Napinga wafuasi wa CHADEMA kupanda treni ya SGR

Napinga wafuasi wa CHADEMA kupanda treni ya SGR

Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.

Nchi zote zinazosemekana uzalendo uko juu sana, huwa haziendekezi upuuzi wa kulea wasaliti ambao kazi yao ni kuzurura kwenye mataifa na vyombo vya habari kushusha thamani ya taifa. Wafuasi wa Chadema wametumia muda mwingi kuionyesha dunia kuwa watanzania hawajielewi na miradi kama ya SGR ni upuuzi mtupu na haina faida yoyote kwa taifa. Kwa nini sasa wapande? Wametubu lini madhambi yao?

Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu, wakale walikopeleka mboga.
Ukimaliza kupinga njoo hapa chini ya mti kwenye kivuli nikwambie kitu.
Kumbe hata ccm nao ni pinga pinga.
 
Kwa hiyo chadema hawakupinga ujenzi wa SGR?
Wapi na lini,weka official statement ya Chadema kupinga ujenzi wa SGR. Hiyo chuki yako kwa Chadema imevuka mipaka hadi imekufanya kuwa mwehu kiasi hakuna kitu tena unaweza kuchangia humu zaidi ya kuitukana Chadema na Lissu. Utakufa bure kwa kihoro kwani Chadema ipo sana.
 
Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.

Nchi zote zinazosemekana uzalendo uko juu sana, huwa haziendekezi upuuzi wa kulea wasaliti ambao kazi yao ni kuzurura kwenye mataifa na vyombo vya habari kushusha thamani ya taifa. Wafuasi wa Chadema wametumia muda mwingi kuionyesha dunia kuwa watanzania hawajielewi na miradi kama ya SGR ni upuuzi mtupu na haina faida yoyote kwa taifa. Kwa nini sasa wapande? Wametubu lini madhambi yao?

Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu, wakale walikopeleka mboga.
Inawezekana ikawa kweli lakini wakati wa kukatwa kodi sote tunakatwa anayepinga na kutopinga sote tunakatwa hawaulizi wala kubagua nani hataki na nani anataka. So, kupanda ni haki yao maana ni SGR ya Watanzania
 
Inawezekana ikawa kweli lakini wakati wa kukatwa kodi sote tunakatwa anayepinga na kutopinga sote tunakatwa hawaulizi wala kubagua nani hataki na nani anataka. So, kupanda ni haki yao maana ni SGR ya Watanzania

Vipi kama mliyekuwa mnampinga angeahirisha ujenzi?
 
Mbowe hakufurahia huo mradi kwasababu alikua ana convert budget na bei ya konyagi
 
Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa wazalendo na wapenda maendeleo wa nchi yetu.

Nchi zote zinazosemekana uzalendo uko juu sana, huwa haziendekezi upuuzi wa kulea wasaliti ambao kazi yao ni kuzurura kwenye mataifa na vyombo vya habari kushusha thamani ya taifa. Wafuasi wa Chadema wametumia muda mwingi kuionyesha dunia kuwa watanzania hawajielewi na miradi kama ya SGR ni upuuzi mtupu na haina faida yoyote kwa taifa. Kwa nini sasa wapande? Wametubu lini madhambi yao?

Kuwaruhusu wafuasi wa Chadema wapande ni kushusha morali ya wazalendo kuendelea kupigania maendeleo ya nchi yetu, wakale walikopeleka mboga.
😂😂😂😂😂 Wasamehewe tu Kwan nyingi mnavoibaga mihela kibao na mnadunda tu duniani
 
Back
Top Bottom