Napinga Uteuzi wa Kagurumujuli kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza, hana Sifa

Napinga Uteuzi wa Kagurumujuli kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza, hana Sifa

Pingamizi lako halituzuii sisi kuendelea kulamba asali
 
Ifike Mahali viongozi wa Tanzania na hasa Mamlaka ya Uteuzi ijaribu kuwaheshimu Wananchi wake , hata kama ni Wajinga, duni ama Mbumbumbu.

Uteuzi wa Kagurumujuli, kada wa CCM aliyesababisha mauaji ya kijinga ya Akwilina alipokuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, akishirikiana na Lazaro Mambosasa, umelenga kudhalilisha Wananchi wote waliopiga kelele kuhusu mauaji hayo ya kishamba na ni sawa na matusi ya nguoni Kwa familia ya Akwilina.

Kwa kufupisha ni kwamba Kagurumujuli hafai kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kwa vile ana tuhuma za mauaji, aweza kusababisha mauaji mengine tena.

Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia wananchi wa Tanzania kwamba ANAYEKULA NYAMA YA MTU HAACHI.

Nashauri Uteuzi wake Utenguliwe mara moja.
Mbona Mbowe ana kashfa ya kumuua Chacha Wangwe na bado ni mwenyekiti wa chadema
 
Mbona Mbowe ana kashfa ya kumuua Chacha Wangwe na bado ni mwenyekiti wa chadema
Aliyemuua Chacha Wangwe alishitakiwa mahakamani na kuhukumiwa kifungo , baadaye akaachiwa kwa msamaha wa Rais Benjamin Mkapa , sasa mnapoleta upuuzi jitahidini kuwa na kumbukumbu , Wajinga Wakubwa nyie !
 
Ifike Mahali viongozi wa Tanzania na hasa Mamlaka ya Uteuzi ijaribu kuwaheshimu Wananchi wake , hata kama ni Wajinga, duni ama Mbumbumbu.

Uteuzi wa Kagurumujuli, kada wa CCM aliyesababisha mauaji ya kijinga ya Akwilina alipokuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, akishirikiana na Lazaro Mambosasa, umelenga kudhalilisha Wananchi wote waliopiga kelele kuhusu mauaji hayo ya kishamba na ni sawa na matusi ya nguoni Kwa familia ya Akwilina.

Kwa kufupisha ni kwamba Kagurumujuli hafai kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kwa vile ana tuhuma za mauaji, aweza kusababisha mauaji mengine tena.

Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia wananchi wa Tanzania kwamba ANAYEKULA NYAMA YA MTU HAACHI.

Nashauri Uteuzi wake Utenguliwe mara moja.
Kama Chinja-Chinja-Mtanzania(CCM) Political Party wameamua kumteua mfuasi wao sisi ni nani ata tupinge uamuzi mtukufu wa Mwenyekiti wa chama chakavu!
 
Kama Chinja-Chinja-Mtanzania(CCM) Political Party wameamua kumteua mfuasi wao sisi ni nani ata tupinge uamuzi mtukufu wa Mwenyekiti wa chama chakavu!
Tutawakumbusha tu
 
Mkuu,

Tusiende kwenye mihemko. Mkurugenzi anahusika vipi na mauaji? Kwanza, kibali cha Mkutano wa siasa hatoi yeye.

Pili, hana mamlaka yeyote juu ya Usimamizi wa polisi. Ofisi ya OCD na RPC ndiyo wenye mamlaka. Hawawajibiki kwa Mkurugenzi.

Tatu, Mkurugenzi ni mtendaji na hawajibiki kwenye maswala ya kisiasa haswa mikutano ya hadhara ambayo tukio lilitokea.

Nne, hujasema ni kwa namna gani alishiriki katika tukio lenyewe.

Jenga hoja, tusijikite zaidi kwenye hisia. Kutakuwa hakuna maana.
It's either ulikuwa nje ya nchi kipindi kile,au wewe ndugu yake Kagurumujuli,au wewe ni kada WA CCM ambaye hutumii akili kudadavua mambo .Mpenda haki yeyote hawezi kuandika haya uliyoandika.
 
Ifike Mahali viongozi wa Tanzania na hasa Mamlaka ya Uteuzi ijaribu kuwaheshimu Wananchi wake , hata kama ni Wajinga, duni ama Mbumbumbu.

Uteuzi wa Kagurumujuli, kada wa CCM aliyesababisha mauaji ya kijinga ya Akwilina alipokuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, akishirikiana na Lazaro Mambosasa, umelenga kudhalilisha Wananchi wote waliopiga kelele kuhusu mauaji hayo ya kishamba na ni sawa na matusi ya nguoni Kwa familia ya Akwilina.

Kwa kufupisha ni kwamba Kagurumujuli hafai kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kwa vile ana tuhuma za mauaji, aweza kusababisha mauaji mengine tena.

Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia wananchi wa Tanzania kwamba ANAYEKULA NYAMA YA MTU HAACHI.

Nashauri Uteuzi wake Utenguliwe mara moja.
Kuna thread humu inasema kuwa Rais Samia hasomi madokezo, yeye anatwanga sahihi tu.

Huyu Kujurumuli ni murder accomplice lwenye mauaji ya Akwilina Akweline. HAFAI
 
It's either ulikuwa nje ya nchi kipindi kile,au wewe ndugu yake Kagurumujuli,au wewe ni kada WA CCM ambaye hutumii akili kudadavua mambo .Mpenda haki yeyote hawezi kuandika haya uliyoandika.
Hawa chawa huwa wanatumwa kubadili upepo
 
Kuna thread humu inasema kuwa Rais Samia hasomi madokezo, yeye anatwanga sahihi tu.

Huyu Kujurumuli ni murder accomplice lwenye mauaji ya Akwilina Akweline. HAFAI
Hii ni hatari sana !
 
Back
Top Bottom