Napinga Tulia Ackson kuwa Mgeni Rasmi kwenye mechi ya Simba na Wydad Cassablanca

Ingekuwa ni Mbowe ndie mgeni rasmi, mtoa mada angekuja na bahari moto moto kusifia ukubwa wa Mbowe
 


Simkubali tulia ila huyu pimbi ni wa kumpuuza.
 
Kumleta huyo ni nuksi ya kwanza

Nuksi ya pili ni jana nimeona MO kaongea na wachezaji kuwapa hamasa, mara zote MO akiongea na wachezaji et sijui hamasa huo mchezo huwa tunapoteza
 
Huo uchunguzi wako uliufanyia wapi!?
 
Kumleta huyo ni nuksi ya kwanza

Nuksi ya pili ni jana nimeona MO kaongea na wachezaji kuwapa hamasa, mara zote MO akiongea na wachezaji et sijui hamasa huo mchezo huwa tunapoteza
Mwamedi mtamuonea bure, Simba itafungwa leo kwa kuzidiwa quality na siyo nuksi ya mtu yeyote yule.
 
Najuwa umeumia Sana baada ya kuona Dr Tulia kipenzi Cha Wana Mbeya anaendelea kung'ara kila mahali na kila eneo ,Wana Mbeya hawataki Tena uhuni na mavurugu ya sugu Bungeni ,walicheleweshwa Sana na Wala sugu hakuwa na hadhi ya kuwa mbunge wa Mbeya Mjini,Dr Tulia Hadhi ya jiji la Mbeya na ndio maana kwa Sasa jini limechanua kwa maendeleo kila Kona na kila sehemu,

Wewe kabebe maparachichi tukuyu uuzage pale uyole ,ubunge Ni wa Dr Tulia, wenye akili wanatambua uwezo wa kiuongozi wa Dr Tulia ,Wana tambua Dr Tulia Ni mwanamichezo ,Ni mpenda michezo na aliye na mchango mkubwa Sana katika Secta ya michezo ,Dr Tulia ndio Nembo ya Wana Mbeya , Amewaheshimisha Wana Mbeya na ukanda wote wa nyanda za juu kusini, ameleta heshima
 
Ninaunga mkono hoja, huyo spika uchwara hafai kabisa hata uchaguzi hakushinda hata yeye mwenyewe ni shahidi halafu tena eti alipewa huo uspika. Bure kabisa.
 
Wewe kwenu utengule ya Mbeya unayajulia wapi ?
 
Mgeni ni yuleyule na Simba imeshinda
 
Mgeni rasmi huwa anacheza namba ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…