Napinga wafuasi wa CHADEMA kupanda treni ya SGR

Napinga wafuasi wa CHADEMA kupanda treni ya SGR

Attachments

  • downloadfile-21~2.jpg
    downloadfile-21~2.jpg
    141.1 KB · Views: 1
  • JamiiForums1389173211.jpeg
    JamiiForums1389173211.jpeg
    25.7 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1604027510826.jpg
    FB_IMG_1604027510826.jpg
    34.8 KB · Views: 1
  • IMG-20191109-WA0000.jpg
    IMG-20191109-WA0000.jpg
    35.8 KB · Views: 1
Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.

Nchi zote zinazosemekana uzalendo uko juu sana, huwa haziendekezi upuuzi wa kulea wasaliti ambao kazi yao ni kuzurura kwenye mataifa na vyombo vya habari kushusha thamani ya taifa. Wafuasi wa Chadema wametumia muda mwingi kuionyesha dunia kuwa watanzania hawajielewi na miradi kama ya SGR ni upuuzi mtupu na haina faida yoyote kwa taifa. Kwa nini sasa wapande? Wametubu lini madhambi yao?

Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu, wakale walikopeleka mboga.


Kama kuna utaratibu wa kuhakikisha pesa zao za kodi hazitumiki wala hazijatumia kulipa madeni fanya hivyo. Vinginevyo chukuwa pesa yote ya mradi trilioni 20/ watu milioni 61. Chukuwa hilo jibu gawanya kwa watu milioni 10 wa chadema na wape pesa zao na hizo pesa hakikisha ujatoa kwenye kodi zao au makato yeyote kama utaweza.

Kama huwezi hilo nyamaza kwasababu huna pesa yako huwezi kuweka masharti kwa pesa ambayo wametoa wengine
 
Vipi kama mliyekuwa mnampinga angeahirisha ujenzi?
Haina shida tungekosa sote walipa kodi lakn kwakuwa hakuahirisha na bado kodi kwa wote zinakusanywa basi matumizi kwa kila mtanzania
 
Wewe sio mzima huko kichwani kwako na wasiokujua ndio wanakuchukulia serious.

Huo mradi sio wa CCM wala CHADEMA , sio wa wenye dini wala wasio na dini hizo ni kodi za watanganyika na mkopo wa mradi huo utalipwa na watanganyika bila kujali itikadi zao.

Huo mradi hata bibi yako kule Simiyu akinunua bidhaa kodi itarudi kufidia deni hilo.
 
Haina shida tungekosa sote walipa kodi lakn kwakuwa hakuahirisha na bado kodi kwa wote zinakusanywa basi matumizi kwa kila mtanzania

Kumbe lengo lenu la kupinga ni ili watanzania wakose maendeleo?
 
Kumbe lengo lenu la kupinga ni ili watanzania wakose maendeleo?
Lengo la nani? Mimi nazungumza kama mtanzania kwamba iwe walipnga au hawakupnga kwakuwa nao walikatwa kodi na bado wanakatwa basi kupanda wanapanda tu
 
Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.

Nchi zote zinazosemekana uzalendo uko juu sana, huwa haziendekezi upuuzi wa kulea wasaliti ambao kazi yao ni kuzurura kwenye mataifa na vyombo vya habari kushusha thamani ya taifa. Wafuasi wa Chadema wametumia muda mwingi kuionyesha dunia kuwa watanzania hawajielewi na miradi kama ya SGR ni upuuzi mtupu na haina faida yoyote kwa taifa. Kwa nini sasa wapande? Wametubu lini madhambi yao?

Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu, wakale walikopeleka mboga.

Achana nao wale hawajielewi. Hukumbuki kuna mmoja akawa anaongea kwamba hatuna ndege, mpaka mishipa ya shingo inasimama. Baada ya ndege kununuliwa akaanza tena kupinga kwamba kwa nini ndege zinanunuliwa. Anaongea mpaka povu linamtoka mdomoni.
Sasa jamaa yangu Etwege ukianza kufuwafuatilia utaumiza kichwa buree.
😛
 
Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.

Nchi zote zinazosemekana uzalendo uko juu sana, huwa haziendekezi upuuzi wa kulea wasaliti ambao kazi yao ni kuzurura kwenye mataifa na vyombo vya habari kushusha thamani ya taifa. Wafuasi wa Chadema wametumia muda mwingi kuionyesha dunia kuwa watanzania hawajielewi na miradi kama ya SGR ni upuuzi mtupu na haina faida yoyote kwa taifa. Kwa nini sasa wapande? Wametubu lini madhambi yao?

Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu, wakale walikopeleka mboga.
SGR ni mali ya Wazanzibari?.
 
Achana nao wale hawajielewi. Hukumbuki kuna mmoja akawa anaongea kwamba hatuna ndege, mpaka mishipa ya shingo inasimama. Baada ya ndege kununuliwa akaanza tena kupinga kwamba kwa nini ndege zinanunuliwa. Anaongea mpaka povu linamtoka mdomoni.
Sasa jamaa yangu Etwege ukianza kufuwafuatilia utaumiza kichwa buree.
😛
Nyumbu hawajawahi kujitambua hata kwa dakika moja tu
 
Sasa hivi wamehamia kuhujumu miundombinu
 
Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.

Nchi zote zinazosemekana uzalendo uko juu sana, huwa haziendekezi upuuzi wa kulea wasaliti ambao kazi yao ni kuzurura kwenye mataifa na vyombo vya habari kushusha thamani ya taifa. Wafuasi wa Chadema wametumia muda mwingi kuionyesha dunia kuwa watanzania hawajielewi na miradi kama ya SGR ni upuuzi mtupu na haina faida yoyote kwa taifa. Kwa nini sasa wapande? Wametubu lini madhambi yao?

Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu, wakale walikopeleka mboga.
Na pia upinge vilevile hawo wafuasi wa chadema kulipa kodi
 
Acha ubaguzi hii nchi ni ya watanzania wote. Mbona CCM imekuwa ikitumia ilani ya CDM kuongoza serikali lakini wao CDM hawajawahi kulalamikia madesa yao kuporwa
 
Back
Top Bottom