Kwani watu kutekwa na kuuwawa imeanza katika utawala wa Magufuli? Mbona kwenye utawala huu wanatekwa watu na kuuwawa, utawala wa Mkapa, Mwinyi, Kikwete wameuwawa watu kibao au huna rekodi?
Kwani watu kutekwa na kuuwawa imeanza katika utawala wa Magufuli? Mbona kwenye utawala huu wanatekwa watu na kuuwawa, utawala wa Mkapa, Mwinyi, Kikwete wameuwawa watu kibao au huna rekodi?