Napitia wakati mgumu kwenye mahusiano

Napitia wakati mgumu kwenye mahusiano

Kisha akaniambia yeye yupo kweny mahusiano ambayo hayaelewi nkamuliza sababu anasema yupo na mtu ambaye wapo dini tofauti na n mda umenipita sas hawajapata suluhu alivyoniambia hivyo ilinibidi nimongezee bidii za kumjali, kumfariji
Anakuambia yupo kwenye mahusiano na mtu mwingine, wewe ndo unaongeza upendo badala ya kukimbia

Mimi nakushauri uendelee kuingia kwenye mahusiano upate uzoefu wa kutosha
 
Tumia ile kwanuni inasema

'Ukipalilia bustani yako vizuri basi vipepeo watakuja tu '

At ur age 26 wekeza katika wewe zaidi na sio wanawake.

Peoples are pretenders so trust no body .
 
Nianze Kwa kumshukuru mungu Kwa kutupa afya na kherii tele. Mimi ni kijana mwenye umri26 Kuna Binti nilikua na urafiki wa mda mrefu sana hata zaidi ya mwaka na nusu tulikua tunasaidiane kwenye changamoto za hapa na pale na kama unavyojua ukaribu uleta upendo.

Basi moyo wangu ukamlizia Kwa roho Moja imenibidi nmfungukie kuwa nampenda ila hapo ndyo utata na chanz cha matatizo demu hajanionyeshea dalili ya kutokunipenda Hadi kunamda ananipigia simu kuwa amenimisi na anahitaji tuonane pia nkamueleza kuwa nataman awe mke wangu (nimuoe)yeye ananijibu kuwa anamuachia mungu kwenye ILO akinaanisha Hana maamuzi.

Kisha akaniambia yeye yupo kweny mahusiano ambayo hayaelewi nkamuliza sababu anasema yupo na mtu ambaye wapo dini tofauti na n mda umenipita sas hawajapata suluhu alivyoniambia hivyo ilinibidi nimongezee bidii za kumjali, kumfariji ila Leo nmekuja kujua uyo jamaa aleyekuwanae kweny mahusiano ni mmoja wa marafiki zangu ingawa hatuna ukaribu kivile.

imeniuma sana na Binti nmemwambia anisahau kabisa ingawa moyoni mwake ameumia sanaa na nampenda sana. Ushauri naombeni huenda naweza kupata muafaka kupitia mawazo yenu wakurungwa, wakomavu.
Sasa kwa nini umemuacha wakati yuko kwenye mahusiano yasiyoeleweka
 
Nmeona haelewek ushaur wa wengi n Bora niangalie mambo yang ntafute ela
 
Mi naomb ushaur kwanza maan kwass hatuongei nmemwambia aangalie mambo yake
 
Nacheka kama mazuri vile, mapenzi pasua kichwa kweli, achana naye kausha mkikutana salaam pita hivi, usijenge naye mazoea tena utaendelea kuumia wewe.
 
Tulia ukomae kwanza, miaka 26 unakimbilia nini kuoa?, bado huwezi hata kuvumilia stress ndogo kama hizi za mapenzi. Unatafuta sababu za kujiua baadae ukipigwa tukio kwenye ndoa?.
Sante sanaa Kwa ushaur mkuu
 
Back
Top Bottom