Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakuambia yupo kwenye mahusiano na mtu mwingine, wewe ndo unaongeza upendo badala ya kukimbiaKisha akaniambia yeye yupo kweny mahusiano ambayo hayaelewi nkamuliza sababu anasema yupo na mtu ambaye wapo dini tofauti na n mda umenipita sas hawajapata suluhu alivyoniambia hivyo ilinibidi nimongezee bidii za kumjali, kumfariji
NakaziaKaka bado hujakutana na changamoto za mapenzi. Hicho kisa chako ni chepesi mno kwenye mapenzi.
Ila ushauri wangu kuwa kama unampotezea, focus na mambo yako.
Sasa kwa nini umemuacha wakati yuko kwenye mahusiano yasiyoelewekaNianze Kwa kumshukuru mungu Kwa kutupa afya na kherii tele. Mimi ni kijana mwenye umri26 Kuna Binti nilikua na urafiki wa mda mrefu sana hata zaidi ya mwaka na nusu tulikua tunasaidiane kwenye changamoto za hapa na pale na kama unavyojua ukaribu uleta upendo.
Basi moyo wangu ukamlizia Kwa roho Moja imenibidi nmfungukie kuwa nampenda ila hapo ndyo utata na chanz cha matatizo demu hajanionyeshea dalili ya kutokunipenda Hadi kunamda ananipigia simu kuwa amenimisi na anahitaji tuonane pia nkamueleza kuwa nataman awe mke wangu (nimuoe)yeye ananijibu kuwa anamuachia mungu kwenye ILO akinaanisha Hana maamuzi.
Kisha akaniambia yeye yupo kweny mahusiano ambayo hayaelewi nkamuliza sababu anasema yupo na mtu ambaye wapo dini tofauti na n mda umenipita sas hawajapata suluhu alivyoniambia hivyo ilinibidi nimongezee bidii za kumjali, kumfariji ila Leo nmekuja kujua uyo jamaa aleyekuwanae kweny mahusiano ni mmoja wa marafiki zangu ingawa hatuna ukaribu kivile.
imeniuma sana na Binti nmemwambia anisahau kabisa ingawa moyoni mwake ameumia sanaa na nampenda sana. Ushauri naombeni huenda naweza kupata muafaka kupitia mawazo yenu wakurungwa, wakomavu.
Baridi man 👊🏾Hapn sio wa kwanza but imetokea tuu
Huu ndiyo upumbavu wa hawa madogo, eti akaongeza kumjali!, watu wanatafuna tumbua huko yeye huku anamjali....Sema kinachomuuma haujamdinya wakati umehudumia sana mfuko umekutoboka kwelikweli