Narudi bongo, msaada wakuu!

ina maana hujawahi kukaa dar au huna mwenyeji yeyote anayekaa dar ? je ulipokuwa tz ina maana hukuwahi kuwa na simu ya mkononi ? kama ulikuwa nayo ni kampuni gani ? na kwa nini ulikuwa unatumia hiyo kampuni na si zingine ? hakuna lolote lililobadirika ndnai ya hizo aka mbili zaidi ya mgao wa umeme
 
He he he he !
Karibu sana mkuu, bongo tambarare
Hakuna matata
Unataka kukaa eapoti?
Angalia sana matapeli kipawa inabomolewa.
Usijejikuta kwenye maadamano bure,
Na chumba wataka chenye geti?
Wacha mkuu,
Siku hizi vibaka bwerere
Angalia usipate chumba Mbagala
Hata panya wa kutambua mabomu waliulaza

Kuna sinema za bure nyingi tu hapa bongo,
Hasa pale kisutu kwa pilato
Defender zinaenda na kurudi kila siku
Mara Liyumba
Mara Mramba
Mara Yona
Mara Mgonja
Wale wa EPA hawako nyuma
Haswa bongo burudani tupu
Mtandao?
Mtandao mmoja unasema USIPIME
Kama una miwaya we poa tu!
 
mazee mi mwenyewe sijarudi bongo mda.hivi kumbe tigo ni laini ya simu?jamaa waliniambia tigo ni tusi
 


Ooo Jojinaaa.... siku uliyoondoka uliniacha nalia na machozi, umekwenda kuishi mbali nami Jojina wa mamaaa. Sipati usingizi nikikumbuka tulivyoishi mimi na we Jojina aaaa .

Umeondoka Jojina umeniachia masikitiko Jojina Jojina ooo, nauliza Jojini
ooo lini utarudi uniondoe wasi wasi Jojina wa mama… umeondoka
Jojina umeaniachia masikitiko Jojina Jojin ooo .


(by Marijan Rajab)
 

kama unarudi likizo usihofu vyumba vipo na mtandao wowote utakaotumia ni sawa tu kwa sababu ukitaka cheap lazima uwe na simu zaidi ya moja kila moja na mtandao wake au uje na zile simu zinazo wekwa sm card zaidi ya moja..

kama unarudi moja kwa moja, think twice kama unaweza kujiandaa zaidi kabla ya kurudi itakuwa jambo jema sana..kwa mfano ujenge angalau kibanda cha kufikia kuliko kugawana pesa na land lord
 

Triplets mambo? Are you He or She?
 
Just for my personal interest. Msaada tutani please.

habari za asubuhi kaka? umekunywa chai/supu? una onekana una njaa wewe hata akili haifanyi kazi vizuri...hili swali unaniuliza mara ngapi? na kwa nini unatembea barabara nzima ukimuuliza kila upishanaye njiani are you he or she?

ndugu yetu anahitaji chumba karibu na air port...mshauri basiiii
 

Za asubuhi nzuri. Acha ukali mamaa. Huwezi jua mipango ya Mungu. Ningeweza kumsaidia kama angeniambia kama yeye ni he au She . She anapewa first priority.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…