Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,261
- 17,202
Eti eeh..kwani timu ni kabila bana..cha kufia nini? Hongera mkuu,mimi ngoja nisikilizie kwanza..Mimi pia nilikua Simbasport club,sio kama shabiki tu,Bali mwanachama kadi Namba 1246..ila baadae nikaona nitakufa kwa preshaa now nimehamia timu ya wananchi ,raha kila weekend hadi mwili umerudi.karibu sana kolo matatizo hayakumbatiwi kimbiaaaa