Napitia wakati mgumu kwenye mahusiano

Napitia wakati mgumu kwenye mahusiano

majam19

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2024
Posts
900
Reaction score
971
Nianze Kwa kumshukuru mungu Kwa kutupa afya na kherii tele. Mimi ni kijana mwenye umri26 Kuna Binti nilikua na urafiki wa mda mrefu sana hata zaidi ya mwaka na nusu tulikua tunasaidiane kwenye changamoto za hapa na pale na kama unavyojua ukaribu uleta upendo.

Basi moyo wangu ukamlizia Kwa roho Moja imenibidi nmfungukie kuwa nampenda ila hapo ndyo utata na chanz cha matatizo demu hajanionyeshea dalili ya kutokunipenda Hadi kunamda ananipigia simu kuwa amenimisi na anahitaji tuonane pia nkamueleza kuwa nataman awe mke wangu (nimuoe)yeye ananijibu kuwa anamuachia mungu kwenye ILO akinaanisha Hana maamuzi.

Kisha akaniambia yeye yupo kweny mahusiano ambayo hayaelewi nkamuliza sababu anasema yupo na mtu ambaye wapo dini tofauti na n mda umenipita sas hawajapata suluhu alivyoniambia hivyo ilinibidi nimongezee bidii za kumjali, kumfariji ila Leo nmekuja kujua uyo jamaa aleyekuwanae kweny mahusiano ni mmoja wa marafiki zangu ingawa hatuna ukaribu kivile.

imeniuma sana na Binti nmemwambia anisahau kabisa ingawa moyoni mwake ameumia sanaa na nampenda sana. Ushauri naombeni huenda naweza kupata muafaka kupitia mawazo yenu wakurungwa, wakomavu.
 
Nianze Kwa kumshukuru mungu Kwa kutupa afya na kherii tele.mm n kijan mwenye umri26 Kuna Binti nilikua na urafiki wa mda mrefu sana hata zaidi ya mwaka na nusu tulikua tunasaidiane kwenye changamoto za hapa na pale na kama unavyojua ukaribu uleta upendo.

Basi moyo wangu ukamlizia Kwa roho Moja imenibidi nmfungukie kuwa nampenda ila hapo ndyo utata na chanz cha matatizo demu hajanionyeshea dalili ya kutokunipenda Hadi kunamda ananipigia simu kuwa amenimisi na anahitaji tuonane pia nkamueleza kuwa nataman awe mke wangu (nimuoe)yeye ananijibu kuwa anamuachia mungu kwenye ILO akinaanisha Hana maamuzi.

Kisha akaniambia yeye yupo kweny mahusiano ambayo hayaelewi nkamuliza sababu anasema yupo na mtu ambaye wapo dini tofauti na n mda umenipita sas hawajapata suluhu alivyoniambia hivyo ilinibidi nimongezee bidii za kumjali, kumfariji ila Leo nmekuja kujua uyo jamaa aleyekuwanae kweny mahusiano ni mmoja wa marafiki zangu ingawa hatuna ukaribu kivile.

imeniuma sana na Binti nmemwambia anisahau kabisa ingawa moyoni mwake ameumia sanaa na nampenda sana. Ushauri naombeni huenda naweza kupata muafaka kupitia mawazo yenu wakurungwa, wakomavu.
Hudhuria Vikao! Kikao cha Mwisho Hukuwepo.

Jikite Katika Kujiboresha Wewe Binafsi, Tafuta Hela, Tafuta Maarifa, Ibada na Mazoezi.

Mahusiano sio Kipaumbele 2025
 
Nyuzi zinazohusu changamoto za mahusiano wanaolalamika wengi ni wanaume! kwani siku hizi wenzetu hamna tena vifua vya uvumilia? kjana tafuta pesa mapenzi yatakufuata yenyewe.
Pupua new guinea kutamu sana kupelekewa muwa hata nyie mnateseka
 
Nianze Kwa kumshukuru mungu Kwa kutupa afya na kherii tele.mm n kijan mwenye umri26 Kuna Binti nilikua na urafiki wa mda mrefu sana hata zaidi ya mwaka na nusu tulikua tunasaidiane kwenye changamoto za hapa na pale na kama unavyojua ukaribu uleta upendo.

Basi moyo wangu ukamlizia Kwa roho Moja imenibidi nmfungukie kuwa nampenda ila hapo ndyo utata na chanz cha matatizo demu hajanionyeshea dalili ya kutokunipenda Hadi kunamda ananipigia simu kuwa amenimisi na anahitaji tuonane pia nkamueleza kuwa nataman awe mke wangu (nimuoe)yeye ananijibu kuwa anamuachia mungu kwenye ILO akinaanisha Hana maamuzi.

Kisha akaniambia yeye yupo kweny mahusiano ambayo hayaelewi nkamuliza sababu anasema yupo na mtu ambaye wapo dini tofauti na n mda umenipita sas hawajapata suluhu alivyoniambia hivyo ilinibidi nimongezee bidii za kumjali, kumfariji ila Leo nmekuja kujua uyo jamaa aleyekuwanae kweny mahusiano ni mmoja wa marafiki zangu ingawa hatuna ukaribu kivile.

imeniuma sana na Binti nmemwambia anisahau kabisa ingawa moyoni mwake ameumia sanaa na nampenda sana. Ushauri naombeni huenda naweza kupata muafaka kupitia mawazo yenu wakurungwa, wakomavu.
Kinachokuuma dogo Umetoboka sana mfukoni ukidhani kwa kufanya hivyo atakuwa wako.

Demu amenyoka kama ruler we endelea kuumia tu na hasara imekula kwako
 
imeniuma sana na Binti nmemwambia anisahau kabisa ingawa moyoni mwake ameumia sanaa na nampenda sana. Ushauri naombeni huenda naweza kupata muafaka kupitia mawazo yenu wakurungwa, wakomavu.
Achana na hao watoto wa uswahilini watakuua kwa wivu hama huko
 
Thanks for ur advice kiongoz
Hao watoto wa uswahilini wanataka hela tu umepigwaweeee kisha unaambiwa anaemtomba ni Hassan na Hassan anajua wewe Shaban Sheby ndio mtoa hela za huduma na wewe unaona unapendwa kumbe anapendwa Hassan mpaka anamwagia ndani

Achana na hio UTI kabla hujaanza kutumia Powersef
 
ndio tunateseka tena sio kidogo sisi tunajifungia chumbani na kulia tukitoka nje tunakausha ila wenzetubsasa ndo mnaonekana mna hali mbaya zaidi.
Papua new guinea yako ina maji mengi, utelezi wa kutosha pia inabana au ndio imenyorodoka km utambi wa kibatari?
 
Tha
Kaka bado hujakutana na changamoto za mapenzi. Hicho kisa chako ni chepesi mno kwenye mapenzi.
Ila ushauri wangu kuwa kama unampotezea, focus na mambo yako.
Thanks too brow
 
Back
Top Bottom