Napitia wakati mgumu

Well
 
Mie nakuelewaga sana ni vile tu hujai kujuaπŸ“ŒπŸ“Œ,.

By that time kwanza nlikua nimejikatia tamaa sijui ni Uoga,. Lakini nashukuru hukuchoka kunikumbusha,. Nashukuru pia ulikua unaniombea ( that's a real Love ).. nliwashirikisha na Family members tukasali wote kwa pamoja tulikuwa tunafunga,.

Sikuizi kila mtu amenunua kitabu chake watu ni wanafunga kwelikweli πŸ˜„,. Na Mungu anajibu Maombi
 
Tafuta bangili ya Shaba vaa mkononi au hata pete ya Shaba vaa mkononi kwenye kidole na inafaa uvae masaa 12 ya jua yaan mchana tu katika utendaji wako wa kazi yaan kuanzia saa 1 asubuhi mpaka saa 12 jioni vua, utanishukuru

 
lamomy, nmependa huduma yako na ushuhuda kutoka kwa memba,pia nami naomba nipate iyo elimu ya kusali novena
 
Tafuta bangili ya Shaba vaa mkononi au hata pete ya Shaba vaa mkononi kwenye kidole na inafaa uvae masaa 12 ya jua yaan mchana tu katika utendaji wako wa kazi yaan kuanzia saa 1 asubuhi mpaka saa 12 jioni vua, utanishukuru
Inasaidia nini hii mkuu
 
Aisee pole sana
 
Pole Mwamini Mungu utapona the soonest possible.

Niliwahi kuwa na kijana wangu mwenye almost uliyoyasema.

Alihangaika sana, mpaka maombi, mpaka dawa kwenye haya maduka ya waarabu maeneo ya misikiti,

Sasa hajambo.

Pole
 
Hakika umejitahidi kuonyesha una nia njema ya kumsaidia hongera kwa moyo huo natamani na mhusika asome ulichoandika ili tuone atareply vipi
 
Lita moja ya damu ina hadi mikroni 25 za shaba. Kiwango cha kila siku kwa kilo ya uzito ni 0.05 mg ya dutu hii.
Ebu tupe elimu ya iyo shaba ktk mwili wa binadamu
 
Hakika umejitahidi kuonyesha una nia njema ya kumsaidia hongera kwa moyo huo natamani na mhusika asome ulichoandika ili tuone atareply vipi
Hakika umejitahidi kuonyesha una nia njema ya kumsaidia hongera kwa moyo huo natamani na mhusika asome ulichoandika ili tuone atareply vipi
Nilikutana nae fb sio hapa huenda hajajiunga jf ila kisa cha huyu binti na chake vinafanana ndio maana nimeuliza hapahapa sikutaka kumfuata pm
 
Kama upo Dsm naomba nitafute! Namshukuru Mungu alinipa karama ya huduma ya Uponyaji! kuna watu kadhaa nilishawaombea na walipona kabisa! Mungu ninaye Muamini hajawahi kuniangusha. Naongea hili kutoka kwenye uvungu wa Moyo wangu na huwa sifanyi masihara kwenye mambo ya Mungu. Na huwa situmii nguvu nyinyi kwenye kumuombea mtu uponyaji na Mungu huwa ni mwaminifu anatenda.

SITAHITAJI CHOCHOTE TOKA KWAKO!

Amini tu!
 
Ebu tupe elimu ya iyo shaba ktk mwili wa binadamu
Ni dawa ya kuponya maradhi sugu ambayo huenda yamekuandama kwa muda mrefu bila tiba ya uhakika kukuokoa. Kwa madhumuni ya dawa, shaba ni bidhaa muhimu.
 
Pole Mwamini Mungu utapona the soonest possible.

Niliwahi kuwa na kijana wangu mwenye almost uliyoyasema.

Alihangaika sana, mpaka maombi, mpaka dawa kwenye haya maduka ya waarabu maeneo ya misikiti,

Sasa hajambo.

Pole
Avae Shaba atakuja kuleta mrejesho na hii Mwamposa akiipata ataanza kuwauzi

Akawaambia ili wapone watazame nyoka wa Shaba

Hesabu 21:8-9

BWANA akamwambia Mose, β€œTengeneza nyoka wa shaba na umweke juu ya mti; yeyote aliyeumwa na nyoka anaweza kumtazama na akaishi tena.”

Kwa hiyo Musa akatengeneza nyoka wa shaba na kumweka juu ya mti. Kisha wakati mtu yeyote aliumwa na nyoka, naye akamtazama yule nyoka wa shaba, aliishi.

Code hio hapo nimekupa Biblia imekufungulia nguvu ya Shaba inavyoponya

Hii chondechonde asiione Mwamposa atawauzia shaba za upako

Zaidi soma:

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…