Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napinga nyie kubanda mabasi,ndege wala train mpande yale malori yakuwaoeleka kwenye mikutano yenuWafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.
Nchi zote zinazosemekana uzalendo uko juu sana, huwa haziendekezi upuuzi wa kulea wasaliti ambao kazi yao ni kuzurura kwenye mataifa na vyombo vya habari kushusha thamani ya taifa. Wafuasi wa Chadema wametumia muda mwingi kuionyesha dunia kuwa watanzania hawajielewi na miradi kama ya SGR ni upuuzi mtupu na haina faida yoyote kwa taifa. Kwa nini sasa wapande? Wametubu lini madhambi yao?
Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu, wakale walikopeleka mboga.
Hakuna wasaliti kama wana mboga mbogaKuwaanika wasaliti wa taifa siyo ubaguzi
Wee shetani tunapanda treni na siyo SGR!Kapande SGR sasa huku roho ikikusuta
Hata over 89 ambaye ni chawa busara,hekima uelewa,utu,uaminifu,uzalendo,imani ni 0-----(negative)Halafu ukute huu uzi umeandikwa na mtu ambaye ni over 30! 🤔
Wewe unafaa kuwa colonized tena.
Chawa mtakufa kihoro!Nyumbu roho zunawasuta