Napinga Uteuzi wa Kagurumujuli kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza, hana Sifa

Napinga Uteuzi wa Kagurumujuli kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza, hana Sifa

Mkuu,

Tusiende kwenye mihemko. Mkurugenzi anahusika vipi na mauaji? Kwanza, kibali cha Mkutano wa siasa hatoi yeye.

Pili, hana mamlaka yeyote juu ya Usimamizi wa polisi. Ofisi ya OCD na RPC ndiyo wenye mamlaka. Hawawajibiki kwa Mkurugenzi.

Tatu, Mkurugenzi ni mtendaji na hawajibiki kwenye maswala ya kisiasa haswa mikutano ya hadhara ambayo tukio lilitokea.

Nne, hujasema ni kwa namna gani alishiriki katika tukio lenyewe.

Jenga hoja, tusijikite zaidi kwenye hisia. Kutakuwa hakuna maana.
 
Ifike Mahali viongozi wa Tanzania na hasa Mamlaka ya Uteuzi ijaribu kuwaheshimu Wananchi wake , hata kama ni Wajinga, duni ama Mbumbumbu.

Uteuzi wa Kagurumujuli, kada wa CCM aliyesababisha mauaji ya kijinga ya Akwilina alipokuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, akishirikiana na Lazaro Mambosasa, umelenga kudhalilisha Wananchi wote waliopiga kelele kuhusu mauaji hayo ya kishamba na ni sawa na matusi ya nguoni Kwa familia ya Akwilina.

Kwa kufupisha ni kwamba Kagurumujuli hafai kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kwa vile ana tuhuma za mauaji, aweza kusababisha mauaji mengine tena.

Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia wananchi wa Tanzania kwamba ANAYEKULA NYAMA YA MTU HAACHI.

Nashauri Uteuzi wake Utenguliwe mara moja.
Ulimuona akiua ?
 
Mkuu,

Tusiende kwenye mihemko. Mkurugenzi anahusika vipi na mauaji? Kwanza, kibali cha Mkutano wa siasa hatoi yeye.

Pili, hana mamlaka yeyote juu ya Usimamizi wa polisi. Ofisi ya OCD na RPC ndiyo wenye mamlaka. Hawawajibiki kwa Mkurugenzi.

Tatu, Mkurugenzi ni mtendaji na hawajibiki kwenye maswala ya kisiasa haswa mikutano ya hadhara ambayo tukio lilitokea.

Nne, hujasema ni kwa namna gani alishiriki katika tukio lenyewe.

Jenga hoja, tusijikite zaidi kwenye hisia. Kutakuwa hakuna maana.
Hii hoja yako wapelekee Wajinga sana
 
Ifike Mahali viongozi wa Tanzania na hasa Mamlaka ya Uteuzi ijaribu kuwaheshimu Wananchi wake , hata kama ni Wajinga, duni ama Mbumbumbu.

Uteuzi wa Kagurumujuli, kada wa CCM aliyesababisha mauaji ya kijinga ya Akwilina alipokuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, akishirikiana na Lazaro Mambosasa, umelenga kudhalilisha Wananchi wote waliopiga kelele kuhusu mauaji hayo ya kishamba na ni sawa na matusi ya nguoni Kwa familia ya Akwilina.

Kwa kufupisha ni kwamba Kagurumujuli hafai kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kwa vile ana tuhuma za mauaji, aweza kusababisha mauaji mengine tena.

Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia wananchi wa Tanzania kwamba ANAYEKULA NYAMA YA MTU HAACHI.

Nashauri Uteuzi wake Utenguliwe mara moja.
Kweli ccm ni Ile Ile.

Hivi kumbe kuna pdf moja tu ya uteuzi.
 
Ifike Mahali viongozi wa Tanzania na hasa Mamlaka ya Uteuzi ijaribu kuwaheshimu Wananchi wake , hata kama ni Wajinga, duni ama Mbumbumbu.

Uteuzi wa Kagurumujuli, kada wa CCM aliyesababisha mauaji ya kijinga ya Akwilina alipokuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, akishirikiana na Lazaro Mambosasa, umelenga kudhalilisha Wananchi wote waliopiga kelele kuhusu mauaji hayo ya kishamba na ni sawa na matusi ya nguoni Kwa familia ya Akwilina.

Kwa kufupisha ni kwamba Kagurumujuli hafai kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kwa vile ana tuhuma za mauaji, aweza kusababisha mauaji mengine tena.

Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia wananchi wa Tanzania kwamba ANAYEKULA NYAMA YA MTU HAACHI.

Nashauri Uteuzi wake Utenguliwe mara moja.
Atakusikiliza nani!?
 
Mkuu,

Tusiende kwenye mihemko. Mkurugenzi anahusika vipi na mauaji? Kwanza, kibali cha Mkutano wa siasa hatoi yeye.

Pili, hana mamlaka yeyote juu ya Usimamizi wa polisi. Ofisi ya OCD na RPC ndiyo wenye mamlaka. Hawawajibiki kwa Mkurugenzi.

Tatu, Mkurugenzi ni mtendaji na hawajibiki kwenye maswala ya kisiasa haswa mikutano ya hadhara ambayo tukio lilitokea.

Nne, hujasema ni kwa namna gani alishiriki katika tukio lenyewe.

Jenga hoja, tusijikite zaidi kwenye hisia. Kutakuwa hakuna maana.
Kabisa[emoji419][emoji375]
 
Maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024,safu ya returning officers inapangwa.Katiba Mpya si kwa uchuguzi 2024/25.
 
Mkuu,

Tusiende kwenye mihemko. Mkurugenzi anahusika vipi na mauaji? Kwanza, kibali cha Mkutano wa siasa hatoi yeye.

Pili, hana mamlaka yeyote juu ya Usimamizi wa polisi. Ofisi ya OCD na RPC ndiyo wenye mamlaka. Hawawajibiki kwa Mkurugenzi.

Tatu, Mkurugenzi ni mtendaji na hawajibiki kwenye maswala ya kisiasa haswa mikutano ya hadhara ambayo tukio lilitokea.

Nne, hujasema ni kwa namna gani alishiriki katika tukio lenyewe.

Jenga hoja, tusijikite zaidi kwenye hisia. Kutakuwa hakuna maana.
Elimu murua,abishe tu
 
Tutajie sheria, kanuni au waraka ambamo zimetajwa sifa za anayepaswa kuwa mkurugenzi wa jiji ili na sisi tuzisome kabla ya kukubaliana na wewe.
 
Tutajie sheria, kanuni au waraka ambamo zimetajwa sifa za anayepaswa kuwa mkurugenzi wa jiji ili na sisi tuzisome kabla ya kukubaliana na wewe.
Sifa ya kwanza ni uadilifu ambao kagurumujuli hana , alisababisha Mauaji kwa kukatalia viapo vya mawakala wa Chadema ili kuokoa ccm , kinondoni .
 
Back
Top Bottom