Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Yale maneno aliyosema Wakili Mwabukusi kwamba jambo baya litatokea madai yao yasiposikilizwa, yale maneno ni vitisho tu.
Tumemsikia wote Wakili Mwabukusi anasema"Wasidhani tunaleta masihara. We mean business". These are idle words, empty words, hollow words. Kwa sababu huyu Wakili Mwabukusi hana silaha zozote.
Yule mwingine alikuwa anasema juzi,vSerikali imevunja Katiba. Kama ni halali kwa serikali kuvunja Katiba, basi ni halali kwa sisi pia kuvunja Katiba."
Haya ni maneno tu hawa watu wanaongea. Polisi wanakuwa too excited for no reason.
Ni kwamba tu kina Mdude hawajui hii ni nchi ya Chama kimoja, wanadhani wakiitukana serikali kuna mtu atakuja kuwasaidia. Mahakama Beijing inaweza kushindana na CCP?
Yule Wakili ilikuwa hakuna sababu yoyote kumkamata kwa sababu Mahakama ilikuwa imeshamuondoa makali.
Au labda ni vizuri kwa polisi kuwadhibiti watu wote hawa ambao hawakubali kushindwa, ambao wanataka kuikaidi Mahakama.
Sasa Jeshi (la Wananchi) lingekuwa restless, that would have been a different matter.
Lakini tunawapeleka watu kwenye torture chambers, ambao ni nothing, less than nothing.
Tumemsikia wote Wakili Mwabukusi anasema"Wasidhani tunaleta masihara. We mean business". These are idle words, empty words, hollow words. Kwa sababu huyu Wakili Mwabukusi hana silaha zozote.
Yule mwingine alikuwa anasema juzi,vSerikali imevunja Katiba. Kama ni halali kwa serikali kuvunja Katiba, basi ni halali kwa sisi pia kuvunja Katiba."
Haya ni maneno tu hawa watu wanaongea. Polisi wanakuwa too excited for no reason.
Ni kwamba tu kina Mdude hawajui hii ni nchi ya Chama kimoja, wanadhani wakiitukana serikali kuna mtu atakuja kuwasaidia. Mahakama Beijing inaweza kushindana na CCP?
Yule Wakili ilikuwa hakuna sababu yoyote kumkamata kwa sababu Mahakama ilikuwa imeshamuondoa makali.
Au labda ni vizuri kwa polisi kuwadhibiti watu wote hawa ambao hawakubali kushindwa, ambao wanataka kuikaidi Mahakama.
Sasa Jeshi (la Wananchi) lingekuwa restless, that would have been a different matter.
Lakini tunawapeleka watu kwenye torture chambers, ambao ni nothing, less than nothing.