Napinga Uteuzi wa Saitoti Zelothe Stephen kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri Handeni, hana Sifa

Napinga Uteuzi wa Saitoti Zelothe Stephen kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri Handeni, hana Sifa

Huyu ni mtoto wa Zelothe Stephen ambaye alikuwa RPC mkoa wa Lindi na alisababisha mauji na chuki kubwa mkoa wa Lindi.

Zelothe Stephen huyu Kwa sasa ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, ambapo ameleta vurugu kubwa sana mjini arusha ndani na nje ya chama.

Amemfanya mbunge wa Jimbo la arusha Mjini amekuwa kama mkimbizi.

Kwa mantiki hiyo, kumteua mtoto wake kuwa Mkurugenzi Handeni ni kudhalilisha wananchi na wanamshauri Rais kwenye uteuzi huu walipitiwa.

Uteuzi wake utenguliwe.
Yaani makosa yq baba yake mtoto ndio aadhibiwe?,huna jambo nyamaza
 

Attachments

  • 77C42DF3-DC46-40CC-BAFD-0541F4F46C7F.jpeg
    77C42DF3-DC46-40CC-BAFD-0541F4F46C7F.jpeg
    25 KB · Views: 6
Huyu ni mtoto wa Zelothe Stephen ambaye alikuwa RPC mkoa wa Lindi na alisababisha mauji na chuki kubwa mkoa wa Lindi.

Zelothe Stephen huyu Kwa sasa ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, ambapo ameleta vurugu kubwa sana mjini arusha ndani na nje ya chama.

Amemfanya mbunge wa Jimbo la arusha Mjini amekuwa kama mkimbizi.

Kwa mantiki hiyo, kumteua mtoto wake kuwa Mkurugenzi Handeni ni kudhalilisha wananchi na wanamshauri Rais kwenye uteuzi huu walipitiwa.

Uteuzi wake utenguliwe.

Pia wananchi wa Tanzania wasiache kuwapongeza wafuatao (niwapongeze wafuatao kwa kuteuliwa kwenye nafasi za UDAS):

  • Geofrey Moses Nauye
  • Justice Lawrance Kijazi
  • Shauri Selenda Msuya
  • Neema Michael Magembhe
  • John Kulwa Mgalula
  • Ramadhani Salmin Possible
  • James Godfrey Mkumbo
  • James Francis Chalamila
  • Ruth John Magufuli
  • Fatima Said Kubenea
  • Pendo Daniel Ndumbaro
  • Reuben Michael Chongolo
  • Neema Fidelis Mfugale
  • Said Majaliwa
  • Ester Zulu Gama

Na hawa Kwenye nafasi za UDED
  • Chiunde Mfaume Kawawa
  • Abdul Omari Mtaka
  • Tamim Hamad Kambona
  • John John Nchimbi
  • Joanfaith John Kataraia
  • Shadrack M Mhagama.

Haya mambo 🙌🏼🙌🏼. CCM wanagawana vyeo vya Mama. TANZANIA hahahaa!
Imagien hivi kwa teuzi kama hizi bado kuna watu wanaamini kuwa CCM wako serious kwenye masuala ya Kitaifa!!?
 
Huyu ni mtoto wa Zelothe Stephen ambaye alikuwa RPC mkoa wa Lindi na alisababisha mauji na chuki kubwa mkoa wa Lindi.

Zelothe Stephen huyu Kwa sasa ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, ambapo ameleta vurugu kubwa sana mjini arusha ndani na nje ya chama.

Amemfanya mbunge wa Jimbo la arusha Mjini amekuwa kama mkimbizi.

Kwa mantiki hiyo, kumteua mtoto wake kuwa Mkurugenzi Handeni ni kudhalilisha wananchi na wanamshauri Rais kwenye uteuzi huu walipitiwa.

Uteuzi wake utenguliwe.

Pia wananchi wa Tanzania wasiache kuwapongeza wafuatao (niwapongeze wafuatao kwa kuteuliwa kwenye nafasi za UDAS):

  • Geofrey Moses Nauye
  • Justice Lawrance Kijazi
  • Shauri Selenda Msuya
  • Neema Michael Magembhe
  • John Kulwa Mgalula
  • Ramadhani Salmin Possible
  • James Godfrey Mkumbo
  • James Francis Chalamila
  • Ruth John Magufuli
  • Fatima Said Kubenea
  • Pendo Daniel Ndumbaro
  • Reuben Michael Chongolo
  • Neema Fidelis Mfugale
  • Said Majaliwa
  • Ester Zulu Gama

Na hawa Kwenye nafasi za UDED
  • Chiunde Mfaume Kawawa
  • Abdul Omari Mtaka
  • Tamim Hamad Kambona
  • John John Nchimbi
  • Joanfaith John Kataraia
  • Shadrack M Mhagama.

Haya mambo 🙌🏼🙌🏼. CCM wanagawana vyeo vya Mama. TANZANIA hahahaa!
Yaani ukitazama nchi hii ilivyo na koo nyingi utasikitika kwanini koo chache ndizo zijione kuwa zinafaa kuongoza ama kutawala wengine:
Najiuliza - kuna familia moja ambayo ina wabunge wawili bungeni, ina waziri bungeni , ina katibu mkuu , ina wakurugenzi wa halmashauri wawili wakati sisi wengine hata ukitukukusanya Wialaya nzima hatuna mbunge, mbunge ni wakuja aliyeletwa na hawahawa. Inasikitisha sana
 
Huyu ni mtoto wa Zelothe Stephen ambaye alikuwa RPC mkoa wa Lindi na alisababisha mauji na chuki kubwa mkoa wa Lindi.

Zelothe Stephen huyu Kwa sasa ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, ambapo ameleta vurugu kubwa sana mjini arusha ndani na nje ya chama.

Amemfanya mbunge wa Jimbo la arusha Mjini amekuwa kama mkimbizi.

Kwa mantiki hiyo, kumteua mtoto wake kuwa Mkurugenzi Handeni ni kudhalilisha wananchi na wanamshauri Rais kwenye uteuzi huu walipitiwa.

Uteuzi wake utenguliwe.

Pia wananchi wa Tanzania wasiache kuwapongeza wafuatao (niwapongeze wafuatao kwa kuteuliwa kwenye nafasi za UDAS):

  • Geofrey Moses Nauye
  • Justice Lawrance Kijazi
  • Shauri Selenda Msuya
  • Neema Michael Magembhe
  • John Kulwa Mgalula
  • Ramadhani Salmin Possible
  • James Godfrey Mkumbo
  • James Francis Chalamila
  • Ruth John Magufuli
  • Fatima Said Kubenea
  • Pendo Daniel Ndumbaro
  • Reuben Michael Chongolo
  • Neema Fidelis Mfugale
  • Said Majaliwa
  • Ester Zulu Gama

Na hawa Kwenye nafasi za UDED
  • Chiunde Mfaume Kawawa
  • Abdul Omari Mtaka
  • Tamim Hamad Kambona
  • John John Nchimbi
  • Joanfaith John Kataraia
  • Shadrack M Mhagama.

Haya mambo 🙌🏼🙌🏼. CCM wanagawana vyeo vya Mama. TANZANIA hahahaa!
 

Attachments

  • 8F876345-1C7B-4C5B-81E6-9475BD72E2E8.jpeg
    8F876345-1C7B-4C5B-81E6-9475BD72E2E8.jpeg
    69.7 KB · Views: 4
Huyu ni mtoto wa Zelothe Stephen ambaye alikuwa RPC mkoa wa Lindi na alisababisha mauji na chuki kubwa mkoa wa Lindi.

Zelothe Stephen huyu Kwa sasa ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, ambapo ameleta vurugu kubwa sana mjini arusha ndani na nje ya chama.

Amemfanya mbunge wa Jimbo la arusha Mjini amekuwa kama mkimbizi.

Kwa mantiki hiyo, kumteua mtoto wake kuwa Mkurugenzi Handeni ni kudhalilisha wananchi na wanamshauri Rais kwenye uteuzi huu walipitiwa.

Uteuzi wake utenguliwe.

Pia wananchi wa Tanzania wasiache kuwapongeza wafuatao (niwapongeze wafuatao kwa kuteuliwa kwenye nafasi za UDAS):

  • Geofrey Moses Nauye
  • Justice Lawrance Kijazi
  • Shauri Selenda Msuya
  • Neema Michael Magembhe
  • John Kulwa Mgalula
  • Ramadhani Salmin Possible
  • James Godfrey Mkumbo
  • James Francis Chalamila
  • Ruth John Magufuli
  • Fatima Said Kubenea
  • Pendo Daniel Ndumbaro
  • Reuben Michael Chongolo
  • Neema Fidelis Mfugale
  • Said Majaliwa
  • Ester Zulu Gama

Na hawa Kwenye nafasi za UDED
  • Chiunde Mfaume Kawawa
  • Abdul Omari Mtaka
  • Tamim Hamad Kambona
  • John John Nchimbi
  • Joanfaith John Kataraia
  • Shadrack M Mhagama.

Haya mambo 🙌🏼🙌🏼. CCM wanagawana vyeo vya Mama. TANZANIA hahahaa!
Hawa ndiyo wamiliki wa nchi wengine wote ni wapangaji
 
Back
Top Bottom