Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #221
Huna hojaVipi Mwangosi (RIP), Chacha Wangwe (RIP), Polisi na viongozi wa CCM kwa wilaya za Mkoa wa Pwani waliouawa? Hizo rekodi umezifuta? Kwani nini hamkuandamana kupinga?
====
Uhai wa Kila mtu/ Mwananchi yeyote bila kujali Chama chake kazi yake, kabila lake nakadhalika ni muhimu na unastahili kulindwa.