Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #221
Huna hojaVipi Mwangosi (RIP), Chacha Wangwe (RIP), Polisi na viongozi wa CCM kwa wilaya za Mkoa wa Pwani waliouawa? Hizo rekodi umezifuta? Kwani nini hamkuandamana kupinga?
====
Uhai wa Kila mtu/ Mwananchi yeyote bila kujali Chama chake kazi yake, kabila lake nakadhalika ni muhimu na unastahili kulindwa.
Uchumi wa Ethiopia wa kwenye makaratasi unaujua? Lakini kila leo maelfu ya vijana wanakufa na kukamatwa kila mahali wakijaribu kukimbia NchiHuu ni ujinga wa kiwango cha Rami kabisa hivi unajua malema ni profess wa south Africa nakuu maneno yake akisema Mimi siitetei CCM lakini kiuhalisia magufuli angekuwelo mbaka Sasa Tanzania ingekuwa na uchumu mkubwa sana barani africa mwisho wa kunukuu na yeye huyu nae hajui kufikiria vizuri kama weee
Kaandamane kupinga jina hilo.Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia
View attachment 3058919
PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar magufuli Moro Kikwete Dom Samia Tabora Mwingi Shinyanga Karume Mwanza Nyerere
NgongoUlitaka iitwe Mbowe?
Kama hauoni sababu zozote za kuitwa Magufuli, basi hata sisi hautuoni sababu za kuacha kuitwa Magufuli.
Isitoshe ni Maraisi wote, ila kwa Magufuli tu ndiyo umeona shida.
Nadhani hizi ni chuki
Wewe siulikuwa huoni inaonekana zile ndege, mabwabwa ya maji ya umeme, masoko ya kisiasa,Barbara treni ya umeme na vinginevyo alifanya tundulisuUchumi wa Ethiopia wa kwenye makaratasi unaujua? Lakini kila leo maelfu ya vijana wanakufa na kukamatwa kila mahali wakijaribu kukimbia Nchi
Joined 8 september 2024, hujui kituWewe siulikuwa huoni inaonekana zile ndege, mabwabwa ya maji ya umeme, masoko ya kisiasa,Barbara treni ya umeme na vinginevyo alifanya tundulisu
Wivu utakuuaHii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia
View attachment 3058919
PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar magufuli Moro Kikwete Dom Samia Tabora Mwingi Shinyanga Karume Mwanza Nyerere
Umechelewa sana kuchangia, Pole sana!Wivu utakuua
Jikite kwenye mambo ya msingi
Watu wanatekwa nchini
Nikisema unakihujumu Chama chako ukipendacho nitakosea? Huwezi kuficha viongozi wako Maswali magumu mnayoulizwa huku Mtaani ili wayapatie majibu na bado ukajiona ni mkereketwa wa Chama chako...la hasha!!!Huna hoja
Kitu pekee hujui ni kuwa nimefungua account nyengine before nilikuwa nayo na ukitaka niirudishe naweza pea alafu nikuonyeshe kuwa ume prove wrong kima weJoined 8 september 2024, hujui kitu
Usilie, mambo badoKitu pekee hujui ni kuwa nimefungua account nyengine before nilikuwa nayo na ukitaka niirudishe naweza pea alafu nikuonyeshe kuwa ume prove wrong kima we
Usilie, mambo bado
Huyo ni mmoja wa vijana wa propaganda wa Mbowe waliomo humu Jamiiforum.Wakati mwingine wapinzani huwa mnajitakia presha bule
Halafu we binti mbowe, una vitu vingi vingi vya kijinga kijinga sana yaani,
Ubaya wa magufuli ni kumwambia mbowe alipe kodi za bilkanas
Hicho ndicho kimewafanya muwehuke kwa kumchukia na kumpimga JPM (RIP)
Mkiwa Ikulu mtalipa kodi kwenye biashara zenu?
Mambo yasiwe mengi nisije nkapoteza energy kuelewesha taila umeshinda mkuuUsilie, mambo bado
Ukimaindi zaidi kunya boga................MTAKATIFU MAGUFULI nyoosha hao kengeHii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia
View attachment 3058919
PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar magufuli Moro Kikwete Dom Samia Tabora Mwingi Shinyanga Karume Mwanza Nyerere
Ukiingiaga bleed tu unakuja na pumba zako humu jukwaaniHii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia
View attachment 3058919
PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar magufuli Moro Kikwete Dom Samia Tabora Mwingi Shinyanga Karume Mwanza Nyerere