Napitia wakati mgumu

Napitia wakati mgumu

u
Wakuu habari zenu wakuu naomba ni share hali yangu japo nipate hata faraja maana naona naweza kupata ugonjwa wa moyo siku siyo nyingi mimi ni binti wa miaka 25

Mwaka 2017 nikiwa kidato cha nne niliugua ugonjwa wa ajabu sana miguu ilikuwa inawaka moto na kuhisi baridi sana muda wote pamoja na kufaganzi maumivu yalikuwa makali sana mpaka nashindwa kutembea. Mgongo wangu ulianza kuuma nikawa nakosa balance kati ya kiuno na mgongo naweza kukaa kwenye kiti nikawewesuka nikaanguka chini.

Pia masikio yangu yalianza kuuma na kuhisi kelele muda wote hali hii ilipelekea kuwa kiziwi nikiingia darasani sioni hata nikivaa miwani naona moshi tu au ukungu.

Nimeangahika sana kutafuta tiba kila napoenda naambiwa mambo mengi sana ikiwemo kurogwa hata maombi nimeenda sana. Hospitali nilipima vipimo karibia vyote ikiwemo CT-SCAN na kipimo cha uti wa mgongo walikosa ugonjwa.

Miaka mitatu nilisoma kwa shida sana. Hali hii inanifanya niwe mpweke najitenga na kuhisi hasira sana hata vitu vidogovidogo yaani hata mtu akiniambia nakupenda naona kama ananidhihaki 😞.

Kilichonileta huku ni kwamba..kwa maumivu ninayo kuwa nahisi nashindwa kufanya kazi ngumu na kutembea umbali mrefu alafu nakuwa naanguka anguka mtu aweza kuzani nakifafa kumbe Lah!.
Sasa nawaza nitafanya biashara gani wakati siskii vizuri na kutembea kwangu ni kwa shida.

Nikisema niombe kazi ni nani ata niajili na huku siskii vizuri na elimu yangu ni kidato cha sita nilishindwa kuendelea na masomo ya ngazi za juu kwasababu ya hali yangu kwani uchumi wetu ni wa kawaida hivyo pesa nyingi inahitajika kwa matunzo.

Jamani ikiwa kuna mtu amewahi kupitia kipindi kigumu kama hiki naomba anisaidie aliponaje ni dawa gani alitumia, malalamiko ni mengi kuwa sifanyi kazi sana na wakati wanaona kabisa sina nguvu halafu napata shida sana kila kitu mpaka niombe nasemwa naringa ni mjeuri nikisemeshwa najizima data wakati sisikii kuna muda mpaka najichukia naona sifai.

Mwaka jana nimepata kazi shule moja ( nipunguza kuanguka angalau natembea) ndo mpaka sasa nipo hapo nafundisha watoto nashukuru Mungu nimeweza uwezo wangu angalau nimeuona japo pesa nayo pata ni kidogo lakini angalau nina amani naweza kujinunulia mafuta hata vocha sema kitu kinacho niumiza kichwa Kuna muda nakubali kuwa hii hali ni yangu umekuwa ulemavu lakini MOYO unakataa kuwa sitakiwi kuwa hivi miaka nane sasa nateseka 😥😥😥 napenda niwe na kwangu nifanye mambo na familia kwa pesa nayo pata kufanya maendeleo itachukua muda sana.

Naomba ushauri wowote iwe dawa au lishe au hata mawazo ya biashara kuna muda akili inasimama kabisa haifanyi kazi 😔😔😔
unamwamini Mungu .kama unaamini alisulubiwa akafufuka Yesu Kristo


nitumie jina lako pm ..utapona
 
Wakuu habari zenu wakuu naomba ni share hali yangu japo nipate hata faraja maana naona naweza kupata ugonjwa wa moyo siku siyo nyingi mimi ni binti wa miaka 25

Mwaka 2017 nikiwa kidato cha nne niliugua ugonjwa wa ajabu sana miguu ilikuwa inawaka moto na kuhisi baridi sana muda wote pamoja na kufaganzi maumivu yalikuwa makali sana mpaka nashindwa kutembea. Mgongo wangu ulianza kuuma nikawa nakosa balance kati ya kiuno na mgongo naweza kukaa kwenye kiti nikawewesuka nikaanguka chini.

Pia masikio yangu yalianza kuuma na kuhisi kelele muda wote hali hii ilipelekea kuwa kiziwi nikiingia darasani sioni hata nikivaa miwani naona moshi tu au ukungu.

Nimeangahika sana kutafuta tiba kila napoenda naambiwa mambo mengi sana ikiwemo kurogwa hata maombi nimeenda sana. Hospitali nilipima vipimo karibia vyote ikiwemo CT-SCAN na kipimo cha uti wa mgongo walikosa ugonjwa.

Miaka mitatu nilisoma kwa shida sana. Hali hii inanifanya niwe mpweke najitenga na kuhisi hasira sana hata vitu vidogovidogo yaani hata mtu akiniambia nakupenda naona kama ananidhihaki 😞.

Kilichonileta huku ni kwamba..kwa maumivu ninayo kuwa nahisi nashindwa kufanya kazi ngumu na kutembea umbali mrefu alafu nakuwa naanguka anguka mtu aweza kuzani nakifafa kumbe Lah!.
Sasa nawaza nitafanya biashara gani wakati siskii vizuri na kutembea kwangu ni kwa shida.

Nikisema niombe kazi ni nani ata niajili na huku siskii vizuri na elimu yangu ni kidato cha sita nilishindwa kuendelea na masomo ya ngazi za juu kwasababu ya hali yangu kwani uchumi wetu ni wa kawaida hivyo pesa nyingi inahitajika kwa matunzo.

Jamani ikiwa kuna mtu amewahi kupitia kipindi kigumu kama hiki naomba anisaidie aliponaje ni dawa gani alitumia, malalamiko ni mengi kuwa sifanyi kazi sana na wakati wanaona kabisa sina nguvu halafu napata shida sana kila kitu mpaka niombe nasemwa naringa ni mjeuri nikisemeshwa najizima data wakati sisikii kuna muda mpaka najichukia naona sifai.

Mwaka jana nimepata kazi shule moja ( nipunguza kuanguka angalau natembea) ndo mpaka sasa nipo hapo nafundisha watoto nashukuru Mungu nimeweza uwezo wangu angalau nimeuona japo pesa nayo pata ni kidogo lakini angalau nina amani naweza kujinunulia mafuta hata vocha sema kitu kinacho niumiza kichwa Kuna muda nakubali kuwa hii hali ni yangu umekuwa ulemavu lakini MOYO unakataa kuwa sitakiwi kuwa hivi miaka nane sasa nateseka 😥😥😥 napenda niwe na kwangu nifanye mambo na familia kwa pesa nayo pata kufanya maendeleo itachukua muda sana.

Naomba ushauri wowote iwe dawa au lishe au hata mawazo ya biashara kuna muda akili inasimama kabisa haifanyi kazi 😔😔😔
Pole sana! Ebu njoo pm!
 
Wakuu habari zenu wakuu naomba ni share hali yangu japo nipate hata faraja maana naona naweza kupata ugonjwa wa moyo siku siyo nyingi mimi ni binti wa miaka 25

Mwaka 2017 nikiwa kidato cha nne niliugua ugonjwa wa ajabu sana miguu ilikuwa inawaka moto na kuhisi baridi sana muda wote pamoja na kufaganzi maumivu yalikuwa makali sana mpaka nashindwa kutembea. Mgongo wangu ulianza kuuma nikawa nakosa balance kati ya kiuno na mgongo naweza kukaa kwenye kiti nikawewesuka nikaanguka chini.

Pia masikio yangu yalianza kuuma na kuhisi kelele muda wote hali hii ilipelekea kuwa kiziwi nikiingia darasani sioni hata nikivaa miwani naona moshi tu au ukungu.

Nimeangahika sana kutafuta tiba kila napoenda naambiwa mambo mengi sana ikiwemo kurogwa hata maombi nimeenda sana. Hospitali nilipima vipimo karibia vyote ikiwemo CT-SCAN na kipimo cha uti wa mgongo walikosa ugonjwa.

Miaka mitatu nilisoma kwa shida sana. Hali hii inanifanya niwe mpweke najitenga na kuhisi hasira sana hata vitu vidogovidogo yaani hata mtu akiniambia nakupenda naona kama ananidhihaki 😞.

Kilichonileta huku ni kwamba..kwa maumivu ninayo kuwa nahisi nashindwa kufanya kazi ngumu na kutembea umbali mrefu alafu nakuwa naanguka anguka mtu aweza kuzani nakifafa kumbe Lah!.
Sasa nawaza nitafanya biashara gani wakati siskii vizuri na kutembea kwangu ni kwa shida.

Nikisema niombe kazi ni nani ata niajili na huku siskii vizuri na elimu yangu ni kidato cha sita nilishindwa kuendelea na masomo ya ngazi za juu kwasababu ya hali yangu kwani uchumi wetu ni wa kawaida hivyo pesa nyingi inahitajika kwa matunzo.

Jamani ikiwa kuna mtu amewahi kupitia kipindi kigumu kama hiki naomba anisaidie aliponaje ni dawa gani alitumia, malalamiko ni mengi kuwa sifanyi kazi sana na wakati wanaona kabisa sina nguvu halafu napata shida sana kila kitu mpaka niombe nasemwa naringa ni mjeuri nikisemeshwa najizima data wakati sisikii kuna muda mpaka najichukia naona sifai.

Mwaka jana nimepata kazi shule moja ( nipunguza kuanguka angalau natembea) ndo mpaka sasa nipo hapo nafundisha watoto nashukuru Mungu nimeweza uwezo wangu angalau nimeuona japo pesa nayo pata ni kidogo lakini angalau nina amani naweza kujinunulia mafuta hata vocha sema kitu kinacho niumiza kichwa Kuna muda nakubali kuwa hii hali ni yangu umekuwa ulemavu lakini MOYO unakataa kuwa sitakiwi kuwa hivi miaka nane sasa nateseka 😥😥😥 napenda niwe na kwangu nifanye mambo na familia kwa pesa nayo pata kufanya maendeleo itachukua muda sana.

Naomba ushauri wowote iwe dawa au lishe au hata mawazo ya biashara kuna muda akili inasimama kabisa haifanyi kazi 😔😔😔
Aisee wakati naanza kusoma nlidhani ni member fulani kabadili ID ili alete kisa chake ila baadaye nikaja kuhundua siyo yete maana yeye hali yake ni worse than yours na anapitia kipindi kigumu ila humu anavyochanhia huwezi kujua jamani yule binti.
 
Aisee wakati naanza kusoma nlidhani ni member fulani kabadili ID ili alete kisa chake ila baadaye nikaja kuhundua siyo yete maana yeye hali yake ni worse than yours na anapitia kipindi kigumu ila humu anavyochanhia huwezi kujua jamani yule binti.
😅😅😅😅 so kama mtu anapitia kitu fulani basi ndo asisocialize? kwani we ni nani mpaka umpangie mtu maisha yake jamani
 
😅😅😅😅 so kama mtu anapitia kitu fulani basi ndo asisocialize? kwani we ni nani mpaka umpangie mtu maisha yake jamani
Kumbe kusoma na kuelewa ni vitu viwili tofauti. Nadhani hata hujaelewa nilichoandika
 
Njoo pm nikwambie kitu😊nataka nikuombe kiroho na kimwili wahi pm dear
 
Kama ni mroma na una amini Funga na kuSali Novena ya My.Ritha wa kasia ( Novena ya mambo yaliyoshindikana )...
Nasisitiza tena,. Kama unaamini

Lamomy Labella nakumbuka wakati unanielekeza siku ya kwanza sikuwa na amini,. Lakini kwa Juhudi za madaktari na Nguvu ya novena hii nilipona kabisa,. Ubarikiwe sana Jirani
Ulielekezwa na Lamomy au Labella.
Au wote wawili?. na mimi nataka wanielekeze.
 
Wakuu habari zenu wakuu naomba ni share hali yangu japo nipate hata faraja maana naona naweza kupata ugonjwa wa moyo siku siyo nyingi mimi ni binti wa miaka 25

Mwaka 2017 nikiwa kidato cha nne niliugua ugonjwa wa ajabu sana miguu ilikuwa inawaka moto na kuhisi baridi sana muda wote pamoja na kufaganzi maumivu yalikuwa makali sana mpaka nashindwa kutembea. Mgongo wangu ulianza kuuma nikawa nakosa balance kati ya kiuno na mgongo naweza kukaa kwenye kiti nikawewesuka nikaanguka chini.

Pia masikio yangu yalianza kuuma na kuhisi kelele muda wote hali hii ilipelekea kuwa kiziwi nikiingia darasani sioni hata nikivaa miwani naona moshi tu au ukungu.

Nimeangahika sana kutafuta tiba kila napoenda naambiwa mambo mengi sana ikiwemo kurogwa hata maombi nimeenda sana. Hospitali nilipima vipimo karibia vyote ikiwemo CT-SCAN na kipimo cha uti wa mgongo walikosa ugonjwa.

Miaka mitatu nilisoma kwa shida sana. Hali hii inanifanya niwe mpweke najitenga na kuhisi hasira sana hata vitu vidogovidogo yaani hata mtu akiniambia nakupenda naona kama ananidhihaki 😞.

Kilichonileta huku ni kwamba..kwa maumivu ninayo kuwa nahisi nashindwa kufanya kazi ngumu na kutembea umbali mrefu alafu nakuwa naanguka anguka mtu aweza kuzani nakifafa kumbe Lah!.
Sasa nawaza nitafanya biashara gani wakati siskii vizuri na kutembea kwangu ni kwa shida.

Nikisema niombe kazi ni nani ata niajili na huku siskii vizuri na elimu yangu ni kidato cha sita nilishindwa kuendelea na masomo ya ngazi za juu kwasababu ya hali yangu kwani uchumi wetu ni wa kawaida hivyo pesa nyingi inahitajika kwa matunzo.

Jamani ikiwa kuna mtu amewahi kupitia kipindi kigumu kama hiki naomba anisaidie aliponaje ni dawa gani alitumia, malalamiko ni mengi kuwa sifanyi kazi sana na wakati wanaona kabisa sina nguvu halafu napata shida sana kila kitu mpaka niombe nasemwa naringa ni mjeuri nikisemeshwa najizima data wakati sisikii kuna muda mpaka najichukia naona sifai.

Mwaka jana nimepata kazi shule moja ( nipunguza kuanguka angalau natembea) ndo mpaka sasa nipo hapo nafundisha watoto nashukuru Mungu nimeweza uwezo wangu angalau nimeuona japo pesa nayo pata ni kidogo lakini angalau nina amani naweza kujinunulia mafuta hata vocha sema kitu kinacho niumiza kichwa Kuna muda nakubali kuwa hii hali ni yangu umekuwa ulemavu lakini MOYO unakataa kuwa sitakiwi kuwa hivi miaka nane sasa nateseka 😥😥😥 napenda niwe na kwangu nifanye mambo na familia kwa pesa nayo pata kufanya maendeleo itachukua muda sana.

Naomba ushauri wowote iwe dawa au lishe au hata mawazo ya biashara kuna muda akili inasimama kabisa haifanyi kazi 😔😔😔
Kwanza pole, pia nakupongeza kwa hatua na jitihada unazochukua kuhakikisha unapata afya njema ili uwe na mchango kwa familia yako na Taifa.

Mimi ni mganga wa mitishamba au Herbalist.

Kwa utaalam mdogo nikushauri onana na Daktari Bingwa wa Mishipa na Fahamu a.k.a Neurologist au Neurosurgeon.

Kama utafika Dar Es Salaam ulizia Dr Njenje au Uende MOI.

Nakutakia afya njema wako ktk Kazi kulijenga Taifa.


Tundu Lissu Hoyeeee!! Mzalendo Namba Moja
 
Pole Sana... Kisa chako kinafanana na changu pia... Cha muhimu ni kujikubali tu kwamba umeshakuwa hivyo na uishi kulingana na Hali yako.

Binafsi nilizunguka mahospitali yote makubwa TZ bila mafanikio.. mwisho nikaambiwa nikubaliane na Hali hiyo na nifanyiwe counseling ili niendelee tu na maisha.

Kama inawezekana tuwasiliane zaidi.
 
Kama ni mroma na una amini Funga na kuSali Novena ya My.Ritha wa kasia ( Novena ya mambo yaliyoshindikana )...
Nasisitiza tena,. Kama unaamini

Lamomy Labella nakumbuka wakati unanielekeza siku ya kwanza sikuwa na amini,. Lakini kwa Juhudi za madaktari na Nguvu ya novena hii nilipona kabisa,. Ubarikiwe sana Jirani
Amen Amen, sifa na utukufu una yeye aliyeziumba mbingu na nchi 🥰🙏

Nafurahi sana kwa feedback km hii nakumbuka nilianza kufunga kwaajili yako, Mungu wetu si kiziwi hata asisikie hatimaye alitujibu sawa sawa na maombi na sala zetu…!!

Nilikuwa nakukumbusha kila mara ufunge kwa imani najua ulinishangaa kutokana na nilivyo mtu wa masihara jukwaani 😂 (Ila ukaamua kujaribu, Mungu umtumia yeyote akitaka kuonyesha ukuu wake)
Lakini nguvu mbaya imeshindwa na Mungu kaonyesha ukuu wake..!!!
 
Aisee wakati naanza kusoma nlidhani ni member fulani kabadili ID ili alete kisa chake ila baadaye nikaja kuhundua siyo yete maana yeye hali yake ni worse than yours na anapitia kipindi kigumu ila humu anavyochanhia huwezi kujua jamani yule binti.
Ni lazima ajichanganye, akikaa kinyonge maradhi hayatamuacha.
 
Back
Top Bottom