Napinga Wakili Mwabukusi kuulizwa kwanini anataka kuiangusha serikali. Ni JWTZ peke yao ndio wana uwezo wa kuiangusha serikali

Napinga Wakili Mwabukusi kuulizwa kwanini anataka kuiangusha serikali. Ni JWTZ peke yao ndio wana uwezo wa kuiangusha serikali

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Yale maneno aliyosema Wakili Mwabukusi kwamba jambo baya litatokea madai yao yasiposikilizwa, yale maneno ni vitisho tu.

Tumemsikia wote Wakili Mwabukusi anasema"Wasidhani tunaleta masihara. We mean business". These are idle words, empty words, hollow words. Kwa sababu huyu Wakili Mwabukusi hana silaha zozote.

Yule mwingine alikuwa anasema juzi,vSerikali imevunja Katiba. Kama ni halali kwa serikali kuvunja Katiba, basi ni halali kwa sisi pia kuvunja Katiba."

Haya ni maneno tu hawa watu wanaongea. Polisi wanakuwa too excited for no reason.

Ni kwamba tu kina Mdude hawajui hii ni nchi ya Chama kimoja, wanadhani wakiitukana serikali kuna mtu atakuja kuwasaidia. Mahakama Beijing inaweza kushindana na CCP?

Yule Wakili ilikuwa hakuna sababu yoyote kumkamata kwa sababu Mahakama ilikuwa imeshamuondoa makali.

Au labda ni vizuri kwa polisi kuwadhibiti watu wote hawa ambao hawakubali kushindwa, ambao wanataka kuikaidi Mahakama.

Sasa Jeshi (la Wananchi) lingekuwa restless, that would have been a different matter.

Lakini tunawapeleka watu kwenye torture chambers, ambao ni nothing, less than nothing.
 
"KILA BALAA HUANZA NA KAULI," KOTE ULIMWENGUNI,BAADAE MATENDO HUFUATA,TUWE MAKINI NA WATU WA AINA HII,YUPO KIONGOZI WA KISIASA PIA ALIYESEMA ALIFAHAMU HAKI HAITAPATIKANA MAHAKAMA ISPOKUWA WANANCHI WATAPASWA KUITAFUTA WENYEWE,KAULI ZA KIPUMBAVU KABISA HIZI,MUDA UMEFIKA HARAKATI ZOTE ZA KISIASA NA MIHADHARA ISIMAMISHWE KWA MUDA MPAKA HAPO BAADAE,HALI SIYO NZURI KWA AFYA YA TAIFA LETU.
 
Kimsingi uhaini umeainishwa kwenye Katiba ya JMT, sasa polisi kusema Adv. Mwabukusi anataka kuipindua serikali kwa sababu ya kutaka kufanya maandamano, ni ujinga, ni ujinga kwasababu Katiba hiyo hiyo ya JMT 1977 inataja maandamano kama njia mojawapo ya kufikisha ujumbe kwa watawala.

Kama wanataka kumfunga Adv. Mwabukusi kwa uhaini ambao hana, waende kwanza wakabadilishe kile kifungu kwenye Katiba, kama ambavyo wanalazimisha kubadili sheria bungeni haraka ili kuwaridhisha waarabu wa DPW, tuna serikali ya hovyo na ya kipuuzi sana.
 
Lazima atambue kuwa serikali ipo kazini, ukitamka maneno ya kichochezi yenye nia ya kuchafua Amani na umoja wa Taifa letu lazima ushughulikiwe kwa mujibu wa sheria

Kamwe huwezi kuachwa hivihivi kwa kisingizio cha uhuru wa kutoa maoni, hakuna uhuru usio na mipaka.
 


Acheni kupotosha hao watu kiongozi wa nchi atishiwi nyau au security stability ya nchi; hata kwa utani hadharani.

FBI wameondoa maisha ya mtu juzi baada ya kumtishia Biden mitandaoni tu. Seuse kauli za hao watu publicly; wanatafuta matatizo makubwa acheni kuwaingiza mkenge vijana wa watu.
 
Yale maneno aliyosema Wakili Mwabukusi kwamba jambo baya litatokea madai yao yasiposikilizwa, yale maneno ni vitisho tu.

Tumemsikia wote Wakili Mwabukusi anasema"Wasidhani tunaleta masihara. We mean business". These are idle words, empty words, hollow words. Kwa sababu huyu Wakili Mwabukusi hana silaha zozote.

Yule mwingine alikuwa anasema juzi,vSerikali imevunja Katiba. Kama ni halali kwa serikali kuvunja Katiba, basi ni halali kwa sisi pia kuvunja Katiba."

Haya ni maneno tu hawa watu wanaongea. Polisi wanakuwa too excited for no reason.

Ni kwamba tu kina Mdude hawajui hii ni nchi ya Chama kimoja, wanadhani wakiitukana serikali kuna mtu atakuja kuwasaidia. Mahakama Beijing inaweza kushindana na CCP?

Yule Wakili ilikuwa hakuna sababu yoyote kumkamata kwa sababu Mahakama ilikuwa imeshamuondoa makali.

Au labda ni vizuri kwa polisi kuwadhibiti watu wote hawa ambao hawakubali kushindwa, ambao wanataka kuikaidi Mahakama.

Sasa Jeshi (la Wananchi) lingekuwa restless, that would have been a different matter.

Lakini tunawapeleka watu kwenye torture chambers, ambao ni nothing, less than nothing.
Mdomo uliponza kichwa!
 


Acheni kupotosha hao watu kiongozi wa nchi atishiwi nyau au security stability ya nchi; hata kwa utani hadharani.

FBI wameondoa maisha ya mtu juzi baada ya kumtishia Biden mitandaoni tu. Seuse kauli za hao watu publicly; wanatafuta matatizo makubwa acheni kuwaingiza mkenge vijana wa watu.
Haya majuha ya kwetu hayawezi kuelewa madhara yake.
 
"KILA BALAA HUANZA NA KAULI," KOTE ULIMWENGUNI,BAADAE MATENDO HUFUATA,TUWE MAKINI NA WATU WA AINA HII,YUPO KIONGOZI WA KISIASA PIA ALIYESEMA ALIFAHAMU HAKI HAITAPATIKANA MAHAKAMA ISPOKUWA WANANCHI WATAPASWA KUITAFUTA WENYEWE,KAULI ZA KIPUMBAVU KABISA HIZI,MUDA UMEFIKA HARAKATI ZOTE ZA KISIASA NA MIHADHARA ISIMAMISHWE KWA MUDA MPAKA HAPO BAADAE,HALI SIYO NZURI KWA AFYA YA TAIFA LETU.
Huu ndio ukweli.
 
Kimsingi uhaini umeainishwa kwenye Katiba ya JMT, sasa polisi kusema Adv. Mwabukusi anataka kuipindua serikali kwa sababu ya kutaka kufanya maandamano, ni ujinga, ni ujinga kwasababu Katiba hiyo hiyo ya JMT 1977 inataja maandamano kama njia mojawapo ya kufikisha ujumbe kwa watawala.

Kama wanataka kumfunga Adv. Mwabukusi kwa uhaini ambao hana, waende kwanza wakabadilishe kile kifungu kwenye Katiba, kama ambavyo wanalazimisha kubadili sheria bungeni haraka ili kuwaridhisha waarabu wa DPW, tuna serikali ya hovyo na ya kipuuzi sana.
Nenda kamsaidie huko Polisi kama una ubavu.Wapiga kelele kwenye keabordy,ya simu ya shemegi,mume wa dada yako
 
Lazima atambue kuwa serikali ipo kazini, ukitamka maneno ya kichochezi yenye nia ya kuchafua Amani na umoja wa Taifa letu lazima ushughulikiwe kwa mujibu wa sheria

Kamwe huwezi kuachwa hivihivi kwa kisingizio cha uhuru wa kutoa maoni, hakuna uhuru usio na mipaka.
Na wao wanajua,wanafanya vurugu tu.Huyo wakili akitukanwa at ktishiwa maisha atakaa kimya?Hatakwenda kwenye vyombo vya sheria?
 


Acheni kupotosha hao watu kiongozi wa nchi atishiwi nyau au security stability ya nchi; hata kwa utani hadharani.

FBI wameondoa maisha ya mtu juzi baada ya kumtishia Biden mitandaoni tu. Seuse kauli za hao watu publicly; wanatafuta matatizo makubwa acheni kuwaingiza mkenge vijana wa watu.
Huu ndio ukweli.Wananchi hatuwezi kukaa kimyaa,kuchezewa Kipenzi chetu Rais,mama Samia.
 
Yale maneno aliyosema Wakili Mwabukusi kwamba jambo baya litatokea madai yao yasiposikilizwa, yale maneno ni vitisho tu.

Tumemsikia wote Wakili Mwabukusi anasema"Wasidhani tunaleta masihara. We mean business". These are idle words, empty words, hollow words. Kwa sababu huyu Wakili Mwabukusi hana silaha zozote.

Yule mwingine alikuwa anasema juzi,vSerikali imevunja Katiba. Kama ni halali kwa serikali kuvunja Katiba, basi ni halali kwa sisi pia kuvunja Katiba."

Haya ni maneno tu hawa watu wanaongea. Polisi wanakuwa too excited for no reason.

Ni kwamba tu kina Mdude hawajui hii ni nchi ya Chama kimoja, wanadhani wakiitukana serikali kuna mtu atakuja kuwasaidia. Mahakama Beijing inaweza kushindana na CCP?

Yule Wakili ilikuwa hakuna sababu yoyote kumkamata kwa sababu Mahakama ilikuwa imeshamuondoa makali.

Au labda ni vizuri kwa polisi kuwadhibiti watu wote hawa ambao hawakubali kushindwa, ambao wanataka kuikaidi Mahakama.

Sasa Jeshi (la Wananchi) lingekuwa restless, that would have been a different matter.

Lakini tunawapeleka watu kwenye torture chambers, ambao ni nothing, less than nothing.
Ulikuwepo wakati wanaulizwa?

Hayo watakwenda kujibu mahakamani, polisi kazi yao ni kuwahoji na kuandika maelezo yao tu.

Hao wana kesi ya uhaini kwa mujibu wa tangazo la Wambura. Sio peke yao, kuna wengine kwenye mtandao wao, hatobaki mhaini mitaani.
 
Back
Top Bottom