CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,001
- 23,449
Hamna cha chuma ulete wala mjomba chuma ulete,wewe mwenyewe unawatunuku wateja hela,Kingine kua makini na maburungutu mteja ameyafunga kwa mafungu laki laki,Katikati wanapachika 2000 humo so acha kabisa kuhesabu hela za wateja kwa style hii hapa chini utaumia kila iitwayo leo useme chuma ulete chuma ulete kumbe n uzembe wako..
Usitumie hiii style kwenye kuhesabu hela MARUFUKU tena ACHA KABISA 👇 👇
ukihesabu hela acha kabisa Hata kama wateja wamepanga foleni wasikuchanganye hao ndio wezi wapo humo humo so epuka hiyo style maana matokeo yake ukihesabu hivyo ndani wanakupachkia 2000 na si unajua buku mbili kama una wenge usipoiona nzma unaweza dhani ni 10 kumbe walaaaaaa ni kasimba ka 1 kamejificha ndan ya kundi la Tembo.
Huo ni mfanno👆👆👆 wenzako wanavyochanganyiwagwa mkwanja kwenye hayo maburungutu so kuwa makini sana kwa maelezo yako nina uhakika ushachezewa Rough mahali bila wewe kujitambua.
Unapohesabu hela uwe kama mtoto hesabu hela kama mshamba flani taratiiiibuuuu na polepole na kwa kujiamini,Mteja asikupe presha maana wateja wanaotaka kukutapeli huja kama wa nne dukani kwako kila mmoja akijifanya yuko peke ake,Mmoja atakupa maburungutu yenye noti za 200 ndani then mteja huyu atakua mstarabu sana,Then hao wenzake wa nyuma watatu watakupa presha OOOOH WE dada hesabu haraka oooh wee dada unatuweka foleni oooh this oooh that
Wasikuchanganye hao,hesabu hela zako taratbu tena ukiona wamezidi kelele acha kuhesabu waangalie Simama kabisa kuhesabu wambie kwa kujiamini "NAOMBA MNYAMAZE" ukiona huyo mteja aliyekupa hela yupo upande wao anawasapoti Mrudishie hela zake mwambie samahani Kaweke hela zako kwa wakala Yuleeeee.
Unapohesabu hela zako hesabu kwa style hiiii 👇👇
Hesabu noti Moja Moja iangalie kama ni nzima yote maana wanamtindo wakuweka vipisi vya elfu kumi kati kati,kuwa makini sana mkuuu,usipokutana na 2000 utakutana na vipisi vya elfu 10 kuwa makini so hesabu hela kama hapo juu ione noti nzima kisha ukijiridhisha hii LAKI weka pembeni chukua burungutu lingine.
Usihesabu hela unazopewa kwa kufungwa fungwa Kunjua noti zote zikae wima ndipo uanze ku count.
Usitumie hiii style kwenye kuhesabu hela MARUFUKU tena ACHA KABISA 👇 👇
ukihesabu hela acha kabisa Hata kama wateja wamepanga foleni wasikuchanganye hao ndio wezi wapo humo humo so epuka hiyo style maana matokeo yake ukihesabu hivyo ndani wanakupachkia 2000 na si unajua buku mbili kama una wenge usipoiona nzma unaweza dhani ni 10 kumbe walaaaaaa ni kasimba ka 1 kamejificha ndan ya kundi la Tembo.
Huo ni mfanno👆👆👆 wenzako wanavyochanganyiwagwa mkwanja kwenye hayo maburungutu so kuwa makini sana kwa maelezo yako nina uhakika ushachezewa Rough mahali bila wewe kujitambua.
Unapohesabu hela uwe kama mtoto hesabu hela kama mshamba flani taratiiiibuuuu na polepole na kwa kujiamini,Mteja asikupe presha maana wateja wanaotaka kukutapeli huja kama wa nne dukani kwako kila mmoja akijifanya yuko peke ake,Mmoja atakupa maburungutu yenye noti za 200 ndani then mteja huyu atakua mstarabu sana,Then hao wenzake wa nyuma watatu watakupa presha OOOOH WE dada hesabu haraka oooh wee dada unatuweka foleni oooh this oooh that
Wasikuchanganye hao,hesabu hela zako taratbu tena ukiona wamezidi kelele acha kuhesabu waangalie Simama kabisa kuhesabu wambie kwa kujiamini "NAOMBA MNYAMAZE" ukiona huyo mteja aliyekupa hela yupo upande wao anawasapoti Mrudishie hela zake mwambie samahani Kaweke hela zako kwa wakala Yuleeeee.
Unapohesabu hela zako hesabu kwa style hiiii 👇👇
Hesabu noti Moja Moja iangalie kama ni nzima yote maana wanamtindo wakuweka vipisi vya elfu kumi kati kati,kuwa makini sana mkuuu,usipokutana na 2000 utakutana na vipisi vya elfu 10 kuwa makini so hesabu hela kama hapo juu ione noti nzima kisha ukijiridhisha hii LAKI weka pembeni chukua burungutu lingine.
Usihesabu hela unazopewa kwa kufungwa fungwa Kunjua noti zote zikae wima ndipo uanze ku count.