Umesema vyemaCCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema vyemaCCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
Iko hiviUmesema vyema
Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.
Nchi zote zinazosemekana uzalendo uko juu sana, huwa haziendekezi upuuzi wa kulea wasaliti ambao kazi yao ni kuzurura kwenye mataifa na vyombo vya habari kushusha thamani ya taifa. Wafuasi wa Chadema wametumia muda mwingi kuionyesha dunia kuwa watanzania hawajielewi na miradi kama ya SGR ni upuuzi mtupu na haina faida yoyote kwa taifa. Kwa nini sasa wapande? Wametubu lini madhambi yao?
Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu, wakale walikopeleka mboga.
Haina shida tungekosa sote walipa kodi lakn kwakuwa hakuahirisha na bado kodi kwa wote zinakusanywa basi matumizi kwa kila mtanzaniaVipi kama mliyekuwa mnampinga angeahirisha ujenzi?
Lengo la nani? Mimi nazungumza kama mtanzania kwamba iwe walipnga au hawakupnga kwakuwa nao walikatwa kodi na bado wanakatwa basi kupanda wanapanda tuKumbe lengo lenu la kupinga ni ili watanzania wakose maendeleo?
Natumia akili timamu, au bapa ya SultanNasema hivi ukiwa CCM mnanyang'anywa akili?
Kwa mfano wewe nipe siri ni kiungo gani unachotumia kufikiria?
Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.
Nchi zote zinazosemekana uzalendo uko juu sana, huwa haziendekezi upuuzi wa kulea wasaliti ambao kazi yao ni kuzurura kwenye mataifa na vyombo vya habari kushusha thamani ya taifa. Wafuasi wa Chadema wametumia muda mwingi kuionyesha dunia kuwa watanzania hawajielewi na miradi kama ya SGR ni upuuzi mtupu na haina faida yoyote kwa taifa. Kwa nini sasa wapande? Wametubu lini madhambi yao?
Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu, wakale walikopeleka mboga.
SGR ni mali ya Wazanzibari?.Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.
Nchi zote zinazosemekana uzalendo uko juu sana, huwa haziendekezi upuuzi wa kulea wasaliti ambao kazi yao ni kuzurura kwenye mataifa na vyombo vya habari kushusha thamani ya taifa. Wafuasi wa Chadema wametumia muda mwingi kuionyesha dunia kuwa watanzania hawajielewi na miradi kama ya SGR ni upuuzi mtupu na haina faida yoyote kwa taifa. Kwa nini sasa wapande? Wametubu lini madhambi yao?
Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu, wakale walikopeleka mboga.
Nyumbu hawajawahi kujitambua hata kwa dakika moja tuAchana nao wale hawajielewi. Hukumbuki kuna mmoja akawa anaongea kwamba hatuna ndege, mpaka mishipa ya shingo inasimama. Baada ya ndege kununuliwa akaanza tena kupinga kwamba kwa nini ndege zinanunuliwa. Anaongea mpaka povu linamtoka mdomoni.
Sasa jamaa yangu Etwege ukianza kufuwafuatilia utaumiza kichwa buree.
😛
🐷🐷🐷 Mwehu wewe!Sasa hivi wamehamia kuhujumu miundombinu
Wafuasi wa Chadema ni wazalendo zaidi wa nchi yao kuliko wana CCM ambao wengi ni wakora na mafisadi!Napambania uzalendo
Na pia upinge vilevile hawo wafuasi wa chadema kulipa kodiWafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.
Nchi zote zinazosemekana uzalendo uko juu sana, huwa haziendekezi upuuzi wa kulea wasaliti ambao kazi yao ni kuzurura kwenye mataifa na vyombo vya habari kushusha thamani ya taifa. Wafuasi wa Chadema wametumia muda mwingi kuionyesha dunia kuwa watanzania hawajielewi na miradi kama ya SGR ni upuuzi mtupu na haina faida yoyote kwa taifa. Kwa nini sasa wapande? Wametubu lini madhambi yao?
Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu, wakale walikopeleka mboga.