Napitia wakati mgumu

Napitia wakati mgumu

Amen Amen, sifa na utukufu una yeye aliyeziumba mbingu na nchi 🥰🙏

Nafurahi sana kwa feedback km hii nakumbuka nilianza kufunga kwaajili yako, Mungu wetu si kiziwi hata asisikie hatimaye alitujibu sawa sawa na maombi na sala zetu…!!

Nilikuwa nakukumbusha kila mara ufunge kwa imani najua ulinishangaa kutokana na nilivyo mtu wa masihara jukwaani 😂 (Ila ukaamua kujaribu, Mungu umtumia yeyote akitaka kuonyesha ukuu wake)
Lakini nguvu mbaya imeshindwa na Mungu kaonyesha ukuu wake..!!!
Well
 
Amen Amen, sifa na utukufu una yeye aliyeziumba mbingu na nchi 🥰🙏

Nafurahi sana kwa feedback km hii nakumbuka nilianza kufunga kwaajili yako, Mungu wetu si kiziwi hata asisikie hatimaye alitujibu sawa sawa na maombi na sala zetu…!!

Nilikuwa nakukumbusha kila mara ufunge kwa imani najua ulinishangaa kutokana na nilivyo mtu wa masihara jukwaani 😂 (Ila ukaamua kujaribu, Mungu umtumia yeyote akitaka kuonyesha ukuu wake)
Lakini nguvu mbaya imeshindwa na Mungu kaonyesha ukuu wake..!!!
Mie nakuelewaga sana ni vile tu hujai kujua📌📌,.

By that time kwanza nlikua nimejikatia tamaa sijui ni Uoga,. Lakini nashukuru hukuchoka kunikumbusha,. Nashukuru pia ulikua unaniombea ( that's a real Love ).. nliwashirikisha na Family members tukasali wote kwa pamoja tulikuwa tunafunga,.

Sikuizi kila mtu amenunua kitabu chake watu ni wanafunga kwelikweli 😄,. Na Mungu anajibu Maombi
 
Tafuta bangili ya Shaba vaa mkononi au hata pete ya Shaba vaa mkononi kwenye kidole na inafaa uvae masaa 12 ya jua yaan mchana tu katika utendaji wako wa kazi yaan kuanzia saa 1 asubuhi mpaka saa 12 jioni vua, utanishukuru

Screenshot_20250115_214520.jpg
 
lamomy, nmependa huduma yako na ushuhuda kutoka kwa memba,pia nami naomba nipate iyo elimu ya kusali novena
 
Tafuta bangili ya Shaba vaa mkononi au hata pete ya Shaba vaa mkononi kwenye kidole na inafaa uvae masaa 12 ya jua yaan mchana tu katika utendaji wako wa kazi yaan kuanzia saa 1 asubuhi mpaka saa 12 jioni vua, utanishukuru
Inasaidia nini hii mkuu
 
Wakuu habari zenu wakuu naomba ni share hali yangu japo nipate hata faraja maana naona naweza kupata ugonjwa wa moyo siku siyo nyingi mimi ni binti wa miaka 25

Mwaka 2017 nikiwa kidato cha nne niliugua ugonjwa wa ajabu sana miguu ilikuwa inawaka moto na kuhisi baridi sana muda wote pamoja na kufaganzi maumivu yalikuwa makali sana mpaka nashindwa kutembea. Mgongo wangu ulianza kuuma nikawa nakosa balance kati ya kiuno na mgongo naweza kukaa kwenye kiti nikawewesuka nikaanguka chini.

Pia masikio yangu yalianza kuuma na kuhisi kelele muda wote hali hii ilipelekea kuwa kiziwi nikiingia darasani sioni hata nikivaa miwani naona moshi tu au ukungu.

Nimeangahika sana kutafuta tiba kila napoenda naambiwa mambo mengi sana ikiwemo kurogwa hata maombi nimeenda sana. Hospitali nilipima vipimo karibia vyote ikiwemo CT-SCAN na kipimo cha uti wa mgongo walikosa ugonjwa.

Miaka mitatu nilisoma kwa shida sana. Hali hii inanifanya niwe mpweke najitenga na kuhisi hasira sana hata vitu vidogovidogo yaani hata mtu akiniambia nakupenda naona kama ananidhihaki 😞.

Kilichonileta huku ni kwamba..kwa maumivu ninayo kuwa nahisi nashindwa kufanya kazi ngumu na kutembea umbali mrefu alafu nakuwa naanguka anguka mtu aweza kuzani nakifafa kumbe Lah!.
Sasa nawaza nitafanya biashara gani wakati siskii vizuri na kutembea kwangu ni kwa shida.

Nikisema niombe kazi ni nani ata niajili na huku siskii vizuri na elimu yangu ni kidato cha sita nilishindwa kuendelea na masomo ya ngazi za juu kwasababu ya hali yangu kwani uchumi wetu ni wa kawaida hivyo pesa nyingi inahitajika kwa matunzo.

Jamani ikiwa kuna mtu amewahi kupitia kipindi kigumu kama hiki naomba anisaidie aliponaje ni dawa gani alitumia, malalamiko ni mengi kuwa sifanyi kazi sana na wakati wanaona kabisa sina nguvu halafu napata shida sana kila kitu mpaka niombe nasemwa naringa ni mjeuri nikisemeshwa najizima data wakati sisikii kuna muda mpaka najichukia naona sifai.

Mwaka jana nimepata kazi shule moja ( nipunguza kuanguka angalau natembea) ndo mpaka sasa nipo hapo nafundisha watoto nashukuru Mungu nimeweza uwezo wangu angalau nimeuona japo pesa nayo pata ni kidogo lakini angalau nina amani naweza kujinunulia mafuta hata vocha sema kitu kinacho niumiza kichwa Kuna muda nakubali kuwa hii hali ni yangu umekuwa ulemavu lakini MOYO unakataa kuwa sitakiwi kuwa hivi miaka nane sasa nateseka 😥😥😥 napenda niwe na kwangu nifanye mambo na familia kwa pesa nayo pata kufanya maendeleo itachukua muda sana.

Naomba ushauri wowote iwe dawa au lishe au hata mawazo ya biashara kuna muda akili inasimama kabisa haifanyi kazi 😔😔😔
Aisee pole sana
 
Pole Mwamini Mungu utapona the soonest possible.

Niliwahi kuwa na kijana wangu mwenye almost uliyoyasema.

Alihangaika sana, mpaka maombi, mpaka dawa kwenye haya maduka ya waarabu maeneo ya misikiti,

Sasa hajambo.

Pole
 
Nilimwambia aje na mtu yeyote anayemwamini awe baba maam au kaka sawa akakubali mimi kwenda ilikuwa ngumu maana muda mwingi nipo kazini. Nilimwambia tutakutana hospital.....mimi huwa napost sana kuku hivyo akavutiwa ili afanye ufugaji pia kuna siku akauliza maswali mengi hapo tunacht wasap ikabidi nimpigie simu ndo akaelezea kisa chake chote kwa urefu sana.

Akaomba kama naweza nimsadie kiasi cha pesa ili akapate matibabu ndipo nilipomwambia vile akakubali baada ya kuwa mapumziko nikamcheki vipi sasa unakuja ama tukutane hapo mwanza kamanga hospital maana yeye ni wa mwanza hapohapo ndo akaniambia niende kwao ....

Sasa kwao ningeenda kama nani mkuu? Nani angeamini mimi nasaidia tu na ijulikane hatujawahi onana popote pale halafu niende hadi kwao yeye mwenyew hanijui hata mimi pia simjui ila picha tu.

Nikampa opt kama anawasiwasi aje na mtu anaye mwamini tukutane hospital.Alikubali kuwa sawa na akashukuru baada ya siku akaanza kuomba mtaji mara ya mwisho ni mwaka jana mwezi nimesahau.

Mwamposa alikuwa mwanza akaniambia ameenda kwa mwamposa kunua maji ndo nikawa nimempotezea hata kujibu txt nikawa sijibu kama mwanzo.


Kwanza niliamua nimakatie bima kama mtu wangu wa karibu (tegemezi) na nikaomba baadhi ya deteils zake akatuma .......baadae nikaona hapa hakuna mwenye kutaka msaada nikapiga chini na kwenye bima nikasitisha msg ya kusitisha nimetuma leo kumtaarifu asitegemee bima.
Hakika umejitahidi kuonyesha una nia njema ya kumsaidia hongera kwa moyo huo natamani na mhusika asome ulichoandika ili tuone atareply vipi
 
Hakika umejitahidi kuonyesha una nia njema ya kumsaidia hongera kwa moyo huo natamani na mhusika asome ulichoandika ili tuone atareply vipi
Hakika umejitahidi kuonyesha una nia njema ya kumsaidia hongera kwa moyo huo natamani na mhusika asome ulichoandika ili tuone atareply vipi
Nilikutana nae fb sio hapa huenda hajajiunga jf ila kisa cha huyu binti na chake vinafanana ndio maana nimeuliza hapahapa sikutaka kumfuata pm
 
Wakuu habari zenu wakuu naomba ni share hali yangu japo nipate hata faraja maana naona naweza kupata ugonjwa wa moyo siku siyo nyingi mimi ni binti wa miaka 25

Mwaka 2017 nikiwa kidato cha nne niliugua ugonjwa wa ajabu sana miguu ilikuwa inawaka moto na kuhisi baridi sana muda wote pamoja na kufaganzi maumivu yalikuwa makali sana mpaka nashindwa kutembea. Mgongo wangu ulianza kuuma nikawa nakosa balance kati ya kiuno na mgongo naweza kukaa kwenye kiti nikawewesuka nikaanguka chini.

Pia masikio yangu yalianza kuuma na kuhisi kelele muda wote hali hii ilipelekea kuwa kiziwi nikiingia darasani sioni hata nikivaa miwani naona moshi tu au ukungu.

Nimeangahika sana kutafuta tiba kila napoenda naambiwa mambo mengi sana ikiwemo kurogwa hata maombi nimeenda sana. Hospitali nilipima vipimo karibia vyote ikiwemo CT-SCAN na kipimo cha uti wa mgongo walikosa ugonjwa.

Miaka mitatu nilisoma kwa shida sana. Hali hii inanifanya niwe mpweke najitenga na kuhisi hasira sana hata vitu vidogovidogo yaani hata mtu akiniambia nakupenda naona kama ananidhihaki 😞.

Kilichonileta huku ni kwamba..kwa maumivu ninayo kuwa nahisi nashindwa kufanya kazi ngumu na kutembea umbali mrefu alafu nakuwa naanguka anguka mtu aweza kuzani nakifafa kumbe Lah!.
Sasa nawaza nitafanya biashara gani wakati siskii vizuri na kutembea kwangu ni kwa shida.

Nikisema niombe kazi ni nani ata niajili na huku siskii vizuri na elimu yangu ni kidato cha sita nilishindwa kuendelea na masomo ya ngazi za juu kwasababu ya hali yangu kwani uchumi wetu ni wa kawaida hivyo pesa nyingi inahitajika kwa matunzo.

Jamani ikiwa kuna mtu amewahi kupitia kipindi kigumu kama hiki naomba anisaidie aliponaje ni dawa gani alitumia, malalamiko ni mengi kuwa sifanyi kazi sana na wakati wanaona kabisa sina nguvu halafu napata shida sana kila kitu mpaka niombe nasemwa naringa ni mjeuri nikisemeshwa najizima data wakati sisikii kuna muda mpaka najichukia naona sifai.

Mwaka jana nimepata kazi shule moja ( nipunguza kuanguka angalau natembea) ndo mpaka sasa nipo hapo nafundisha watoto nashukuru Mungu nimeweza uwezo wangu angalau nimeuona japo pesa nayo pata ni kidogo lakini angalau nina amani naweza kujinunulia mafuta hata vocha sema kitu kinacho niumiza kichwa Kuna muda nakubali kuwa hii hali ni yangu umekuwa ulemavu lakini MOYO unakataa kuwa sitakiwi kuwa hivi miaka nane sasa nateseka 😥😥😥 napenda niwe na kwangu nifanye mambo na familia kwa pesa nayo pata kufanya maendeleo itachukua muda sana.

Naomba ushauri wowote iwe dawa au lishe au hata mawazo ya biashara kuna muda akili inasimama kabisa haifanyi kazi 😔😔😔
Kama upo Dsm naomba nitafute! Namshukuru Mungu alinipa karama ya huduma ya Uponyaji! kuna watu kadhaa nilishawaombea na walipona kabisa! Mungu ninaye Muamini hajawahi kuniangusha. Naongea hili kutoka kwenye uvungu wa Moyo wangu na huwa sifanyi masihara kwenye mambo ya Mungu. Na huwa situmii nguvu nyinyi kwenye kumuombea mtu uponyaji na Mungu huwa ni mwaminifu anatenda.

SITAHITAJI CHOCHOTE TOKA KWAKO!

Amini tu!
 
Ebu tupe elimu ya iyo shaba ktk mwili wa binadamu
Ni dawa ya kuponya maradhi sugu ambayo huenda yamekuandama kwa muda mrefu bila tiba ya uhakika kukuokoa. Kwa madhumuni ya dawa, shaba ni bidhaa muhimu.
 
Pole Mwamini Mungu utapona the soonest possible.

Niliwahi kuwa na kijana wangu mwenye almost uliyoyasema.

Alihangaika sana, mpaka maombi, mpaka dawa kwenye haya maduka ya waarabu maeneo ya misikiti,

Sasa hajambo.

Pole
Avae Shaba atakuja kuleta mrejesho na hii Mwamposa akiipata ataanza kuwauzi

Akawaambia ili wapone watazame nyoka wa Shaba

Hesabu 21:8-9

BWANA akamwambia Mose, “Tengeneza nyoka wa shaba na umweke juu ya mti; yeyote aliyeumwa na nyoka anaweza kumtazama na akaishi tena.”

Kwa hiyo Musa akatengeneza nyoka wa shaba na kumweka juu ya mti. Kisha wakati mtu yeyote aliumwa na nyoka, naye akamtazama yule nyoka wa shaba, aliishi.

Code hio hapo nimekupa Biblia imekufungulia nguvu ya Shaba inavyoponya

Hii chondechonde asiione Mwamposa atawauzia shaba za upako

Zaidi soma:

 
Back
Top Bottom