Napinga Stesheni ya SGR Dar kuitwa Magufuli, hakuna sababu yoyote ya kuipa Jina hilo

Napinga Stesheni ya SGR Dar kuitwa Magufuli, hakuna sababu yoyote ya kuipa Jina hilo

Vipi Mwangosi (RIP), Chacha Wangwe (RIP), Polisi na viongozi wa CCM kwa wilaya za Mkoa wa Pwani waliouawa? Hizo rekodi umezifuta? Kwani nini hamkuandamana kupinga?
====
Uhai wa Kila mtu/ Mwananchi yeyote bila kujali Chama chake kazi yake, kabila lake nakadhalika ni muhimu na unastahili kulindwa.
Huna hoja
 
Huu ni ujinga wa kiwango cha Rami kabisa hivi unajua malema ni profess wa south Africa nakuu maneno yake akisema Mimi siitetei CCM lakini kiuhalisia magufuli angekuwelo mbaka Sasa Tanzania ingekuwa na uchumu mkubwa sana barani africa mwisho wa kunukuu na yeye huyu nae hajui kufikiria vizuri kama weee
Uchumi wa Ethiopia wa kwenye makaratasi unaujua? Lakini kila leo maelfu ya vijana wanakufa na kukamatwa kila mahali wakijaribu kukimbia Nchi
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia

View attachment 3058919

PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar magufuli Moro Kikwete Dom Samia Tabora Mwingi Shinyanga Karume Mwanza Nyerere
Kaandamane kupinga jina hilo.
 
Ulitaka iitwe Mbowe?

Kama hauoni sababu zozote za kuitwa Magufuli, basi hata sisi hautuoni sababu za kuacha kuitwa Magufuli.

Isitoshe ni Maraisi wote, ila kwa Magufuli tu ndiyo umeona shida.

Nadhani hizi ni chuki
Ngongo
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia

View attachment 3058919

PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar magufuli Moro Kikwete Dom Samia Tabora Mwingi Shinyanga Karume Mwanza Nyerere
Wivu utakuua
Jikite kwenye mambo ya msingi
Watu wanatekwa nchini
 
Huna hoja
Nikisema unakihujumu Chama chako ukipendacho nitakosea? Huwezi kuficha viongozi wako Maswali magumu mnayoulizwa huku Mtaani ili wayapatie majibu na bado ukajiona ni mkereketwa wa Chama chako...la hasha!!!
 
Wakati mwingine wapinzani huwa mnajitakia presha bule

Halafu we binti mbowe, una vitu vingi vingi vya kijinga kijinga sana yaani,

Ubaya wa magufuli ni kumwambia mbowe alipe kodi za bilkanas

Hicho ndicho kimewafanya muwehuke kwa kumchukia na kumpimga JPM (RIP)

Mkiwa Ikulu mtalipa kodi kwenye biashara zenu?
Huyo ni mmoja wa vijana wa propaganda wa Mbowe waliomo humu Jamiiforum.
 
Hakuna kiongozi anaependwa na watu wote.
Kuna sehemu niliwahi sikia Nyerere aliitwa Dikteta.
Ndio maana wanasema wengi, wape.
Tunaheshimu mawazo wako. Tuache demokrasia iamue
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia

View attachment 3058919

PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar magufuli Moro Kikwete Dom Samia Tabora Mwingi Shinyanga Karume Mwanza Nyerere
Ukimaindi zaidi kunya boga................MTAKATIFU MAGUFULI nyoosha hao kenge
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia

View attachment 3058919

PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar magufuli Moro Kikwete Dom Samia Tabora Mwingi Shinyanga Karume Mwanza Nyerere
Ukiingiaga bleed tu unakuja na pumba zako humu jukwaani
 
Back
Top Bottom