Napinga Wakili Mwabukusi kuulizwa kwanini anataka kuiangusha serikali. Ni JWTZ peke yao ndio wana uwezo wa kuiangusha serikali

hizo ndo akili za wanaccm nikwamba wamejikabithi hati miliki za taifa na wananchi wake
 

Huoni wamejibiwa vizuri.kutishia usalama wa taifa ni kosa ndio maana serikali ikajibu kwa kuwakamata na wakikutwa na hatia ni ukongaaa segerea kekooo
 
Hivi wanajeshi wetu hawawaoni wenzao wa Niger walivyomshughulikia bazoum?Maana hata hapa Tanzania tuna bazoum wetu ameanza kutumia polisi kutesa wazalendo.
 

Mbona zinaendana mkuu..ongeza upeo wa kufikiria utaeza chambua mambo kwa kina
 



Kuna source nyingi za hicho kifo cha jamaa.

Kikubwa ni frustration zake kuhusu uongozi wa Biden.

Alianza mikwara muda kwenye social media, sema anaishi Utah so hawakuona hatari sana. Hila alishaitwa March kuhojiwa na kutakiwa kuacha vitisho vyake kwa raisi wa nchi.

Na kwa nchi za wenzetu baada ya hapo anakuwa chini ya radar movement zake wana-monitor.

Biden ana ziara ya Utah siku chache zijazo; jamaa kapiga picha unayoiona hapo juu kaposti kwenye social media eti anasafisha sniper yake kwa kazi aliyoisubiri, japo ajasema kazi gani.

FBI awajachukulia hiyo threat lightly, wameenda na arrest warranty; purukashani wameondoka na maisha yake.

Ni hivi vitisho kwa serikali sio jambo la busara, ni haki ya watu kupinga, kukosoa au kutokubaliana na maamuzi ya serikali.

Ukianza kutishia viongozi au nchi kutotawalika unanunua ugomvi na vyombo vya kulinda amani ya nchi; ndio maana uwezi kukuta mtu yeyote huko tunapodhani wana demokrasia iliyokamaa anauthubutu wa kutishia serikali kutoweza kuongoza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…