mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,527
- 2,469
Kwani watu kutekwa na kuuwawa imeanza katika utawala wa Magufuli? Mbona kwenye utawala huu wanatekwa watu na kuuwawa, utawala wa Mkapa, Mwinyi, Kikwete wameuwawa watu kibao au huna rekodi?Huna rekodi ya waliotekwa na kuuawawa kwenye utawala wake akiwemo Ben Saanane na Azory Gwanda?