Wewe ni mbongo au? Mbona unatuaibisha ? Mbongo gani anaanza kuulizia vitu kwa mbali hivyo? Wewe ktu cha kwanza shuka ground hali halisi utaifanyia tathmini mbele kwa mbele.
Wewe ni mbongo au? Mbona unatuaibisha ? Mbongo gani anaanza kuulizia vitu kwa mbali hivyo? Wewe ktu cha kwanza shuka ground hali halisi utaifanyia tathmini mbele kwa mbele.
fuata ushauri huu!
Kiongozi,
Unajua kijana kanshangaza sana, lakini sisi waTZ tuna malezi tofauti kutokana na maisha ya maskini na matajiri kutofautiana sana, huenda huyu mwenzetu ni wale 'kamlete' hawajui ku-hustle. Sasa ndio hivyo kafikwa.
Baada ya kui-miss bongo km miaka 2 hivi, sasa narud ndani ya wiki moja au 2 hivi.
Naomba ushauri nikija ni2mie mtandao gani wa simu yaan voda, tigo, zain nk. Nataka huduma reliable na bei cheap.
Pili kama kuna m2 anajua nawezakupata chumba maeneo karibu na Airport Dar, nyumba yenye gate ntashukuru sana. Ningependa kulipia labda miezi mi3 coz sijajua mishughuliko yangu ofisi ita base wapi. Sitamaind kama chumba kitakua mbali na airport bali ingenirahisishia sana km ikiwa hivyo.
Ni hayo 2.