Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Miafrika Ndivyo Tulivyo. Uswahili ndio ushamba au? Punguzeni kutukuza uzungu kalaghabaho.
Uswahili ni ushamba wa kuanza kuulizana jinsia huku uki-ignore kinachoongelewa kwenye thread..
Mpaka utakapoolewa na mzungu ndio utapata akili ya kuutukuza uswahili wako.
ahaa ahha chrispin!!
Watu wengine kwa kupenda sifa na attention....mtu huendi popote lakini unabandika humu eti unaenda bongo....frustrated individuals are pitiful...
Mazee yaelekea una kichwa kigumu sana..jifunze kuelewa wengine wanachoandika..lol.Mpaka utakapoolewa na mzungu ndio utapata akili ya kuutukuza uswahili wako.
Mazee yaelekea una kichwa kigumu sana..jifunze kuelewa wengine wanachoandika..lol.
Sizungumzii rangi wala 'uswahili ' ule unaouelewa wewe, nazungumzia ukosefu wa ustaarabu, hisani na kushindwa kuheshimu thread za wengine.
Mbado?
cha msingi najua unatumia tigo, we mpe tigo yako tu.Sijajua kama huyu mtu kama ni He au She. Itifaki inazingatiwa
Inawezekana kichwa ngumu kweli. Si unajua madhara ya kuzaliwa mchana. Mi nachopigana ni neno uswahili kutumika kama tafsiri ya ushamba. Thats all. Why uswahili? Kwanini tusiuite uzungu au uhindi? Natukuza cha kwetu, mimi ni mswahili. Najivunia uswahili wangu.
Hilo la kutoheshimu thread za watu inaetegemea tafsiri yako ya heshima. Kwetu sisi waswahili, utani ni sehemu ya heshima. Sijui kwenu nyie.
Mbado!
cha msingi najua unatumia tigo, we mpe tigo yako tu.
1. Sijazungumzia wala kuleta wazo la ushamba, wewe uliyeingiza hili neno ndiye mwenye kutakiwa kutoa maelezo.
2. Kujivunia / kutukuza kwako 'uswahili' ni nje ya thread.
3. Kuzaliwa mchana ni nje ya thread.
0. Inaonekana bado kweli hujaipata maana niliyoikusudia ya neno 'uswahili' labda ungefungua thread kwenye jukwaa la lugha ukapata uelewa.
Sio heshima tu, ni kukosa uungwana na hisani kwa watu wengine na kupoteza muda wao. Huu sio utani. Kuna thread za utani kwenye jukwaa mahsusi.
Kweli mbado. Mwe!
Ati nini?tumia TIGO
wewe kijana uje likizo au karatasi bado mzozo......Watu wengine kwa kupenda sifa na attention....mtu huendi popote lakini unabandika humu eti unaenda bongo....frustrated individuals are pitiful...
nimeamka bwana, jana nimetumia njia za kijasusi kukudetect ulipo nimechemsha, but there is always next time.Hahaha! Umeamka? TiGo yangu ni haramu for human consumption! Lol! Shosti nitake radhi.
ah yoyo, umefufuka? ulipotea wapi lakini bwana, chriss, geof, nguli, fidel na masanilo wanasumbua sana hapa, i hope hutakuwa upande wao, au ndo chama kubwa lenyewe na wewe?Ati nini?
nimeamka bwana, jana nimetumia njia za kijasusi kukudetect ulipo nimechemsha, but there is always next time.
ah yoyo, umefufuka? ulipotea wapi lakini bwana, chriss, geof, nguli, fidel na masanilo wanasumbua sana hapa, i hope hutakuwa upande wao, au ndo chama kubwa lenyewe na wewe?