Baba Kabunyee
Member
- Jul 30, 2024
- 10
- 12
Sasa wasipopanda shirika si litaendeshwa kwa hasara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwakoko nyie msiojitambuaPinga pinga msio na aibu nyie
Ukimaliza kupinga njoo hapa chini ya mti kwenye kivuli nikwambie kitu.Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.
Nchi zote zinazosemekana uzalendo uko juu sana, huwa haziendekezi upuuzi wa kulea wasaliti ambao kazi yao ni kuzurura kwenye mataifa na vyombo vya habari kushusha thamani ya taifa. Wafuasi wa Chadema wametumia muda mwingi kuionyesha dunia kuwa watanzania hawajielewi na miradi kama ya SGR ni upuuzi mtupu na haina faida yoyote kwa taifa. Kwa nini sasa wapande? Wametubu lini madhambi yao?
Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu, wakale walikopeleka mboga.
Utasingizia na wafuasi wake walikua wamelewa visungura.mboye asamehewe huenda alikua amelewa yale makonyagi yake
Maza fantaWafuasi wa Chadema ni malaya malaya wa msimamo
Wasuse kupanda Reli 😂😂
Wapi na lini,weka official statement ya Chadema kupinga ujenzi wa SGR. Hiyo chuki yako kwa Chadema imevuka mipaka hadi imekufanya kuwa mwehu kiasi hakuna kitu tena unaweza kuchangia humu zaidi ya kuitukana Chadema na Lissu. Utakufa bure kwa kihoro kwani Chadema ipo sana.Kwa hiyo chadema hawakupinga ujenzi wa SGR?
Nyumbu unasemajeUkiwa CCM hivi kwani lazima uwe hayawani?
Hayawani unayefikiria reli imejengwa kwa pesa za CCM.Hayawani ni wewe
Nasema hivi ukiwa CCM mnanyang'anywa akili?Nyumbu unasemaje
Inawezekana ikawa kweli lakini wakati wa kukatwa kodi sote tunakatwa anayepinga na kutopinga sote tunakatwa hawaulizi wala kubagua nani hataki na nani anataka. So, kupanda ni haki yao maana ni SGR ya WatanzaniaWafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.
Nchi zote zinazosemekana uzalendo uko juu sana, huwa haziendekezi upuuzi wa kulea wasaliti ambao kazi yao ni kuzurura kwenye mataifa na vyombo vya habari kushusha thamani ya taifa. Wafuasi wa Chadema wametumia muda mwingi kuionyesha dunia kuwa watanzania hawajielewi na miradi kama ya SGR ni upuuzi mtupu na haina faida yoyote kwa taifa. Kwa nini sasa wapande? Wametubu lini madhambi yao?
Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu, wakale walikopeleka mboga.
Inawezekana ikawa kweli lakini wakati wa kukatwa kodi sote tunakatwa anayepinga na kutopinga sote tunakatwa hawaulizi wala kubagua nani hataki na nani anataka. So, kupanda ni haki yao maana ni SGR ya Watanzania
Hela za kujengea za babaako we hayawani?Hayawahi ni wewe unayepinga alafu unakuwa wa kwanza kutumia
Pesa iliyotymila ya baba yako? PatheticVipi kama mliyekuwa mnampinga angeahirisha ujenzi?
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavuNasema hivi ukiwa CCM mnanyang'anywa akili?
Kwa mfano wewe nipe siri ni kiungo gani unachotumia kufikiria?
😂😂😂😂😂 Wasamehewe tu Kwan nyingi mnavoibaga mihela kibao na mnadunda tu dunianiWafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.
Nchi zote zinazosemekana uzalendo uko juu sana, huwa haziendekezi upuuzi wa kulea wasaliti ambao kazi yao ni kuzurura kwenye mataifa na vyombo vya habari kushusha thamani ya taifa. Wafuasi wa Chadema wametumia muda mwingi kuionyesha dunia kuwa watanzania hawajielewi na miradi kama ya SGR ni upuuzi mtupu na haina faida yoyote kwa taifa. Kwa nini sasa wapande? Wametubu lini madhambi yao?
Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu, wakale walikopeleka mboga.