna yoyote havitaweza kuketi ili kujadili Ujinga huo, Halima Mdee na Wenzake walishafukuzwa na Chadema kwa vikao halali vya Chama vilivyotumia pesa nyingi za Chama kuviitisha, Chadema haina hela za kuchezea ili kuitisha vikao vya masihara, hili limeisha na waendelee kujiambatanisha na CCM kama walivyofanya kwa miaka mitano yote.

Dkt Slaa aliondoka Chadema kwa kisingizio cha Lowassa, akiwa yeye ndiye kamleta Lowassa! akahongwa Ubalozi waziwazi , namna alivyoingizwa Hotelini kwa Press iliyoandaliwa na serikali ili kutukana Chadema kila mtu aliona (Video zile zingalipo hata leo), Huyu hata Shambulio la kumuua Tundu Lissu aliita Shambuloo la Kawaida, na kwamba mashambulio kama hayo hata huko Ulaya yanafanyika, huyu aweza kurudi Chadema, Chama alichokituhumu kuleta Choo sebuleni ili iweje?

Napinga kabisa jambo hili kufanyika, Chadema ina lundo la Wamama wenye uwezo mkubwa sana wa kuwa viongozi, hakuna sababu ya maana wala ya kijinga ya kuwarejesha Mamluki, Naapa kutoshirikiana nao katika lolote hata kama watarejeshwa (Maana Chama si changu peke yangu)

Wengine wanaweza kusema kwamba Nina roho mbaya na labda nashindwa Kusamehe, lakini ni wapi kwenye Vitabu vya Mungu imeandikwa Tumsamehe Shetani? Pamoja na Mwenyezi Mungu kusisitiza mno Msamaha na kusamehe lakini hakuwahi kuagiza kusamehe Mwovu Shetani.

Naomba Kuwasilisha.
Kwani sisi ni wanachama wenzako? Si ukawasilishe hayo maoni yako ktk vikao vyenu? Lakini kuna dhambi gani isiyosameheka? Kwanini msiwasamehe na kuwarejesha ili kuifanya CHADEMA Great again?
 
Sayansi ya siasa inapingana na hoja zako, hata hivyo nadhani CDM waanze upya, grudges hazisaidii hata kidogo, mwenyekiti anatakiwa kuunganisha watu, asiwe sehemu ya kutengeneza fractures.

Ila bado siamini kama Lissu anaweza kuiunganisha CDM kikawa chama chenye muelekeo.
 
Mdee ni snitch kama snitch wengine TU. Wakati watu wanapambana wa kiongozi wa maraika wao waka snitch. Ingekua TALIBAN'S wangepigwa chuma.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom