Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Mbowe ana kashfa ya kumuua Chacha Wangwe na bado ni mwenyekiti wa chademaIfike Mahali viongozi wa Tanzania na hasa Mamlaka ya Uteuzi ijaribu kuwaheshimu Wananchi wake , hata kama ni Wajinga, duni ama Mbumbumbu.
Uteuzi wa Kagurumujuli, kada wa CCM aliyesababisha mauaji ya kijinga ya Akwilina alipokuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, akishirikiana na Lazaro Mambosasa, umelenga kudhalilisha Wananchi wote waliopiga kelele kuhusu mauaji hayo ya kishamba na ni sawa na matusi ya nguoni Kwa familia ya Akwilina.
Kwa kufupisha ni kwamba Kagurumujuli hafai kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kwa vile ana tuhuma za mauaji, aweza kusababisha mauaji mengine tena.
Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia wananchi wa Tanzania kwamba ANAYEKULA NYAMA YA MTU HAACHI.
Nashauri Uteuzi wake Utenguliwe mara moja.
Hizi Siasa za Kukurupuka. Yaani hata aina ya tuhuma dhidi yake haifanani Kabisaa. Labda useme Mengine.Kipi usichokijua kuhusu Aron Kagulumujuli ?
Aliyemuua Chacha Wangwe alishitakiwa mahakamani na kuhukumiwa kifungo , baadaye akaachiwa kwa msamaha wa Rais Benjamin Mkapa , sasa mnapoleta upuuzi jitahidini kuwa na kumbukumbu , Wajinga Wakubwa nyie !Mbona Mbowe ana kashfa ya kumuua Chacha Wangwe na bado ni mwenyekiti wa chadema
hilo muuwaji wa akwilina tunajua ni basha lako ndio maana unalitetea umeshindwa kulipikia hapo linapokufuga unaanza kutafuta basha nje ya ulilonalo.Mbowe alipata zero ila anasifa ya kukuongoza ww na mmeo ila huoni shida
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
mbowe alimuuwa mamako au nan wewe bwabwa.Kuna muuwaji kama MBOWE
mbowe anakashifa ya kuumuua chacha wangwe kupitia mabwabwa ya ccm na sio vinginevyo.Mbona Mbowe ana kashfa ya kumuua Chacha Wangwe na bado ni mwenyekiti wa chadema
Kama Chinja-Chinja-Mtanzania(CCM) Political Party wameamua kumteua mfuasi wao sisi ni nani ata tupinge uamuzi mtukufu wa Mwenyekiti wa chama chakavu!Ifike Mahali viongozi wa Tanzania na hasa Mamlaka ya Uteuzi ijaribu kuwaheshimu Wananchi wake , hata kama ni Wajinga, duni ama Mbumbumbu.
Uteuzi wa Kagurumujuli, kada wa CCM aliyesababisha mauaji ya kijinga ya Akwilina alipokuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, akishirikiana na Lazaro Mambosasa, umelenga kudhalilisha Wananchi wote waliopiga kelele kuhusu mauaji hayo ya kishamba na ni sawa na matusi ya nguoni Kwa familia ya Akwilina.
Kwa kufupisha ni kwamba Kagurumujuli hafai kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kwa vile ana tuhuma za mauaji, aweza kusababisha mauaji mengine tena.
Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia wananchi wa Tanzania kwamba ANAYEKULA NYAMA YA MTU HAACHI.
Nashauri Uteuzi wake Utenguliwe mara moja.
Tutawakumbusha tuKama Chinja-Chinja-Mtanzania(CCM) Political Party wameamua kumteua mfuasi wao sisi ni nani ata tupinge uamuzi mtukufu wa Mwenyekiti wa chama chakavu!
Afadhali umesema🤣Tungemtua Mbowe tatizo atang'ang'ania kiti
Huna akili kabisa!Mbona Mbowe ana kashfa ya kumuua Chacha Wangwe na bado ni mwenyekiti wa chadema
Ccm mnaona ni haki kabisa kuiuza Bandari ya Dar es salaam?Mbowe alipata zero ila anasifa ya kukuongoza ww na mmeo ila huoni shida
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Noma sana !Ccm mnaona ni haki kabisa kuiuza Bandari ya Dar es salaam?
unajifunza matusimbowe alimuuwa mamako au nan wewe bwabwa.
It's either ulikuwa nje ya nchi kipindi kile,au wewe ndugu yake Kagurumujuli,au wewe ni kada WA CCM ambaye hutumii akili kudadavua mambo .Mpenda haki yeyote hawezi kuandika haya uliyoandika.Mkuu,
Tusiende kwenye mihemko. Mkurugenzi anahusika vipi na mauaji? Kwanza, kibali cha Mkutano wa siasa hatoi yeye.
Pili, hana mamlaka yeyote juu ya Usimamizi wa polisi. Ofisi ya OCD na RPC ndiyo wenye mamlaka. Hawawajibiki kwa Mkurugenzi.
Tatu, Mkurugenzi ni mtendaji na hawajibiki kwenye maswala ya kisiasa haswa mikutano ya hadhara ambayo tukio lilitokea.
Nne, hujasema ni kwa namna gani alishiriki katika tukio lenyewe.
Jenga hoja, tusijikite zaidi kwenye hisia. Kutakuwa hakuna maana.
Kuna thread humu inasema kuwa Rais Samia hasomi madokezo, yeye anatwanga sahihi tu.Ifike Mahali viongozi wa Tanzania na hasa Mamlaka ya Uteuzi ijaribu kuwaheshimu Wananchi wake , hata kama ni Wajinga, duni ama Mbumbumbu.
Uteuzi wa Kagurumujuli, kada wa CCM aliyesababisha mauaji ya kijinga ya Akwilina alipokuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, akishirikiana na Lazaro Mambosasa, umelenga kudhalilisha Wananchi wote waliopiga kelele kuhusu mauaji hayo ya kishamba na ni sawa na matusi ya nguoni Kwa familia ya Akwilina.
Kwa kufupisha ni kwamba Kagurumujuli hafai kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kwa vile ana tuhuma za mauaji, aweza kusababisha mauaji mengine tena.
Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia wananchi wa Tanzania kwamba ANAYEKULA NYAMA YA MTU HAACHI.
Nashauri Uteuzi wake Utenguliwe mara moja.
Hawa chawa huwa wanatumwa kubadili upepoIt's either ulikuwa nje ya nchi kipindi kile,au wewe ndugu yake Kagurumujuli,au wewe ni kada WA CCM ambaye hutumii akili kudadavua mambo .Mpenda haki yeyote hawezi kuandika haya uliyoandika.
Hii ni hatari sana !Kuna thread humu inasema kuwa Rais Samia hasomi madokezo, yeye anatwanga sahihi tu.
Huyu Kujurumuli ni murder accomplice lwenye mauaji ya Akwilina Akweline. HAFAI