Napinga wafuasi wa CHADEMA kupanda treni ya SGR

Napinga wafuasi wa CHADEMA kupanda treni ya SGR

Etwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
7,207
Reaction score
17,674
Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.

Nchi zote zinazosemekana uzalendo uko juu sana, huwa haziendekezi upuuzi wa kulea wasaliti ambao kazi yao ni kuzurura kwenye mataifa na vyombo vya habari kushusha thamani ya taifa. Wafuasi wa Chadema wametumia muda mwingi kuionyesha dunia kuwa watanzania hawajielewi na miradi kama ya SGR ni upuuzi mtupu na haina faida yoyote kwa taifa. Kwa nini sasa wapande? Wametubu lini madhambi yao?

Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu, wakale walikopeleka mboga.
 
Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.

Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu
Huu UJINGA huwa mnausomea wapi huko?
Kwa hiyo hiyo mikopo mtailipa ninyi na hivyo hao wafuasi wa Chadema wasitoe kodi tena licha ya miradi hiyo kutawaliwa na ufisadi?
 
Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.

Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu
Pia na wafuasi wa timu Msoga ambao walipinga sasa wamejipa nafasi kuwa walifanya feasibility study.
 
Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.

Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu
Wamepingaje? Wamepinga kwa maneno gani?

Weka maneno yao halisi hapa tuyachambue.
 
Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.

Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu
Kabisa,lissu na mbowe wawapandishe wafuasi wao kwenye edikopta yao,wajinga sana chadema
 
Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu
Sikujua kama kichwani pako ni patupu.

Hivi na umri wako huo unaamini kuwa fedha za kujenga SGR zilitoka CCM?

Hivi hujui kuwa hao CHADEMA ndio walitoka fedha za kujenga hiyo SGR?

Nikushauri kitu....
Anza kuhudhuria mental health clinic uboreshe afya yako ya akili.
 
Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.

Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu
kodi yao imetumika kujengea hiyo reli au umesahau. wewe ndio wale watoto kwenye familia wanatofautianana watoto wenzao baba mmoja halafu wanasema wenzao wasile msosi wa familia kwasababu tu ya tofauti zao ila wote bado wanafamilia.
 
Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.

Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu
Chadema si watanzania?
 
Back
Top Bottom